Hii tabia wanaume wengi wanayo

Cha msingi kwanza wewe mwenyewe hakikisha una sifa nzuri za kukufanya mwanaume akupende na asitamani kuondoka kwako.
Kwani wakati anakuja kwangu nilikuwa na sifa zipi?
 
Najua inauma ila hata wanaume huwa wanafanya paspokujua ila ndio nature yetu
Juz nmemfatilia mrangi mmoja hata akankubalia na nkamwambia kila neno zuri ila kosa nililofanya nakawa bissy na masomo mwsho Wa siku nmemalza paper na yy akawa haelewek sasa hebu jiulze ningekuwa nshapita tusingeanza upya kama inavyonlazim
 
Na nyie huwa mnatoa nini?? Ukinisumbua ujue lazima nitalipa tu!

Afu ndiyo ukumwanamke mwenyewe regular alafu umenisumbua kinoma utakoma..!
 
Pole! Ila hujawa bize kumtafuta
 
Kishagegedwa mtu mammaee!Yan na gegedo limeamka tayr hapa
 
mkishagogwa mnaaanza mizinga acheni hizi tabia za wiziwizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…