muzi
JF-Expert Member
- Jun 17, 2016
- 1,038
- 1,448
Tanzania tunatia aibu, nimesafiri kwenda nje nikapimwa na kupewa certificate na kulipa pesa. Baada ya kufika nje nilionyesha certificate wakagonga muhuri nikaendelea na shughuli zangu.
Baada ya kumaliza pilika pilika nikapima kule nje baada ya kufika Dar eti wanalazimisha kupima tena, kuwaonyesha certificate niliyopewa kule jana yake hawataki kujua wala kusikia, njaa zao wakupige $100 hata sidhani kama wanapima.
Kwa kweli inakera sana, mbona certificate zetu kule wanatambua na kuheshimu?
Kwanini certificate ambayo mtu kapima ndani ya 24-48 hours hamziheshimu?
Kama ni njaa ya fedha mmeshidwa kutafuta toka kwenye vyanzo vingine?
Watu wengi foleni kubwa wameacha na ndege za kuunga kwenda kwingineko
Hii ni kero TWO TO THREE MONTHS LEO, Waziri wa Afya kimya, haongei chochote, tangua ameacha kukimbia mazoezi ya kunywa sijui nini nothing is working. Katika awamu zote hatujawahi kuwa na waziri ya afya worse kama huyu, shughuru mama ana huruma ungeshatumbuliwa mapema. Hii kero imeshaletwa humu lakini waziri kama vile haoni
AIBU SANA!
Baada ya kumaliza pilika pilika nikapima kule nje baada ya kufika Dar eti wanalazimisha kupima tena, kuwaonyesha certificate niliyopewa kule jana yake hawataki kujua wala kusikia, njaa zao wakupige $100 hata sidhani kama wanapima.
Kwa kweli inakera sana, mbona certificate zetu kule wanatambua na kuheshimu?
Kwanini certificate ambayo mtu kapima ndani ya 24-48 hours hamziheshimu?
Kama ni njaa ya fedha mmeshidwa kutafuta toka kwenye vyanzo vingine?
Watu wengi foleni kubwa wameacha na ndege za kuunga kwenda kwingineko
Hii ni kero TWO TO THREE MONTHS LEO, Waziri wa Afya kimya, haongei chochote, tangua ameacha kukimbia mazoezi ya kunywa sijui nini nothing is working. Katika awamu zote hatujawahi kuwa na waziri ya afya worse kama huyu, shughuru mama ana huruma ungeshatumbuliwa mapema. Hii kero imeshaletwa humu lakini waziri kama vile haoni
AIBU SANA!