RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 59,325
- 134,791
Naona mmeungana kutetea upigaji wa 4,800/-Na kwa staili hii hatuendi kokote
Naona mmeungana kutetea upigaji wa 4,800/-Na kwa staili hii hatuendi kokote
Yaani hawa viumbe bhanaNaona mmeungana kutetea upigaji wa 4,800/-
That is noted. Kwa hiyo Sisi site mnatuona mbwiga??Nimetania tu[emoji5]
Haya changishaneni mumrudishie kanali 4800 yake msizuge hapa
That is noted. Kwa hiyo Sisi site mnatuona mbwiga??
Naona mmeungana kutetea upigaji wa 4,800/-
Nitakutumia usijali, bei gani itakutosha kufika kazimzumbwi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haya kumekucha, mbona mie situmiwi nauli hivi nakwama wapi[emoji134][emoji134][emoji134]
Mbona hukuaga?Woiii siku hizi sikai tabata jomoniii...niko msakuzi mimi[emoji23][emoji23][emoji23]
HahahahahahahaahhaKwani me naishi Maji matitu mkuu???? Ngoja wanaokaa mbagala wachange
Unataka nije nilete uzi wa " lnna kanichuna hajatokea" ?Bahili kama ww hatukutaki apa una edit msg ya mpesa..kione kwanza[emoji34][emoji857]
Aahh..niko kote kote😄Mbona hukuaga?
Oh yeah😋Takutumia nyingi ambayo hata nikikutangaza roho haiumi
[emoji1][emoji1][emoji1]Aahh..niko kote kote[emoji1]
🤣 Kwa kweli ukiombwa kiwango kama hiko lazima ujue ulikuwa unataniwa ili ujiongeze! Na kwamba kwa kupata vichekesho vingine kama hivyo wasiliana na Dada huyo wa JF!😀😀😀😀😀😀😀
Hebu kuweni na huruma rudisheni hiyo hela jamani
Hii komenti yako imenibidi ni cheke tu![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haya kumekucha, mbona mie situmiwi nauli hivi nakwama wapi[emoji134][emoji134][emoji134]
Nzeze mwenshu?Kuzacha
Nimekumbuka tu...Una nini lakiniii...[emoji849]