walitola
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 4,849
- 5,694
Mkuu ngoja niongezee hapo hapo iyo barua inabidi iwe kwenye PDFcha msingi ile barua unayo atach si tayari ina adress ya unapotuma inatosha haina haja ya kutuma kwa posta
Mkuu ngoja niongezee hapo hapo iyo barua inabidi iwe kwenye PDFcha msingi ile barua unayo atach si tayari ina adress ya unapotuma inatosha haina haja ya kutuma kwa posta
Asante mkuu.. Ubarikiwe kwa offer hii... Ila Vyeti vyote vimekua certified labda uniajiri kua PA 😂😂😂Ndio mkuu.....
Piga copy vyeti vinavyohusika nenda kwa mwanasheria agonge muhuri na pia aweke signature.....
Baada ya hapo scan hiyo copy ya vyeti vilivyokuwa certified then upload ajira portal....
Ukihitaji mwanasheria nitafute nikugongee muhuri bure free of charge....
Yaani... Mungu ambariki sanaSafi sana mkuu nadhani ni watu wachache sana wenye moyo kama wako
Anwani inayotolewa hapo chini baada ya tangazo,Habari zenu wadau! Kuna tatizo moja naombeni mnisaidie mwenzenu kuna tangazo la kazi la utumishi la tarehe 24 ambalo limeelekeza maombi yote yafanyike kwa njia ya kielekitroniki kama kawaida ila sasa napata wakati mgumu kihusu hii angalizo lao wanalosema MUHIMU:je baada ya kutuma maombi kwa njia portal ukimaliza unayatuma maombi hayo hayo kwa njia ya posta kwenye anuani elekezi?.sijaelewa hapo chini wadau nisaidieni mwenzenu
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu ntakupata wapi nipige muhuri nahitaji ku certify vyetiNdio mkuu.....
Piga copy vyeti vinavyohusika nenda kwa mwanasheria agonge muhuri na pia aweke signature.....
Baada ya hapo scan hiyo copy ya vyeti vilivyokuwa certified then upload ajira portal....
Ukihitaji mwanasheria nitafute nikugongee muhuri bure free of charge....
Usizoee vya bure mana anaekupigia muhuri hadi kuupata alitumia rasilimali ela na rasilimali muda pia.....ukizoea sana ipo siku utaombwa 0713............akili kumkichwamkuu ntakupata wapi nipige muhuri nahitaji ku certify vyeti
povu jingi mzee kuna sehem nimeandika bure utaliwa 0713 kwa kudandia mambo shwainiUsizoee vya bure mana anaekupigia muhuri hadi kuupata alitumia rasilimali ela na rasilimali muda pia.....ukizoea sana ipo siku utaombwa 0713............akili kumkichwa