Bantu lady aisee unaidhalilisha familia yetu. Asprini hawezi kumshinda mdogo wetu, tutamtoa BUSHA
Shikamoo babu!!Sijui kwanini nakumiss namna hii.
Ana umri gani huyo rafiki yako, ameanza kufanya hivyo toka lini, jambo hili si kwa wakaka hata kwa kina baba na babu, swali je hufanya hivyo pia pindi anaposalimiana na baba yake mzazi, au kaka zake/wajomba nk au hufanya hivyo kwa wakaka wa mtaani tu.hahahaha nina rafiki yangu huyo aisee akisalimiwa na mkaka kwa ku shake hand lazima akanawe, ananawa mikono ata mara 20 kwa siku namuuliza why this my dear, anasema huwa wakienda kushii hawanawi mikono kwaiyo inamtia kinyaa, twih twih twih tuache kutumia toilet jamani maji nayo yana nafasi yake
Very disgusting,esp kubeua,..
Kusalimiana kwa kushikana mikono!
lazima wabongo wakuone kiburi na mwenye nyoodo, hawatotazama masuala ya afya
Mkuu sipingi kushikana mikono lakini nahoji usafi wa mikono yetu na usalama wake kwenye kusalimiana kutokana na tabia ambazo sio sahihiKwa kweli sipingi kuwa kuna watu wana tabia mbaya, kama kutema tema ovyo bila kujali watu walio karibu, au kujishika shika kama picha ya Tyta inavyosema ,lakini naomba nikuulize ,ni mara ngapi umeugua kwa kushikana mkono na mtu???
ndio maana imani yangu ni bora zaidi, maana ilishakataza kushikana mikono zamaaani....!
hairuhusu uchafu huo pia sema wanaadamu tu kupenda kujaribu kile kilichokatazwa...Inaweza kataza kushikana mikono lakini ikawa inaruhusu uchafu na uovu mwingine mbaya zaidi ya kushikana mikono!
hii nayo ni kero, na ile ya kuongea na mate yanaruka kama mshalehasa hii ya kupiga chafya kwenye public trnsport huku m2 kaachia domo wazi, inanikera maana huwezi kujua afya za wa2 wote,
mbona wapo wajambaji mbele za wa2