chriss brown
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 292
- 63
Hivi dada zetu,mmeshaona kuwa na mabody makubwa aka mahipsi yakichina ndo tutawapenda sana?.Naomba samahani kwa wale waliozaliwa hivyo.naongelea hawa wakichina.Unakuta mtu alikuwa Miss baada ya kumaliza tu.Mtoto anapata figure nzuri mpaka unashangaa.Acheni dada zetu mtapata kansa za bure.Uzuri wa mtu upo machoni kwa mtu.Ingawa napenda sana watoto wa hivyo.ila c wakichina.Badilikeni!..MTAPATA MADHARA BAADAE.