Otile na yule mwanadada Jovial jia hatari kabisa. Sema ndo hivyomondi azidi kuonyesha kwamba yeye ndiye mfalme wa East africa π kutokana na kuwa namba moja kwenye list ya watu walioangaliwa zaidi mjini YouTube .......
Ni kusikilizwa ndani ya muda gani au Ni list ya mwezi wa ngapi ?mondi azidi kuonyesha kwamba yeye ndiye mfalme wa East africakutokana na kuwa namba moja kwenye list ya watu walioangaliwa zaidi mjini YouTube .......
ushauri wangu watanzania tuhamasishe wasanii wetu wafanye muziki na sio kulia lia kwenye media
Umezunguka wee lakini lengo lako ilikuwa ni kumponda harmonize. Sijui kakufanyaje
Kwan kamponda vp hapo...?Umezunguka wee lakini lengo lako ilikuwa ni kumponda harmonize. Sijui kakufanyaje
Kwan kamponda vp hapo...?
Huyu mwamba akiacha nyimbo za kumponda Diamond atafika mbali sana.
Sikiliza nyimbo kama Kwa ngaru na Mtaje ipo poa. Ajifunze kwa Diamond na Alikiba
Too much copying from western kwa Otile. Muziki wake umekaa kimagharibi sana sometimes hata anachoimba hukisikii. In my opinion this guy is overrated.Otile na yule mwanadada Jovial jia hatari kabisa. Sema ndo hivyo
Mimi napenda nyimbo zake hasa alizoimba na jovial, yule mwanadada hatari sana.Too much copying from western kwa Otile. Muziki wake umekaa kimagharibi sana sometimes hata anachoimba hukisikii. In my opinion this guy is overrated.