mbona unamjibia mpendwa wako...
kwani yeye hayupo ?
alafu hawajui kukatika...
wapo kama magogo kitandani
unawaza ngono tu!
Nimegundua kwanini wachagga wanamiliki uchumi kwa asilimia kubwa Tanzania kuliko makabila mengine, nyie wazeni uzinzi..!
Nimegundua kwanini wachagga wanamiliki uchumi kwa asilimia kubwa Tanzania kuliko makabila mengine, nyie wazeni uzinzi..!
Acheni wivu wa maendleo wachaga 2po na tutaendelea kuwepo.Wachaga wose nyinda mbon tan?Oshon lune mtori!
haipiti wiki wachaga hawajatajwa huku Jf
inaonyesha ni jinsi gan tulivyo muhimu katika hii nchi
... mchaga ndo muhimu nchi hiii...
Siku hizi hawataki kabisa kuoana wao kwa wao...
Mleta uzi na wenzake wanawaza makalio tu ya wanawake. wakati wachaga wanawaza hela na maendeleo. hapo ndipo mchaga anapowapigia bao makabila mengine.
asikwambie mtu mchaga ndo muhimu nchi hiii ilipofika bila mchaga hamna kitu