ChaMtuMavi
JF-Expert Member
- Oct 15, 2008
- 330
- 8
Jamani, thamani ya kitu utaijua pale unapokikosa:
Kabla hujamuoa huyo mkeo alikuwa kifaa ambacho hukuweza lala bila kumwona au msikia. Ushamweka ndani basi value yake imekwisha na kuanza kusaka barabarani wale waliobeba chupi mkononi.
Cha ajabu wewe mume unalalamiaka eti mkeo hakufanyii kama huyo kimada. Je WEWE UNAMFANYIA MKEO HAYO UNAYOMFANYIA KIMADA? Pengine huko unakuwa kama shamba boy.
Mimi ninauita huo ni ulimbukeni wa kujifanya mambo mnayaweza kumbe si lolote.
Mtahangaika saaana, mtaishia kufirisika na mtupwe nje kama mbwa aliyechoka.
Ngoja nikupe sifa chache za nyumba ndogo:
1. hazitaki tenda ya jumla, ni rejareja tu , in that case hawataki majukumu ya kulea mume(no commitments), just hit and run
2. Wanataka kuwa huru na wapo tayari kwa mwekezaji yeyote
3. Ukitereza kipesa kwake biashara imekwisha
In other-way tunaweza kuwaita CDs ambao ni home based, tofauti na wale wanojiuza barabarani.
Poleni sana WANAUME umnaodhani umnatafuta amani ya roho kumbe mnalikaribia kaburi.
USHAURI WA BURE
Penda mkeo, mfanyie mazuri yote, mkeo ni dhamana, fainali uzeeni.
Stay blessed
Kabla hujamuoa huyo mkeo alikuwa kifaa ambacho hukuweza lala bila kumwona au msikia. Ushamweka ndani basi value yake imekwisha na kuanza kusaka barabarani wale waliobeba chupi mkononi.
Cha ajabu wewe mume unalalamiaka eti mkeo hakufanyii kama huyo kimada. Je WEWE UNAMFANYIA MKEO HAYO UNAYOMFANYIA KIMADA? Pengine huko unakuwa kama shamba boy.
Mimi ninauita huo ni ulimbukeni wa kujifanya mambo mnayaweza kumbe si lolote.
Mtahangaika saaana, mtaishia kufirisika na mtupwe nje kama mbwa aliyechoka.
Ngoja nikupe sifa chache za nyumba ndogo:
1. hazitaki tenda ya jumla, ni rejareja tu , in that case hawataki majukumu ya kulea mume(no commitments), just hit and run
2. Wanataka kuwa huru na wapo tayari kwa mwekezaji yeyote
3. Ukitereza kipesa kwake biashara imekwisha
In other-way tunaweza kuwaita CDs ambao ni home based, tofauti na wale wanojiuza barabarani.
Poleni sana WANAUME umnaodhani umnatafuta amani ya roho kumbe mnalikaribia kaburi.
USHAURI WA BURE
Penda mkeo, mfanyie mazuri yote, mkeo ni dhamana, fainali uzeeni.
Stay blessed