Top gun maverick
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 2,018
- 2,599
Habari wana jf husika na kichwa cha habari naenda direct to de point kuna demu nilimfukuzua kama mwezi na nusu hivi sasa baada ya kumpata kama ilivyo ada zombie hashibi damu kuna siku nikaomba mzigo sasa nikapiga bao zangu mbili za ushindi cha ajabu baada ya kumaliza akawa analia kila nikijaribu kuliza hanijibu sasa wadau hii ni ishara gani au ni kwa mademu wote maana Niko kwenye dilemma.