Hii screenshot ya huyu dada imekaaje ?!

Hii screenshot ya huyu dada imekaaje ?!

View attachment 3609929View attachment 3609929maamuzi mengine kumpa mtu magumu....

Mimi nimempigia ila kuna maneno kaniambia..
BOyfriend wake line yake inakuaga imezimwa kwa sababu ya madeni
( kwanini azime )red flag sign


2...miezi mitano ata kwa wazazi wa mwanaume hapajui eti alimuahidi biashara hela zipo NMB nikamuuliza ameziona jibu lake hajaona ata mia...
( redflag)

3.leo kafungiwa mwanaume kaiba tv ya vitron🤣..mwanaume akipenda ata kuiba ataiba akuleteee
Kuna siku kaiba mchanga mgodini

4..dada ana mimba ....maisha yao ya kuunganisha ...dah

Wanaume sio watu ila sio wote

5..kamdanganya ni photographer mkubwa kumbe muuza ice tangu amekaa naye ata hajasuka ...

6.kamwambia atamtafutia kazi kumbe kaja kumpachika tikitiki🤰🏻.....

Hapa aleee mimba au atoe? Mimi sna uamuzi...
Ni ujinga wa mwanamke mwenyewe kwanini alipanua majapa kwa mwanaume reckless.
 
View attachment 3609929View attachment 3609929maamuzi mengine kumpa mtu magumu....

Mimi nimempigia ila kuna maneno kaniambia..
BOyfriend wake line yake inakuaga imezimwa kwa sababu ya madeni
( kwanini azime )red flag sign


2...miezi mitano ata kwa wazazi wa mwanaume hapajui eti alimuahidi biashara hela zipo NMB nikamuuliza ameziona jibu lake hajaona ata mia...
( redflag)

3.leo kafungiwa mwanaume kaiba tv ya vitron🤣..mwanaume akipenda ata kuiba ataiba akuleteee
Kuna siku kaiba mchanga mgodini

4..dada ana mimba ....maisha yao ya kuunganisha ...dah

Wanaume sio watu ila sio wote

5..kamdanganya ni photographer mkubwa kumbe muuza ice tangu amekaa naye ata hajasuka ...

6.kamwambia atamtafutia kazi kumbe kaja kumpachika tikitiki🤰🏻.....

Hapa aleee mimba au atoe? Mimi sna uamuzi...
Lakini wanawake mmezidi kuwafanya wanaume vitegauchumi.

Na hapa ndipo tatizo linapoanza.
 
Tamaa zinawafanya kuja kuwa single mother mnataka watu wa maisha bora au siyo kwaiyo muuza ice-cream siyo mtu mtu mpaka anafake life kwa tamaa zenu hayo ndo malipo nanipo namuombea kwa mungu akijalibu kutoa mimba mungu fanya miujiza nayeye atoke nayo afe
Muuza ice mwenyewe alifake maisha yani nyie wakaka muogopwe
 
MApenzi ya mwanzoni ni moto
Ndiyo maana ma-single mother wanazidi kujaa. Sikiliza: huyo rafiki yako mwambie afanye maamuzi magumu aitoe hiyo mimba. Asitoe uchochoroni bali hospital nzuri chini ya dr mtaalam. Vinginevyo ajiandae kulea mtoto, na kama anaona ataweza basi asitoe. Ameanza kumdanganya tangu mwanzo huyo atamkimbia siku si nyingi.
 
Ndiyo maana ma-single mother wanazidi kujaa. Sikiliza: huyo rafiki yako mwambie afanye maamuzi magumu aitoe hiyo mimba. Asitoe uchochoroni bali hospital nzuri chini ya dr mtaalam. Vinginevyo ajiandae kulea mtoto, na kama anaona ataweza basi asitoe. Ameanza kumdanganya tangu mwanzo huyo atamkimbia siku si nyingi.
Dah hii ni reality kabisa maisha hayana formular
 
View attachment 3609929View attachment 3609929maamuzi mengine kumpa mtu magumu....

Mimi nimempigia ila kuna maneno kaniambia..
BOyfriend wake line yake inakuaga imezimwa kwa sababu ya madeni
( kwanini azime )red flag sign


2...miezi mitano ata kwa wazazi wa mwanaume hapajui eti alimuahidi biashara hela zipo NMB nikamuuliza ameziona jibu lake hajaona ata mia...
( redflag)

3.leo kafungiwa mwanaume kaiba tv ya vitron🤣..mwanaume akipenda ata kuiba ataiba akuleteee
Kuna siku kaiba mchanga mgodini

4..dada ana mimba ....maisha yao ya kuunganisha ...dah

Wanaume sio watu ila sio wote

5..kamdanganya ni photographer mkubwa kumbe muuza ice tangu amekaa naye ata hajasuka ...

6.kamwambia atamtafutia kazi kumbe kaja kumpachika tikitiki🤰🏻.....

Hapa aleee mimba au atoe? Mimi sna uamuzi...
Acha utoto
 
Nilikuwa najiuliza inakuwaje mtu anakubali kuolewa na mwizi😂. Ila mwizi wa kuiba TV jua tu hana maisha marefu.
 
View attachment 3609929View attachment 3609929maamuzi mengine kumpa mtu magumu....

Mimi nimempigia ila kuna maneno kaniambia..
BOyfriend wake line yake inakuaga imezimwa kwa sababu ya madeni
( kwanini azime )red flag sign


2...miezi mitano ata kwa wazazi wa mwanaume hapajui eti alimuahidi biashara hela zipo NMB nikamuuliza ameziona jibu lake hajaona ata mia...
( redflag)

3.leo kafungiwa mwanaume kaiba tv ya vitron🤣..mwanaume akipenda ata kuiba ataiba akuleteee
Kuna siku kaiba mchanga mgodini

4..dada ana mimba ....maisha yao ya kuunganisha ...dah

Wanaume sio watu ila sio wote

5..kamdanganya ni photographer mkubwa kumbe muuza ice tangu amekaa naye ata hajasuka ...

6.kamwambia atamtafutia kazi kumbe kaja kumpachika tikitiki🤰🏻.....

Hapa aleee mimba au atoe? Mimi sna uamuzi...
Ila mabinti mna ujasiri, mtu mmejuana miezi minne tayari umembebea mimba, na kwao hupajui na kazi yake ni photographer wa kibongo (katika uongo wote kachagua hiyo ndiyo iwe profession yake 🤦‍♀️)

Saa nyingine matukio kama haya huwa mnastahili tu, acha huyo Medina naye ajifunze jambo, hatarudia huu ujinga!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom