Hii ni kwangu tu kuna wengine huwatokea???

Dena Amsi

R I P
Aug 17, 2010
13,082
4,260
Nimejikuta najiuliza maswali mpaka nikafika mahala hapa.

Kwanini mtu wa karibu mume/mke/msichana/mvulana anapofanya mawasiliano (simu, sms, kuja kusalimu home, kusalimiana barabarani nk) na mtu mwingine (ambaye si ndugu yako) wa jinsia tofauti na yake "Roho inauma sana" hata kama hawajafanya kitu wala hawana wazo hilo??? Sizungumzii wivu lakini unajikuta tu hupendi automatically kwa kipindi hicho baada ya muda inatoweka................

Nikajikuta nafikia kusema labda kwa sababu hilo tunda mlilokwisha kula wewe na yeye lilishawishiwaiwa kuliwa na na adui mkubwa wa binadamu "Nyoka"??? Hapa nazungumzia wazee wetu wa mwanzo Adam na Eva (kwa mujibu wa vitabu vya dini) walishawishiwa na nyoka kula tunda ndo maana unajikuta na wewe hutaki wala hupendi mtu mwingine nae ale hilo tunda ambalo wewe umeshadanyika na kulilla??

Hali hii inawatokea wenzangu na nyie??

Najifikiria tu kwa hili.

Asubuhi njema mbarikiwe sana
 
Nimejikuta najiuliza maswali mpaka nikafika mahala hapa.

Kwanini mtu wa karibu mume/mke/msichana/mvulana anapofanya mawasiliano (simu, sms, kuja kusalimu home, kusalimiana barabarani nk) na mtu mwingine (ambaye si ndugu yako) wa jinsia tofauti na yake "Roho inauma sana" hata kama hawajafanya kitu wala hawana wazo hilo??? Sizungumzii wivu lakini unajikuta tu hupendi automatically kwa kipindi hicho baada ya muda inatoweka................

Nikajikuta nafikia kusema labda kwa sababu hilo tunda mlilokwisha kula wewe na yeye lilishawishiwaiwa kuliwa na na adui mkubwa wa binadamu "Nyoka"??? Hapa nazungumzia wazee wetu wa mwanzo Adam na Eva (kwa mujibu wa vitabu vya dini) walishawishiwa na nyoka kula tunda ndo maana unajikuta na wewe hutaki wala hupendi mtu mwingine nae ale hilo tunda ambalo wewe umeshadanyika na kulilla??

Hali hii inawatokea wenzangu na nyie??

Najifikiria tu kwa hili.

Asubuhi njema mbarikiwe sana
Dena unaposema hauzungumzii wivu utakuwa kidogo unakosea kwasababu kwa hali jinsi ulivyoelezea inaonekana ni wivu kabisa haiwezekani from no where haupendi tu automatically kama sio wivu in one way or another kutakuwa kuna wivu ndani yake.
 
Dena unaposema hauzungumzii wivu utakuwa kidogo unakosea kwasababu kwa hali jinsi ulivyoelezea inaonekana ni wivu kabisa haiwezekani from no where haupendi tu automatically kama sio wivu in one way or another kutakuwa kuna wivu ndani yake.

Nimesema sizungumzii wivu right???
 
Nimejikuta najiuliza maswali mpaka nikafika mahala hapa.

Kwanini mtu wa karibu mume/mke/msichana/mvulana anapofanya mawasiliano (simu, sms, kuja kusalimu home, kusalimiana barabarani nk) na mtu mwingine (ambaye si ndugu yako) wa jinsia tofauti na yake "Roho inauma sana" hata kama hawajafanya kitu wala hawana wazo hilo??? Sizungumzii wivu lakini unajikuta tu hupendi automatically kwa kipindi hicho baada ya muda inatoweka................

Nikajikuta nafikia kusema labda kwa sababu hilo tunda mlilokwisha kula wewe na yeye lilishawishiwaiwa kuliwa na na adui mkubwa wa binadamu "Nyoka"??? Hapa nazungumzia wazee wetu wa mwanzo Adam na Eva (kwa mujibu wa vitabu vya dini) walishawishiwa na nyoka kula tunda ndo maana unajikuta na wewe hutaki wala hupendi mtu mwingine nae ale hilo tunda ambalo wewe umeshadanyika na kulilla??

Hali hii inawatokea wenzangu na nyie??

Najifikiria tu kwa hili.

Asubuhi njema mbarikiwe sana
yale yaleeeeeeeeee, Wivu sina ila roho inauma..........,allllaaaaaaa,kubali tu Dena hako ni kaugonjwa ka wivu na unatakiwa ukakabili shem vinginevyo kutwa kucha utakuwa miserable maana there is no way unaweza kumzuia binadamu mwenzio,tena mmekutana ukubwani asisalimie au kuwasiliana kwa namna yoyote na binadamu wa jinsia nyingine.Hapa busara muhimu itumike mpenzi vinginevyo utatuacha wakiwa siku si zako.Asubuhi njema.
 
Wivu wa namna hiyo hata mimi ninao. Yaani hata utani utani tu wa eti mume wa dada yake amwite girlfriend wangu wangu ''wife au darling'' kwa utani roho inaniuma, ila huwa najikaza kisabuni tu.
 
Nimejikuta najiuliza maswali mpaka nikafika mahala hapa.

Kwanini mtu wa karibu mume/mke/msichana/mvulana anapofanya mawasiliano (simu, sms, kuja kusalimu home, kusalimiana barabarani nk) na mtu mwingine (ambaye si ndugu yako) wa jinsia tofauti na yake "Roho inauma sana" hata kama hawajafanya kitu wala hawana wazo hilo??? Sizungumzii wivu lakini unajikuta tu hupendi automatically kwa kipindi hicho baada ya muda inatoweka................

Nikajikuta nafikia kusema labda kwa sababu hilo tunda mlilokwisha kula wewe na yeye lilishawishiwaiwa kuliwa na na adui mkubwa wa binadamu "Nyoka"??? Hapa nazungumzia wazee wetu wa mwanzo Adam na Eva (kwa mujibu wa vitabu vya dini) walishawishiwa na nyoka kula tunda ndo maana unajikuta na wewe hutaki wala hupendi mtu mwingine nae ale hilo tunda ambalo wewe umeshadanyika na kulilla??

Hali hii inawatokea wenzangu na nyie??

Najifikiria tu kwa hili.

Asubuhi njema mbarikiwe sana

Wivu huna ila roho inauma siamini.No! ndio wivu wenyewe
 
Wivu wa namna hiyo hata mimi ninao. Yaani hata utani utani tu wa eti mume wa dada yake amwite girlfriend wangu wangu ''wife au darling'' kwa utani roho inaniuma, ila huwa najikaza kisabuni tu.

Nimesema sizungumzii wivu right???

yale yaleeeeeeeeee, Wivu sina ila roho inauma..........,allllaaaaaaa,kubali tu Dena hako ni kaugonjwa ka wivu na unatakiwa ukakabili shem vinginevyo kutwa kucha utakuwa miserable maana there is no way unaweza kumzuia binadamu mwenzio,tena mmekutana ukubwani asisalimie au kuwasiliana kwa namna yoyote na binadamu wa jinsia nyingine.Hapa busara muhimu itumike mpenzi vinginevyo utatuacha wakiwa siku si zako.Asubuhi njema.

Wivu huna ila roho inauma siamini.No! ndio wivu wenyewe
Habari yake WIVU banaaa
 
dah! kazi ipo! sasa salamu tu barabarani roho inataka kuacha mwili,huyo jamaa simu yake unai-handle vp?sijui ni kujiamnini kupita kiasi,ila nahitaji sababu nzuri ya kuona wivu kama vile simu na mikutano ya vificho/siri
 
kwa vile hodi ya chooni sio ya sauti ni kugonga tu mlango,na aliye ndani nae anagonga mlango (kwa choo cha uswazi,kidogo kama sanduku), kama huufikii mlango unatoa kakikohozi ka kizushi tu.kama nimepatia unipe zawadi,plz

hod ya choon inaitikiwaje babu?
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom