Itabidi pia uruhusu watu kuua wengine ili kupunguza idadi ya wapumbavu kwenye Jamii.... Na ukisharuhusu tu naanza kukuua wewe.
Ningekuwa rais wa nchi ningeruhusu kujiua , na kutoa mimba , ushoga na ulevi , kwa wale wote wenye umri wa kujua jema na baya
maana sheri haiwezi kulinda kizazi
Hujielewe mtu akitaka kujiua sheria itasaidia nini na asiyetaka mtoto utamrazimisha jibu shwari maana mko bussy hamasisha chuki
na kuacha kufundisha watoto hofu ya
Mungu
Ningekuwa rais wa nchi ningeruhusu kujiua , na kutoa mimba , ushoga na ulevi , kwa wale wote wenye umri wa kujua jema na baya
maana sheri haiwezi kulinda kizazi
Ningekuwa rais wa nchi ningeruhusu kujiua , na kutoa mimba , ushoga na ulevi , kwa wale wote wenye umri wa kujua jema na baya
maana sheri haiwezi kulinda kizazi
Hujielewe mtu akitaka kujiua sheria itasaidia nini na asiyetaka mtoto utamrazimisha jibu shwari maana mko bussy hamasisha chuki
na kuacha kufundisha watoto hofu ya Mungu
Ningekuwa rais wa nchi ningeruhusu kujiua , na kutoa mimba , ushoga na ulevi , kwa wale wote wenye umri wa kujua jema na baya
maana sheri haiwezi kulinda kizazi
Mwanaume kamili nipo BRONX, New york
Mwanaume kamili nipo BRONX, New york
Mpuuzi wewe umetoa uzi wako wa kibwege mara waislam wanafurahia.majanga ya nchi za kimagharibi umekosa hoja sasa umekuja na uzi mwingine kudhihirisha USHOGA wako
Huna haya Mptuuuuuuuuuuuuuuu......Huyo Mungu wako ndie amekupa ruksa ya kuingiliwa na madume wenzio.......nsije nkatapika ptuuuuuuuuu
Mwanaume kamili nipo BRONX, New york
Wewe mwenyewe unauzaifu wako nimabinti wangapi umewatoa mimba na unazin mara ngapi umsafi wewe au toa boriti machoni mwako umekimbia mimba ngapi
Usisahau kuruhusu na uzurulaji
Kama unataka iwepo haki ya kutoa mimba jua pia kuna haki ya kuishi. Ukitoa mimba yule mtoto umemnyima haki yake ya kuishi maana hakuridhia umuue. Kama hautaki mtoto kwa nini upate mimba? Mkuu na wewe ni muumini wa mabwabwa?