Hii ni dharau kwa wachaga

Hii ni dharau kwa wachaga

haipiti wiki wachaga hawajatajwa huku Jf
inaonyesha ni jinsi gan tulivyo muhimu katika hii nchi

Mleta uzi na wenzake wanawaza makalio tu ya wanawake. wakati wachaga wanawaza hela na maendeleo. hapo ndipo mchaga anapowapigia bao makabila mengine.
 
Akili zote zipo kwenye ngono hamuwazi maendeleo kazi kuwaza ngono tu na udini kila siku mnatusakama. Daima milele wachaga tutaendelea kuwa juu kuanzia kielimu na kimaendeleo , nyie endeleeni tu kujisifu ujinga sisi akili yetu ipo katika kutafuta pesa hayo mengne ya ziada tu.
 
haipiti wiki wachaga hawajatajwa huku Jf
inaonyesha ni jinsi gan tulivyo muhimu katika hii nchi

Na watajwe tu. Tumechoka majivuno yao. Wakati wanataka watu wote wawatambue kuwa ni jamii bora, hawakujikagua kama mtu aliyevaa nguo mpya bila ya kujiangalia kwenye kioo na kujikuta kuwa, kumbe nguo mpya waliovaa ina matobo na mabaka yasitotakata.
 
Yaani nimecheka jamani
BTW wapo wenye maumbile mazuri tu
 
Endelea kuwaza kukatika viuno kitandani, wakati wachaga wanawaza kumiliki uchumi wa nchi.

waambie bhana, yaan hawa watupori sijui wakoje kutwa kuwaza ngono, udini na majungu ya kipuuzi
 
  • Thanks
Reactions: Kig
Na watajwe tu. Tumechoka majivuno yao. Wakati wanataka watu wote wawatambue kuwa ni jamii bora, hawakujikagua kama mtu aliyevaa nguo mpya bila ya kujiangalia kwenye kioo na kujikuta kuwa, kumbe nguo mpya waliovaa ina matobo na mabaka yasitotakata.

Nenda uko ni wivu tu umekujaa wachaga tutaendelea kuwa juu tu. Kama mnashinda ktk maumbo unategemea maendeleo hapo? Af mnakuja kulalamika eti wachaga wabinafs kumbe akili zenu ndio zipo kibinafsi
 
  • Thanks
Reactions: Kig
Akili zote zipo kwenye ngono hamuwazi maendeleo kazi kuwaza ngono tu na udini kila siku mnatusakama. Daima milele wachaga tutaendelea kuwa juu kuanzia kielimu na kimaendeleo , nyie endeleeni tu kujisifu ujinga sisi akili yetu ipo katika kutafuta pesa hayo mengne ya ziada tu.

asante kaka
 
Back
Top Bottom