Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,194
- 4,550
Simamia tu misimamo yakoKula kwa jasho kujilisha siyo kulisha mtu sijui unaelewa?? Kusweat for your own food is okay siyo kwa ajili ya **** ya Mtu.
Simamia tu misimamo yakoKula kwa jasho kujilisha siyo kulisha mtu sijui unaelewa?? Kusweat for your own food is okay siyo kwa ajili ya **** ya Mtu.
hapo kwenye tabia za kimburu ndo sijapaelewaHabari za wakati huu, poleni na majukumu ya kutafuta mkate.
Nisipoteze muda sana katika hiki kipenge kinawahusu kina dada huu ni waraka kwenu
Mara ya sita sasa hii nimekutana na wadada sehemu tofauti tofauti katika harakati za ku seti mtongozo imekua ni tabia sasa tena imekita mizizi. Kiukweli haya mambo yakuulizia kazi ya mtu/kipato chake yanatia mashaka sana sidhani kama wife material anaweza kua na tabia za kimburu kama hizo.
Huu ujumbe uwafikie kina dada wote wenye tabia kama hzo muache kila siku mtasingizia mnarogwa kupata ndoa.
Mimi uwa naazimaga tshirt za TRA nikienda kutongoza.
imekua ni kero mkui wengine atupendilei maswal mengi yenyewe atajiongeza kazi ni kazi tatzo linakuja pale wanapo chagua sanaaWakati tulionao Wakuu ni ulimwengu mwingine,
Ila wasichana ndio waathirika wakubwa kwa maana wao ndio wengi na wanaume hawaoi ivo wengi wataitafta ndoa na hawata iona. So sad( Ila kuhusu kuulizwa maswali ni muhim usijiskie vibaya)
Mbona miss buzaSio wew pekeyako tupo wengi tunaokutana na hayo maswali ya kipongo.halafu unakuta demu mwenyew miss buza
Hata wale wa kwenye love connect kigezo mojawapo lazima wataje. Awe na kazi inayoeleweka na kipatoHabari za wakati huu, poleni na majukumu ya kutafuta mkate.
Nisipoteze muda sana katika hiki kipenge kinawahusu kina dada huu ni waraka kwenu
Mara ya sita sasa hii nimekutana na wadada sehemu tofauti tofauti katika harakati za ku seti mtongozo imekua ni tabia sasa tena imekita mizizi. Kiukweli haya mambo yakuulizia kazi ya mtu/kipato chake yanatia mashaka sana sidhani kama wife material anaweza kua na tabia za kimburu kama hizo.
Huu ujumbe uwafikie kina dada wote wenye tabia kama hzo muache kila siku mtasingizia mnarogwa kupata ndoa.
Mapenz pesa utu kwasas siyo kitu
Tafuta pesaa kakaaa
Habari za wakati huu, poleni na majukumu ya kutafuta mkate.
Nisipoteze muda sana katika hiki kipenge kinawahusu kina dada huu ni waraka kwenu
Mara ya sita sasa hii nimekutana na wadada sehemu tofauti tofauti katika harakati za ku seti mtongozo imekua ni tabia sasa tena imekita mizizi. Kiukweli haya mambo yakuulizia kazi ya mtu/kipato chake yanatia mashaka sana sidhani kama wife material anaweza kua na tabia za kimburu kama hizo.
Huu ujumbe uwafikie kina dada wote wenye tabia kama hzo muache kila siku mtasingizia mnarogwa kupata ndoa.
yaan mkuu huyu nilie kutana nae alianza na 40kHata wale wa kwenye love connect kigezo mojawapo lazima wataje. Awe na kazi inayoeleweka na kipato
Mbaya zaidi unaweza kukuta huyo mdada ameshagonga 30+ au late 20's na yupo yupo tu.
Siku hizi wadada wako kimaslahi zaidi. Day one tu wanauliza kipato. Akikupa namba ya simu baada ya saa moja subiri kuomba hela. Na wajanja kweli yaani! Hawaanzi na hela kubwa, anaweza kukuomba elfu 5 tu ili uone aibu kumnyima mtu buku 5 na mwingine anakuja na gia ya kumuazima
Sasa unajiuliza, hii ni day one tu! Je, ilifika mwezi si ataomba hati ya nyumba iwe kwa jina lake?
Nanyi wanaume pia mnauliza kazi tuvifanyazo na wapi tunakofanyia bilivu meHabari za wakati huu, poleni na majukumu ya kutafuta mkate.
Nisipoteze muda sana katika hiki kipenge kinawahusu kina dada huu ni waraka kwenu
Mara ya sita sasa hii nimekutana na wadada sehemu tofauti tofauti katika harakati za ku seti mtongozo imekua ni tabia sasa tena imekita mizizi. Kiukweli haya mambo yakuulizia kazi ya mtu/kipato chake yanatia mashaka sana sidhani kama wife material anaweza kua na tabia za kimburu kama hizo.
Huu ujumbe uwafikie kina dada wote wenye tabia kama hzo muache kila siku mtasingizia mnarogwa kupata ndoa.
Ulikuwa unaseti mtongozo????Habari za wakati huu, poleni na majukumu ya kutafuta mkate.
Nisipoteze muda sana katika hiki kipenge kinawahusu kina dada huu ni waraka kwenu
Mara ya sita sasa hii nimekutana na wadada sehemu tofauti tofauti katika harakati za ku seti mtongozo imekua ni tabia sasa tena imekita mizizi. Kiukweli haya mambo yakuulizia kazi ya mtu/kipato chake yanatia mashaka sana sidhani kama wife material anaweza kua na tabia za kimburu kama hizo.
Huu ujumbe uwafikie kina dada wote wenye tabia kama hzo muache kila siku mtasingizia mnarogwa kupata ndoa.
Sawa tunaacha hizo tabia za kimburu
Ulikuwa unataka kuulizwa nini mfano?