Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,191
- 46,234
Harmonize kwa expectation zako baada ya kutoka wasafi ulidhani atapaa zaidi ya alivyokuwa wasafi au uliona ataporopoka?Kesho ataitisha tena press nakusema kwanini anaishika hiyo nafasi, ukiwekeza kwenye kiki sana madhara yake ndio haya hata kwenye mauzo ya mziki afanyi vizuri ingawa yenye ndio anatoa ngoma nyingi.Shida kuu ya huyu msanii akishatoa ngoma lazima afanye na kiki na bahati mbaya kiki zake zinafunika nyimbo zake