Hii ni tabia mbaya kwenye mahusiano

Hii ni tabia mbaya kwenye mahusiano

Mokoyo

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2010
Posts
15,145
Reaction score
5,574
Kuna tabia ambazo si nzuri kwenye jamii kama zifuatazo;

1. Kuchokonoa pua kwa vidole (hasa mbele ya watu),
2. Kuchokonoa masikio kwa vidole (hasa mbele za watu),
3. Kubeua (kucheua kwa sauti kuubwa "braaaah) (hasa mbele za watu)
4. Kukaaa na "toothpick" muda mrefu mdomoni kama "lolly pop"?
5. na tabia nyingine kama hizo.

Imagine mtu anatoka kuchokonoa pua halafu anakusalimia kwa mkono, mmmmmmh, sio afya na haipendezi hata kidogo.

TUJIREKEBISHE kwa kutumia TISHU, HANDKERCHIEF n.k. Maisha ni usafi wa ujumla na sio kubadilisha ch.p na b.xer kila siku tu.

Mokoyo
 
hahahaha nina rafiki yangu huyo aisee akisalimiwa na mkaka kwa ku shake hand lazima akanawe, ananawa mikono ata mara 20 kwa siku namuuliza why this my dear, anasema huwa wakienda kushii hawanawi mikono kwaiyo inamtia kinyaa, twih twih twih tuache kutumia toilet jamani maji nayo yana nafasi yake
 
hivi hii tabia ya kusalimiana kwa kupeana mikono tumeirithi kutoka kwa nani??....

mi kiukweli siipendi! kunamengi sana yanafichwa na mikono hii..... kuna vingapi vichafu vinashikwa na mikono? imagine..

kuna watu wanajiona kukohoa bila kuziba midomo ni haki yao ya kikatiba kabisa!!... yani handkerchiefs zipo kabisa kwa ajili ya kuzibia midomo wakati unakohoa, lakini wapi!!! mtu anankohoa bwaaaaaa!! hata mikono basi apishie pembeni kule, hakuna!!!!!.. imagine...!!
 
hahahaha nina rafiki yangu huyo aisee akisalimiwa na mkaka kwa ku shake hand lazima akanawe, ananawa mikono ata mara 20 kwa siku namuuliza why this my dear, anasema huwa wakienda kushii hawanawi mikono kwaiyo inamtia kinyaa, twih twih twih tuache kutumia toilet jamani maji nayo yana nafasi yake
duh duh huyo mgomvi aisee, ile haina kinyaa bana hahahahaha
 
Kuna tabia ambazo si nzuri kwenye jamii kama zifuatazo;

na tabia nyingine kama hizo.

602731_417960054980981_1721887521_a.jpg
74627_413551452088508_498595675_n.jpg
 
hahahaha nina rafiki yangu huyo aisee akisalimiwa na mkaka kwa ku shake hand lazima akanawe, ananawa mikono ata mara 20 kwa siku namuuliza why this my dear, anasema huwa wakienda kushii hawanawi mikono kwaiyo inamtia kinyaa, twih twih twih tuache kutumia toilet jamani maji nayo yana nafasi yake

Mwambie huyo rafiki yako kila herufi anayotype kwenye keyboard yake au kila aishikapo simu yake aende akanawe mikono. Maana huko ndio kuchafu zaidi!
 
Mimi mambo ya kusalimiana na mikono siyapendi, salamu ya sauti inatosha.
Hata kuhug hovyohovyo huku mnakiss kuna wengine wana mmba sijui tangotango usoni. Mtu unaweza ambukizwa ni kuwa makini tu.
 
Mimi mambo ya kusalimiana na mikono siyapendi, salamu ya sauti inatosha.
Hata kuhug hovyohovyo huku mnakiss kuna wengine wana mmba sijui tangotango usoni. Mtu unaweza ambukizwa ni kuwa makini tu.

Wacha wee.....
 
Ni mbaya na hatar kwa afya ..
Kupeana mikono sio lazima na Mimi wengi ziwapi salamu za mikono..
Wanamaind wengine ila nawapa sababu za kiana na kupotezea
 
Back
Top Bottom