laussane
JF-Expert Member
- Oct 8, 2009
- 255
- 131
Huo ugonjwa
Habari zenu mabingwa wa MMU,Hii ilinitokea jumamosi iliyopita nilimtumia demu wangu nauli aje kuninyoosha kidogo kiuno changu yaani aje jumamosi jioni aondoke jumapili jioni.
Sababu ya kuuliza ni kwamba huyu demu alikuja na kiroba cha pichu yaani nikimaliza bao anava pichu anaenda kuirekebesha toilet simnajua nyumba zetu za uswahilin choo 50m away,kwa bao tano nilizopiga mdada alibadilisha pichu tano plus aliyovaa akiondoka jumla sita.
SWALI hii imekaaje ni usafi au mbwembwe kupiga pichu tano per night?