GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 63,006
- 126,389
Yaani Mume Shujaa kasafiri zake kwenda kuleta Heshima nchini Misri huku nyuma Mke Maharage ya Mbeya nae anazurula kwa Waganga wa Kienyeji (Marafiki) Mkoani Tabora.
Hakuna anayefatilia zaidi ya MANYANI NA MAMMBWA.Kuna watu wanafuatilia michezo ya shirikisho?Hamna mtu anayefuatilia hao watoto huko. timu zinacheza ila nchi inajadili mechi ya Yanga na Tabora
![]()
Ndio maana alitubania kumbe alikua na miadi na bwana wa KiarabuMwanamke amesusia mechi ya nyumbani, akaona bora akacheze mechi ya ugenini na Mwarabu.
Mke kapaka wanja, yuko Misri kusambaza huduma za Yas.Mke ameenda Tabora kufanyiwa masahi.
Mke awe makini la sivyo ataingiliwa kwa pupa.
Hapana bhana!!Mke kapaka wanja, yuko Misri kusambaza huduma za Yas.
Nakubaliana nawe 100% kwani kuna Siku moja nilikutana na Profesa Mmoja mkubwa sana nchini (wa Chuo ninachokihifadhi) akibishana na Wahuni mahala Kijiweni huku pia akitukana Mitusi mikubwa mikubwa nikasema hakika Vilabu vya Simba na Yanga vimeshaturoga Watanzania wote.Kuna muda unaamua kuandika vitu kama mtu alokimbia shule darasa la 5 B.
Usimba na Uyanga wakijinga sana kwa staili hizi tukiwa nazo
Hatimaye ukweli umejulikana. Mke kamkimbia mume wake, na kwenda kwa Mwarabu! Kilichomkuta huko, ni siri yake mwenyewe. Wakati mwingine mpunguze tamaa basi.Yaani Mume Shujaa kasafiri zake kwenda kuleta Heshima nchini Misri huku nyuma Mke Maharage ya Mbeya nae anazurula kwa Waganga wa Kienyeji (Marafiki) Mkoani Tabora.
VIPI USHIRIKINA ULIKUWEPO? KUNA VIONGOZI WALIHUJUMU TIMUYaani Mume Shujaa kasafiri zake kwenda kuleta Heshima nchini Misri huku nyuma Mke Maharage ya Mbeya nae anazurula kwa Waganga wa Kienyeji (Marafiki) Mkoani Tabora.
HAYA KIKO WAPI!!!Yaani Mume Shujaa kasafiri zake kwenda kuleta Heshima nchini Misri huku nyuma Mke Maharage ya Mbeya nae anazurula kwa Waganga wa Kienyeji (Marafiki) Mkoani Tabora.