Mkuu wa wilaya Temeke anataka kuua uwanja wa mpira na kuweka mashimo ya maji taka kwenye makazi ya watu

py thon

JF-Expert Member
Sep 11, 2016
2,471
4,424
Serikali ya CCM chini ya Rais Samia inajitahidi kuipa vipaumbele Simba na Yanga kwa kuwaahidi million 10 kwa kila goli lakini inaendelea kuua vipaji kwa watoto

Eneo la Mtoni Mashine ya maji /Mtongani
Mkuu wa wilaya pamoja na halmashauri wapo kwenye mpango wa kuua uwanja wa mpira au open space na wanataka waugeuze uwanja kuwa eneo la mashimo ya mavi.

Wakazi wa mtoni mashine ya maji wamepinga kwa umoja suala hilo wakisema kwanza kuweka mashimo ya maji taka kwenye uwanja huo kuhatarisha afya ya wakazi na watoto haswa kipindi cha mvua

Pili watoto na vijana walikuwa wanatumia uwanja huo kufanyia mazoezi na kucheza mpira hivyo vijana watakosa sehemu ya kuchezea

Uwanja wa mashine ya maji complex imetoa vipaji vingi vya mpira tokea miaka na miaka na pia ndio viwanja vichache vilivyobakia eneo la azimio na mtongani.

Mkuu wa wilaya aliahidi kuitisha tena mkutano na wakazi wa eneo hilo mara baada ya kuona upingaji mkubwa wa suala hilo kutoka kwa wananchi lakini siku ya mkutano awamu ya pili hakutokea bali yalisikika malalamiko tu kuwa wakazi wa mtoni mashine ya maji ni wasumbufu

Mheshimiwa Rais tusaidie wakazi wa Mtongani Mtoni mashine ya maji uwanja wetu pekee wa mpira unataka uporwe na ugeuzwe kuwa mashimo ya mavi.

WhatsApp Image 2023-03-31 at 07.37.27.jpg
 
Serikali ya CCM chini ya Rais Samia inajitahidi kuipa vipaumbele Simba na Yanga kwa kuwaahidi million 10 kwa kila goli lakini inaendelea kuua vipaji kwa watoto

Eneo la Mtoni Mashine ya maji /Mtongani
Mkuu wa wilaya pamoja na halmashauri wapo kwenye mpango wa kuua uwanja wa mpira au open space na wanataka waugeuze uwanja kuwa eneo la mashimo ya mavi.

Wakazi wa mtoni mashine ya maji wamepinga kwa umoja suala hilo wakisema kwanza kuweka mashimo ya maji taka kwenye uwanja huo kuhatarisha afya ya wakazi na watoto haswa kipindi cha mvua

Pili watoto na vijana walikuwa wanatumia uwanja huo kufanyia mazoezi na kucheza mpira hivyo vijana watakosa sehemu ya kuchezea

Uwanja wa mashine ya maji complex imetoa vipaji vingi vya mpira tokea miaka na miaka na pia ndio viwanja vichache vilivyobakia eneo la azimio na mtongani.

Mkuu wa wilaya aliahidi kuitisha tena mkutano na wakazi wa eneo hilo mara baada ya kuona upingaji mkubwa wa suala hilo kutoka kwa wananchi lakini siku ya mkutano awamu ya pili hakutokea bali yalisikika malalamiko tu kuwa wakazi wa mtoni mashine ya maji ni wasumbufu

Mheshimiwa Rais tusaidie wakazi wa Mtongani Mtoni mashine ya maji uwanja wetu pekee wa mpira unataka uporwe na ugeuzwe kuwa mashimo ya mavi.

View attachment 2932729
Masuala kama haya huwezi kuwasikia CHADEMA wakiyazungumzia.Hawajali

Itoshe, CHADEMA haina sera inayo eleweka kuhusu Maeneo ya Wazi au kero zinatotokana na Taka katika maeneo ya Makazi. Hawana sera.

Chagua kwa Umakini 2024-2025
 
Kwa jinsi ulivyoandika tu inaonekana wakazi wa Mtongani Mashine ya Maji ni wasumbufu sana.

Serikali ina nia njema na ninyi ila mnahisi kuonewa.
 
Kwa jinsi ulivyoandika tu inaonekana wakazi wa Mtongani Mashine ya Maji ni wasumbufu sana.

Serikali ina nia njema na ninyi ila mnahisi kuonewa.
Ndo wafanye open space makalo ya kuhifadhia maji taka kisheria hairuhusiwi hilo jambo
 
Kwa jinsi ulivyoandika tu inaonekana wakazi wa Mtongani Mashine ya Maji ni wasumbufu sana.

Serikali ina nia njema na ninyi ila mnahisi kuonewa.
Kwahiyo kuweka madampo ya maji taka,mavi kwenye open space ni sahihi tena kwenye makazi
 
Serikali ya CCM chini ya Rais Samia inajitahidi kuipa vipaumbele Simba na Yanga kwa kuwaahidi million 10 kwa kila goli lakini inaendelea kuua vipaji kwa watoto

Eneo la Mtoni Mashine ya maji /Mtongani
Mkuu wa wilaya pamoja na halmashauri wapo kwenye mpango wa kuua uwanja wa mpira au open space na wanataka waugeuze uwanja kuwa eneo la mashimo ya mavi.

Wakazi wa mtoni mashine ya maji wamepinga kwa umoja suala hilo wakisema kwanza kuweka mashimo ya maji taka kwenye uwanja huo kuhatarisha afya ya wakazi na watoto haswa kipindi cha mvua

Pili watoto na vijana walikuwa wanatumia uwanja huo kufanyia mazoezi na kucheza mpira hivyo vijana watakosa sehemu ya kuchezea

Uwanja wa mashine ya maji complex imetoa vipaji vingi vya mpira tokea miaka na miaka na pia ndio viwanja vichache vilivyobakia eneo la azimio na mtongani.

Mkuu wa wilaya aliahidi kuitisha tena mkutano na wakazi wa eneo hilo mara baada ya kuona upingaji mkubwa wa suala hilo kutoka kwa wananchi lakini siku ya mkutano awamu ya pili hakutokea bali yalisikika malalamiko tu kuwa wakazi wa mtoni mashine ya maji ni wasumbufu

Mheshimiwa Rais tusaidie wakazi wa Mtongani Mtoni mashine ya maji uwanja wetu pekee wa mpira unataka uporwe na ugeuzwe kuwa mashimo ya mavi.

View attachment 2932729
ulitaka hayo mavi yenu yapelekwe wapi. Uwanja utahamishwa, shimo la mavi utalipeleka Kibaha kutoka hapo mlipo? Tumia akili badala ya makalio
 
ulitaka hayo mavi yenu yapelekwe wapi. Uwanja utahamishwa, shimo la mavi utalipeleka Kibaha kutoka hapo mlipo? Tumia akili badala ya makalio
We ni mjinga sana yaani unaona ni sawa kuwekewa mashimo ya mavi karibu na makazi ya watu acha ujinga

Viongozi waache kutafuta shortcut kwenye kutatua changamoto
 
Back
Top Bottom