Hii ofa mpya ya airtel ikoje

Hiyo wanayoita 'promotion ya free internet' ni kucheza na akili za wateja, hiyo free utaipata endapo tu kila mwezi unatumia Tsh 3,000/= kwa ajili ya internet na inaanzia usiku wa saa 4. hamia airtel
 
Kwakifupi hawa ni matapeli nimeinunua wiki sasa hakuna ofa yoyote natumia bando zangu tu.wezi hao
 
Ntanunua kesho.. Ntawajulisha leo mvua nkashndwa.. Bt swala la speed mbona Airtel iko mwake sana.. Uku naona inapta wk speed haijashuka
2.5mbps au 280KBps tena iko safi sana ktk kustream hd hazigandi kabisaa!!

me mwenyewe spd ipo freesh
 
Mimi ninayo, Hiyo FREE INTERNET ni Sh3,000 kwa mwezi na Kila usiku ni bure pia.

Lakini ile ya free internet ya usiku ni kwa wateja wote! Sio lazima unue modem, hata kwenye simu, au modem ya zamani...
Ndg hebu jaribu kunifafanulia...ina maana nukilipia 3000- kwa mwezi napata free internet ya GB ngapi kwa mwezi? Ni limited au unlimited? Kwa kweli nataka kujua kwani voda nnayotumia ni slow mno...asante kwa ufafanuzi
 
Baada ya kubadili kwenye setting hii ndo speed yao, kwa kweli bado kimeo duh!

airtel leo1.jpg
 
Yah hamna chabure kaah hawa hewateli nao washambukizwa uwizi kutoka Tigo.. Nmepewa modem na line ata haijasajiliwa bdo.. Bure itoke wap apo sasa.. Tena nmenda nunua makao makuu.. But modem iko safi sana.. Uzur pia inasupport HSUPA - hii ni high upload speed.. Apa natumia na zantel napata Download 3.8Mbs/ 400- 450 KBps na Upload 2Mbs/250KBps.. Just amazin na Zantel.. But Airtel speed ni ile ile only 250 KBps download.. Kwa sasa katka modem zote znazouzwa hii inaongoza kwa ubora!!
 
Naona bado kuna mkanganyiko kuhusu speed ya 3.75g ya Airtel wengi bado hatujaipata na baadhi yetu wanasema wanaipata...na wengineo kama mimi tunachezea speed ya EDGE BAND....sijui mkanganyiko unatoka wapi au kusababishwa na nini.....kuhusu ofa yao mpya wadau walionunua hizo modem tunaomba ufafanuzi zaiidi hayo matumizi ya sh 3000 ndo upewe net ya bure yakoje bado hatujaelewa na hio access ya bure unaweza download mb ngapi na speed inakua ileile au magumashi?
 
Yah hamna chabure kaah hawa hewateli nao washambukizwa uwizi kutoka Tigo.. Nmepewa modem na line ata haijasajiliwa bdo.. Bure itoke wap apo sasa.. Tena nmenda nunua makao makuu.. But modem iko safi sana.. Uzur pia inasupport HSUPA - hii ni high upload speed.. Apa natumia na zantel napata Download 3.8Mbs/ 400- 450 KBps na Upload 2Mbs/250KBps.. Just amazin na Zantel.. But Airtel speed ni ile ile only 250 KBps download.. Kwa sasa katka modem zote znazouzwa hii inaongoza kwa ubora!!

Thanks mkuu....je kwa modem hio mpya ya airtel unamaanisha waweza itumia na line ya zantel kupata hio speed ya 3.8Mbs au...kuhusu ofa ndo kusema ishu ya sh 3000/ ndo upewe net ya bure ucku haipo? na huo ubora wa modem hio mpya unatokana na addition gani hasa
sorry maswali mengi nataka kujua....kuuuliza sio u...
 
Thanks mkuu....je kwa modem hio mpya ya airtel unamaanisha waweza itumia na line ya zantel kupata hio speed ya 3.8Mbs au...kuhusu ofa ndo kusema ishu ya sh 3000/ ndo upewe net ya bure ucku haipo? na huo ubora wa modem hio mpya unatokana na addition gani hasa
sorry maswali mengi nataka kujua....kuuuliza sio u...
Yah hz modem znachakachulika kuirahisi sana.. So utaweza tumia mtandao wowote kuhusu ubora ni kwamba modem inasupport.
HSPDA 7.2 Mbps ambapo modem ya voda, tigo na airtel kabla ya hii zna uwezo mpaka 3.6 Mbps.. Hamna modem nyigine apa Tanzania ambayo inasupport
HSUPA 5.6Mbps but hii inasupport.. So mpaka apo ushaona ubora wake kuliko zngne.
 
mkuu.....mimi nimekinunua leo hii....
ki ukweli kina speed fulani ambayo sielewi sana lakini ukikiweka kwenye laptop kinajiset chenyewe na speed ni nzuri.....
tatizo linakuja......hii free internet ya miezi 6 inatoka wapi....?....wabongo na bure unatujua tena......
wakati nakinunua kulikuwa na watu wengi so nikaona muuzaji kachanganyikiwa kwa maswali....nikaona isiwe tabu nitauliza customer care.....
kupiga customer care kuuliza....muhudumu wa kwanza akanipotezea akakata simu.....
wa pili alikiri kwamba.....kweli sijui hiyo free internet inakujaje kujaje naomba unisamehe jaribu kuuliza tena kesho.....
binafsi nimebaki kwenye mataa.....naendelea nayo kwa bundle yangu ya kawaida......
ila speed mwanakwetu.....iko mwake.....

Kwanini hawasemi ukweli tu ili wateja wakajua hakuna hiyo ofa ya miezi sita,hata jirani yangu amenunua baada ya kuvutiwa na hiyo ofa lakini baada ya kuwauliza wakamtaka msamaha pengine watu wa promotion wamekosea HIvi hiyo ni kweli?????
 
Wakati watumiaji wa Airtel modem tukiwa ktk janga la kushuka kwa speed yake toka HSPDA hadi EDGE , huku wao wakitangaza kuwa wana speed kali ya 3,75 g na sasa wametoa/wanatangaza kama wanajf mnavyoona hio banner yao hapo juu kuwa NUNUA MODEM YAO KWA TSH 30,000/= NA UPATE INTERNET YA BURE KWA MIEZI 6 INA UKWELI WOWOTE ....KWA AMBAYE AMESHANUNUA KUPITIA HII OFA TAFADHALI TUNAOMBA ATUPE FEEDBACK KUHUSU OFA HIO NA UWEZO/SPEED YA HIZO MODEM MAANA TUNAKARIBIA KUWAKIMBIA HAWA JAMAA

hawa jamaa airtel wezi, jana nimeenda shop zao (Mlman'city) eti unatakiwa ununue modem afu kila mwezi uwe unaweka Tsh.6000/= afu wao watakupatia 200Mb kwa mda wa 6months, sasa me nkamuuliza yule muhudum kwa desk sasa mbona @Tsh.2500 napata 400Mb inakuaje ni offer tena??
Anajibu kwa_kigugumizi;..Aah,,aa..hiyo ndio offer yetu bana...200mb @Tsh.6000!!

co siri kimoyomoyo nilipga mid'finger aliyepropose hyo promo, coz is nothng better than SucKing...unless kama yule jamaa kwny help desk alishindwa kujieleza
 
ila airtel kwa sasa speed yao imeshuka sana, kama vile hakuna 3G japokuwa ipo.
 
Yah hz modem znachakachulika kuirahisi sana.. So utaweza tumia mtandao wowote kuhusu ubora ni kwamba modem inasupport.
HSPDA 7.2 Mbps ambapo modem ya voda, tigo na airtel kabla ya hii zna uwezo mpaka 3.6 Mbps.. Hamna modem nyigine apa Tanzania ambayo inasupport
HSUPA 5.6Mbps but hii inasupport.. So mpaka apo ushaona ubora wake kuliko zngne.

Zipo zinasupport mkuu Huawei E220 na K3570 from Voda na Airtel walikua na E220 mkuu. hii ninayotumia ina 7.2mbps huawei E220 from Airtel cku net ikicheka huwa nagonga hadi 800kbps ya Voda.
 
Mimi ninayo, Hiyo FREE INTERNET ni Sh3,000 kwa mwezi na Kila usiku ni bure pia.

Lakini ile ya free internet ya usiku ni kwa wateja wote! Sio lazima unue modem, hata kwenye simu, au modem ya zamani...


Hii free internet ya usiku mbona mimi siipati siku hizi?
Nina karibu mwezi sasa.
 
Jamani Airtel kuna mchemsho kwanza March 2012 walianza kutuuzia vifurushi Mb 400 kwa 20,000/ tukawahama wakarudi km awali Mb 400 kwa 2,500/ lkn edge badala ya HSPDA nikahamia BlackBerry kupitia tigo si utani inakung'uta km mbwa kichaa.jana nimejaribu modem yao nikajaribu kupost na ku-re-edit mpaka saa 6 usiku haikuweza nilipoingai Mobile ya BB ulikung'uta in seconds
Airtel wamechemsha waseme ukweli kuwa waongeze bei huduma yap ilikuwa nzuri zamani
 
Ofa ya Modem ipo kama ifuatavyo kama ukiinunua na kwa mwezi ukaweka zaidi ya 6000...Tuseme leo umeweka 3000 na kesho 3000, Basi utapatiwa Tsh3000 za bure katika huo mwezi kwa ajili ya internet...So cha kusheherekea hapo nadhan ni bei ya modem yao kushuka tu kutoka 529000 hadi 30000...Hiyo ndo offer na promotion halisi, hiyo ya sijui free internet ni udambwi dambwi tu shida yao bila shaka kuongeza umate mate

ila ukisema ni wezi utakua umechemka coz tangazo la promotion linasema ukinunua modem yao utapata free internet miezi sita bure...sio utatumia huduma ya internet bure kwa miezi sita...So nikikwambia ntakua nakupa fedha bure kwa mwaka mzima inawezekana kabisa fedha yenyewe ikawa ni mia mbili kila siku.
 
Zipo zinasupport mkuu Huawei E220 na K3570 from Voda na Airtel walikua na E220 mkuu. hii ninayotumia ina 7.2mbps huawei E220 from Airtel cku net ikicheka huwa nagonga hadi 800kbps ya Voda.

Kaka Voda modem K3570 na K3571 zina support HSDPA, 3G, EDGE na GPRS tu haina HSUPA
 
Back
Top Bottom