Hii ni usafi au ni mbwembwe

Huo ugonjwa

Habari zenu mabingwa wa MMU,Hii ilinitokea jumamosi iliyopita nilimtumia demu wangu nauli aje kuninyoosha kidogo kiuno changu yaani aje jumamosi jioni aondoke jumapili jioni.

Sababu ya kuuliza ni kwamba huyu demu alikuja na kiroba cha pichu yaani nikimaliza bao anava pichu anaenda kuirekebesha toilet simnajua nyumba zetu za uswahilin choo 50m away,kwa bao tano nilizopiga mdada alibadilisha pichu tano plus aliyovaa akiondoka jumla sita.

SWALI
hii imekaaje ni usafi au mbwembwe kupiga pichu tano per night?
 
kwani mlikuwa mnafanya kichupi chupi? kwanza chupi mbili moja nimevaa na nyingine ya kuondokea zinatosha aii chupi tano za nini zote
 
Yaan thread nyingine bana...mpaka huwa najiuliza IQ ya mleta mada. Kaandika yeye lakin naona aibu mimi
 
kwani hayo mabao ulikuwa unapiga kwenye chu.pi?? Maana mimi sijaona mantiki ya yeye kubadili chupi zote hizo..
Au mi ndo sijaelewa? Yaani ukipiga bao anaenda anaoga alafu anavaa chupi nyingine, alafu unamgegeda tena (?bila kumvua chu.pi); halafu anavaa tena chupi nyingine.......... and the cycle continues!!!!? really??
kweli JF is never boring!!!
 
Wapo wanaopiga ila sio wengi

Kweli najua wapo lakini humu JF wengi wanaojinadi na hizo bao tano hata zaidi ni mbwembwe tu. Wanafikiria sana quantity na sio quality. Kuna mtu humu kasema anaweza kupiga hizo tano lakini hazichukua dakika mbili !!
 
Sidhani kama ni demu wako, Ukijaribu kumaanisha girlfriend au Mchumba!!
Otherwise, Kama ni mtu ambae unamheshimiana huwezi kuja hapa kuuliza swali kama hilo
Kwani we akilini kwako Unawaza ni nini?.
 
kweli huo ni usafi tena sasna hongera kwa kumpata mrembo msafi kiasi hicho ila kaa ukijua akitoka hapo anakwenda kubadili pichu nyingine 5 kwa watu wengine wa5 mkuu habari ndo iyo

Kama hataki... ..Anaacha...!
 
huyu huenda anatimiza masharti aliopewa na mganga wake.i hope soo utatangaza ndoa
 
Back
Top Bottom