sinyoritah
JF-Expert Member
- Jun 3, 2012
- 552
- 346
tatizo nyotaaa watu hawakosei...
CC; Sheikh Hilary Kipozeo!
Wale wadada wanakata viuno hatareeeeeee
Mimi sipo kabisa katika hizi team mavi, mavi za hapa mjini mara team kiba mara team diamond, mara team sijui ushuzi !! Bali mi ninapenda mziki mzuri wa aina yoyote na uimbwe na team yoyote, twende kwenye point huu wimbo wa diamond NASEMA NAWE NI MZURI SANA TATIZO NI HII VIDEO HAWA MASHANGINGI YA MAGOMENI NA TANDALE YAVYOFANYA MLE NDANI, KAMA BASATA WALIIFUNGIA NYIMBO YA BATA YA WALE OFFSIDE TRICK NAOMBA WAIFUNGIE NA HII PIA KWABI HAINA TOFAUTI KABISA NA ILE ...
NB: MATUSI YANAKARIBISHWA PIA KKWA NYIE TEAM MAVI MAVI MSIOJIELEWA HAPA MJINI, KIKUBWA NKITAKA UJUMBE UFIKE NAJUA UMEFIKA COZ BASATA WAMO HUMA NDANI JF NAWASILISHA
Wakiufunga sie tushaudownload zamaniii
watu hawajui tu, Neema za Allah zilemmh pale kwenye Thomas yule Dada alivoruka msamba mie hoi
watu hawajui tu, Neema za Allah zile
ile mizigo MashaAllah, video yote ipo pale...! Basata wenyewe wanapendahahaa miuno feniii
mmh pale kwenye Thomas yule Dada alivoruka msamba mie hoi
ile mizigo MashaAllah, video yote ipo pale...! Basata wenyewe wanapenda
Mi nikajua kaumia nikashangaa anaendelea kukata.... Diamond mwacheni aitwe Diamond
utamu utamu hii video, " giri girani, mambo ya bara na pwani " wengine hoi uku..! Kagusa kila aina ya ugonjwa wetu, kuna mdada alikua anatingisha nanilia ( mtindi )...! Hatareebasata wenyewe washadownload, kwani nani hapendi mambo matamu hahahaaaa
Mimi sipo kabisa katika hizi team mavi, mavi za hapa mjini mara team kiba mara team diamond, mara team sijui ushuzi !! Bali mi ninapenda mziki mzuri wa aina yoyote na uimbwe na team yoyote, twende kwenye point huu wimbo wa diamond NASEMA NAWE NI MZURI SANA TATIZO NI HII VIDEO HAWA MASHANGINGI YA MAGOMENI NA TANDALE YAVYOFANYA MLE NDANI, KAMA BASATA WALIIFUNGIA NYIMBO YA BATA YA WALE OFFSIDE TRICK NAOMBA WAIFUNGIE NA HII PIA KWABI HAINA TOFAUTI KABISA NA ILE ...
NB: MATUSI YANAKARIBISHWA PIA KKWA NYIE TEAM MAVI MAVI MSIOJIELEWA HAPA MJINI, KIKUBWA NKITAKA UJUMBE UFIKE NAJUA UMEFIKA COZ BASATA WAMO HUMA NDANI JF NAWASILISHA
utamu utamu hii video, " giri girani, mambo ya bara na pwani " wengine hoi uku..! Kagusa kila aina ya ugonjwa wetu, kuna mdada alikua anatingisha nanilia ( mtindi )...! Hataree
inabidi nianze kuhudhuria zile " Vigodoro ", kuna jamaa yangu anaishi ubungo anasema mambo haya yapo sana kule kwao...!heheee sijui kawatoa wapi wale watu
Hii nyimbo ndio nini? Huu wimbo au hizi nyimbo ndio neno sahihi,wa-tz tunajichanganya sana kuhusu umoja na wingi,wimbo(umoja) na nyimbo(wingi).