Habari zenu wadau! Kuna tatizo moja naombeni mnisaidie mwenzenu kuna tangazo la kazi la utumishi la tarehe 24 ambalo limeelekeza maombi yote yafanyike kwa njia ya kielekitroniki kama kawaida ila sasa napata wakati mgumu kihusu hii angalizo lao wanalosema MUHIMU:je baada ya kutuma maombi kwa njia portal ukimaliza unayatuma maombi hayo hayo kwa njia ya posta kwenye anuani elekezi?.sijaelewa hapo chini wadau nisaidieni mwenzenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app