kinondoniilala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 1,622
- 1,864
Chondechonde hizi Scripts za Hawa Wakatoliki Feki wa Mtaa wa Dovya, Kata ya Makangarawe ifike mahali hata Wakuu wa Nchi waon Aibu inabidi Wachutame kuweza Kufika hili Jambo.
Sisi Wakatoliki wa CCM na ambao siyo wa CCM hatupendezwi na hizi Scripts Kila Uchwao zinakuja kwa namna tofauti tofauti.
Imefika wakati Kiongozi wa Nchi inabidi akemee huu ujinga unaoendelea, kazi ya Kanisa Katoliki haishii kuwasilisha Wakatoliki ibadani kanisani Kila Jumapili na kwenye Jumuiya, pia ni kama sehemu ya Jamii katika kukemea maovu yanayofanywa na Watawala, ni vyema watawala mkayachukua mawazo ya TEC na kuyafanyia kazi kuliko kutengeneza Scripts za hivyo hivyo tu kama vile wananchi wote ni vilaza tu hapa nchini, itafikia hatua haya mambo wananchi watayachoka na wataamua kuchukua hatua kama hamtayakemia, Sasa hatua gani watazichukua Mimi sijui.
Chao
Sisi Wakatoliki wa CCM na ambao siyo wa CCM hatupendezwi na hizi Scripts Kila Uchwao zinakuja kwa namna tofauti tofauti.
Imefika wakati Kiongozi wa Nchi inabidi akemee huu ujinga unaoendelea, kazi ya Kanisa Katoliki haishii kuwasilisha Wakatoliki ibadani kanisani Kila Jumapili na kwenye Jumuiya, pia ni kama sehemu ya Jamii katika kukemea maovu yanayofanywa na Watawala, ni vyema watawala mkayachukua mawazo ya TEC na kuyafanyia kazi kuliko kutengeneza Scripts za hivyo hivyo tu kama vile wananchi wote ni vilaza tu hapa nchini, itafikia hatua haya mambo wananchi watayachoka na wataamua kuchukua hatua kama hamtayakemia, Sasa hatua gani watazichukua Mimi sijui.
Chao