Hii ni ishara gani dada zetu?

yaan mkuu huyu nilie kutana nae alianza na 40k
Halafu hao hao unakuta stori zao ni "nataka mwanaume mwenye hofu ya Mungu, anayependa dini" na blaa blaa kibao.

Mkikutana kwenye mitongozo mnaweza kumaliza maongozi bila hata kukuuliza maswala ya dini. Yaani nadra kukuuliza umeanda kanisani/msikitini lini mara ya mwisho

Au kuulizwa kuhusu mahubiri/ mawaidha ya viongozi wa dini.
 
Jiongeze bahari sema unafanya kazi Bank watoto wajae uishi nao maana utakosa kabisa.
 
Halafu sasa nikwambie hiyo sio tabia ya sasa hiyo ni tabia ya enzi na enzi, kijana akitaka kumchumbia binti lazima wazazi waulize nasaba yake, kazi yake na elimu yake, huwezi kukurupuka kumpeleka binti kwa mtu asiyejulikana A wala B,

Kwa sasa sababu mnatongozana wenyewe bado lazima akuulize kazi yako ili ajue ana deal na mtu wa aina gani, kama ni kibaka? Au Marioo?
 
Halafu sasa nikwambie hiyo sio tabia ya sasa hiyo ni tabia ya enzi na enzi, kijana akitaka kumchumbia binti lazima wazazi waulize nasaba yake, kazi yake na elimu yake, huwezi kukurupuka kumpeleka binti kwa mtu asiyejulikana A wala B,

Kwa sasa sababu mnatongozana wenyewe bado lazima akuulize kazi yako ili ajue ana deal na mtu wa aina gani, kama ni kibaka? Au Marioo?
Kwa sababu hiyo, unakubaliana na wanaosema penzi bila pesa halinogi?
 
Ni
Habari za wakati huu, poleni na majukumu ya kutafuta mkate.

Nisipoteze muda sana katika hiki kipenge kinawahusu kina dada huu ni waraka kwenu

Mara ya sita sasa hii nimekutana na wadada sehemu tofauti tofauti katika harakati za ku seti mtongozo imekua ni tabia sasa tena imekita mizizi. Kiukweli haya mambo yakuulizia kazi ya mtu/kipato chake yanatia mashaka sana sidhani kama wife material anaweza kua na tabia za kimburu kama hizo.

Huu ujumbe uwafikie kina dada wote wenye tabia kama hzo muache kila siku mtasingizia mnarogwa kupata ndoa.
Duuuh
Ili ajue jinsi ya kukuchuna vzr
 
Kwa sababu hiyo, unakubaliana na wanaosema penzi bila pesa halinogi?
Naam huo ndio ukweli mchungu,
Kama hupati mahitaji muhimu utawezaje kufurahia mahusiano na maisha kwa ujumla?
Chakula tabu, Malazi shida, Mavazi hamna,
Hiyo ngoma ngumu.
 
Back
Top Bottom