Phoenix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 10,592
- 15,485
Akili zote zipo kwenye ngono hamuwazi maendeleo kazi kuwaza ngono tu na udini kila siku mnatusakama. Daima milele wachaga tutaendelea kuwa juu kuanzia kielimu na kimaendeleo , nyie endeleeni tu kujisifu ujinga sisi akili yetu ipo katika kutafuta pesa hayo mengne ya ziada tu.
Uongo kielimu na kiuchumi wahaya wapo juu yenu! Kiuchumi hata wakinga hamuwashiki siku izi.Mbona hilo swala la tako limekukera kwan ukiwa na nye ndogo huendi uani? Hata bata anawaza ngono ndio maana anamdandia mwenzie