kwani mlikuwa mnafanya kichupi chupi? kwanza chupi mbili moja nimevaa na nyingine ya kuondokea zinatosha aii chupi tano za nini zote
Kyekue hata mimi naelewa ni ivo lakin huyu alinishangaza.But i have already request re-match may be this week end in the same venue ili niendele na utafiti wangu,i expect more wonder
Nafikiri hatakua anafanya kwa nia njema kabisa ili kuni-win
Kyekue hata mimi naelewa ni ivo lakin huyu alinishangaza.But i have already request re-match may be this week end in the same venue ili niendele na utafiti wangu,i expect more wonder
Hizo bao tano nyingi "zinapigwa" humu JF kwenye uhalisia hamna kitu. Usiumize kichwa bure!
Yaan thread nyingine bana...mpaka huwa najiuliza IQ ya mleta mada. Kaandika yeye lakin naona aibu mimi
Habari zenu mabingwa wa MMU,Hii ilinitokea jumamosi iliyopita nilimtumia demu wangu nauli aje kuninyoosha kidogo kiuno changu yaani aje jumamosi jioni aondoke jumapili jioni.
Sababu ya kuuliza ni kwamba huyu demu alikuja na kiroba cha pichu yaani nikimaliza bao anava pichu anaenda kuirekebesha toilet simnajua nyumba zetu za uswahilin choo 50m away,kwa bao tano nilizopiga mdada alibadilisha pichu tano plus aliyovaa akiondoka jumla sita.
SWALI hii imekaaje ni usafi au mbwembwe kupiga pichu tano per night?