Hii ni 'pure class'...

wapo waliowatukana pia, but all in all it was a good gesture
 
All is said here, niseme nini tena?
I am a happy person not because everything that happens to me is great,
But because I see everything in its most positive angle. At least I try to
Naamini kabisa kua the way we see things influences what happens next.

If you lock yourself in a spiral of negative thought you miss out on the positive.
Good opportunities to turn your life around will pass you by because
You will be reminiscing the past and wondering who did it to you.
Pull yourself up, dust your behind, smile and move on. Tha't the thing!
 
Thank you...
 


Alipitiwa kidogo tu, afu alikuwa anatania bana don;t take it serious!!
 

Miss you too mwanangu snowhite.
Mama yako nimerudi tena baada ya safari ya mbali.
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:

This thread is "pure class"!
 
Halafu watu wananiuliza nimekung'ang'ania nini kwa sukari ya warembo.

Word, being bitter is harmful to ones health.
 
Nimeipenda..ni jambo la msingi sana katika maisha..kila mtu ana mchango wake katika jambo, tujifunze kushukuru mchango wa kila mmoja
 



HALA HALA ! YASIJE YAKAWA MANENO YA KEJELI...


Hii Inanikumbushu Mwalimu Wangu wa Kiswahili MR KIGUKU alipokuwa akimwambia Chenga mmoja Hivi '' Dah ! Hongera sana ! Hakuna aliyepata Alama kama zako... Wewe ni wa kipekee sana ''


Hizo ALAMA Zenyewe sasa !!!! Below 20%...
 
Unacheka nini wakati unaamua kumchokoza babu makusudi?

Na mbaya zaidi umemwita Fixed Point naye akaja kuharibu mambo. Habari za ex na mazaga zaga yao zinakujaje kwenye party takatifu?
Labda sikumwelewa The Boss, nilichoelewa ni kwamba tunatakiwa tukumbuke mazuri ya waliopita na siyo kuzungumzia mabaya tu. tunatakiwa tusema Thank you kwa starehe tulizopata tulipokuwa nao kwani kwa kuwa nao tu kunadhihirisha kuna mazuri yalikuwepo.......
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…