Hii ni hasara

Hii ni hasara

ff70331c5779b71497ff877caa0d6a31.jpg
Dakika 95mil + 65mil= 160mil uzitumie ndani ya saa24
 
23594999_309250262893706_4794015338716987392_n-jpg.633120

Hii picha yanikumbusha jinsi watu walivyo wazembe na kutokuwa na tahadhari.Wanapenda kusema "hakuna neno bwana, iko sawa."

Iko siku nilimpa kijana wa bodaboda mkungu wa ndizi anipelekee nyumbani.Akauweka kwenye pikipiki bila kufunga na mpira kama ilivyo kawaida. Nilipomwuliza akaniambia kwa mikogo mingi sana, "mama, hii kazi tunaijua, hakuna kitakachoharibika"

Mkungu ulidondoka ukasagikasagika leo hii namdai mkungu wangu.
Hapo kwenye mayai pia kuna tatizo ambalo halikuzingatiwa kwa sababu ya uzembe wa wahusika
 
23594999_309250262893706_4794015338716987392_n-jpg.633120

Hii picha yanikumbusha jinsi watu walivyo wazembe na kutokuwa na tahadhari.Wanapenda kusema "hakuna neno bwana, iko sawa."

Iko siku nilimpa kijana wa bodaboda mkungu wa ndizi anipelekee nyumbani.Akauweka kwenye pikipiki bila kufunga na mpira kama ilivyo kawaida. Nilipomwuliza akaniambia kwa mikogo mingi sana, "mama, hii kazi tunaijua, hakuna kitakachoharibika"

Mkungu ulidondoka ukasagikasagika leo hii namdai mkungu wangu.
Hapo kwenye mayai pia kuna tatizo ambalo halikuzingatiwa kwa sababu ya uzembe wa wahusika
Subiri atakupa "Mkungu" muda si mrefu.
 
Mkuu kuwa na heshima japo kidogo,unachomaanisha hakiendan na kile alichoandika Naisujak. Kama bandiko hukulipenda ungepita kimya sio kuleta kejeli huo mkungu anaoongelea hauna mabano. Anachodai ni mali yake iliyoharibiwa kwa uzembe
Subiri atakupa "Mkungu" muda si mrefu.
Namsikia sikia hapa mtaani. Huwa anatabia ya kuharibu 'mali' za wanawake ili ukimfuata fuata akuharibu zaidi. Achana naye kabisa.
 
Mkuu kuwa na heshima japo kidogo,unachomaanisha hakiendan na kile alichoandika Naisujak. Kama bandiko hukulipenda ungepita kimya sio kuleta kejeli huo mkungu anaoongelea hauna mabano. Anachodai ni mali yake iliyoharibiwa kwa uzembe
Asante Numbisa. Nimekupendaje yaani!
 
Back
Top Bottom