Joowzey
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 13,164
- 13,555
Lita mbili hyo mzee,au we unauziwa petrol kwa bei ganLita moja na nusu hio...IST hapo inatoka tabata hadi mjini na kurudi
Lita mbili hyo mzee,au we unauziwa petrol kwa bei ganLita moja na nusu hio...IST hapo inatoka tabata hadi mjini na kurudi
NtatoaNiliyemuomba nauli aje atoe ushuhuda humu nayeye![]()
Maajabu tz hayaishi...wanaume sikuhz hamna![]()
Usisahau kuambatanisha na ushahidi ili mambo yasiwe mengi kama hivi....😉Ntatoa
😂😂😂mfyuuuHamna muache mumu wangu nishamhamisha huko,
Sijambo ticha wanguTicha hujambo?
Miti ya genge mwenza😂😂😂😂Sasa mwenza na hizi spoku nikivaa kimini si tutatafutana mjini hapa![]()
Una nini lakiniii...🙄mumu![]()
Miti ya genge mwenza![]()
Vingine huambiwi, unajiongeza tu.Okey kwahyo wewe ulitaka nauli atumiwe kias gan? and why asimwambie ukwel kwamba kwa hii nauli siwez kuja
Mkuu dai chako npo na wewe kuna mwanaume humu anaomba japo 2000 ya kula sembuse wewe 4800 dai chakoHiyo siyo hela??
Watakua wale wa magroup ya malaya huko insta, ilishanikutaga hii, Niligoma kutuma elf tano akachukua picha yangu akaipiga bonge la bandiko "MALAYA WA INSTA'' kaniambia nisipotuma hiyo 5k anaipost huko insta, Mbona niliomba pooo!







Mbibi nini lakini..!??Maajabu tz hayaishi...wanaume sikuhz hamna![]()
4800, ohhhhh rudisheni hela ya watu bhanaSh ngapi mkuu?
Hakunaaaa!!!!Maajabu tz hayaishi...wanaume sikuhz hamna![]()
Ha haa hela hairudishwi na ameblokiwa4800, ohhhhh rudisheni hela ya watu bhana