Hii ni....!

Hii ni....!

Mshana, zinatumikaje kwenye uchawi? Nadhani ndiko unakoelekea. Shusha nondo mkuu tujifunze!
 
Inasemekana kuwa ulaji wa nyanya chungu kwa wingi na muda mrefu inaweza kukinga ugonjwa wa glaucoma (presha kuwa juu machoni)
 
Ndura,aka Tura,au Ndulele enzi za utoto nlishapata hela kwa kuchuma mizizi ya hiyo mimea kuna mama mmoja jirani yetu alinipa hiyo kazi hiyo.
Kipindi cha mitihani tumezibeba sana chuoni ati msimamizi asikae darasani wenye nyenzo zao wazitumie, lazima uwe nayo ukiikataa wewe msaliti
 
Hhah
Kipindi cha mitihani tumezibeba sana chuoni ati msimamizi asikae darasani wenye nyenzo zao wazitumie, lazima uwe nayo ukiikataa wewe msaliti
Hahahahahaaaa,umenichekesha sana na nimekumbuka mbali kwa kweli,nakumbuka pia mambo ya utoto tulikua tunaambiana kwamba ukitaka demu wako asikuache siku ya kwenda kufanya nae mambozz upasue na yale maki maki yake upake kwenye kichwa cha willy,basi hapo demu wako hatokuacha kwani raha atakayopata hakuna mfano.
 
Hhah

Hahahahahaaaa,umenichekesha sana na nimekumbuka mbali kwa kweli,nakumbuka pia mambo ya utoto tulikua tunaambiana kwamba ukitaka demu wako asikuache siku ya kwenda kufanya nae mambozz upasue na yale maki maki yake upake kwenye kichwa cha willy,basi hapo demu wako hatokuacha kwani raha atakayopata hakuna mfano.
Duuu imani hizi!!
 
Hhah

Hahahahahaaaa,umenichekesha sana na nimekumbuka mbali kwa kweli,nakumbuka pia mambo ya utoto tulikua tunaambiana kwamba ukitaka demu wako asikuache siku ya kwenda kufanya nae mambozz upasue na yale maki maki yake upake kwenye kichwa cha willy,basi hapo demu wako hatokuacha kwani raha atakayopata hakuna mfano.

Mi nataka mtu fulani apake hiyo kwenye nanihii yake siku tutakayo nanihii ili nisimuache..... maana akigeukia kwa wengine tuu kuna sauti inaniambia muache ana wanawake wengi huyo
 
Kuna maeneo Tabora nilisikia watoto wakiita ntulantu. Na hailiwi ipo tofauti na nyanya chungu.
Pia nilishawahi kumsikia mdada akisema alishauriwa achemshe mzizi wake kupunguza maumivu ya tumbo la period nikama 7 years ago. Hivi ni kweli
 
Mi nataka mtu fulani apake hiyo kwenye nanihii yake siku tutakayo nanihii ili nisimuache..... maana akigeukia kwa wengine tuu kuna sauti inaniambia muache ana wanawake wengi huyo
Hahahahaaaa! wee nawe acha mambo yako.... hiyo ilikuwa ni mambo ya kitoto tu,tunadanganyana, maana sina uhakika kama yale majimaji kama hayawashi.
 
Hahahahaaaa! wee nawe acha mambo yako.... hiyo ilikuwa ni mambo ya kitoto tu,tunadanganyana, maana sina uhakika kama yale majimaji kama hayawashi.

Saa nyingine vitu kama hivi vinakuwaga na ukweli sema tuu haviwekwi wazi vinabaki utani utani tuu na utoto utoto..... wamasai wanajua haya mambo naona niende kwa baba yoyoo aniambie.
 
Saa nyingine vitu kama hivi vinakuwaga na ukweli sema tuu haviwekwi wazi vinabaki utani utani tuu na utoto utoto..... wamasai wanajua haya mambo naona niende kwa baba yoyoo aniambie.
Yap! itakua poa sana,Hebu nenda chap kwa Mongoo huyo then ikiwa kweli inafanya hiyo shughuli uje na majibu hapa ili tuweze changamkia fursa ya tiba mbadala, maana nasikia tabibu nani sijui! anatafutwa na polisi,sasa wakati yeye yupo mafichoni huko,hebu fanya kweli kwa Baba yeyoo huko tuweze kuchangamkia fursa huku,pesa ya njenje hii,hahaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom