Steph Curry
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 5,936
- 4,713
Acha uongo, idadi ya wachaga walioenda elim ya juu sio kubwa zaidi ya wahaya.Afu umekaa kiconservative siku izi hadi wagogo wanasoma.
Umesoma wapi wewe?? Group Discussion langu la chuo kati ya watu 10 wachagga tulikuwapo 4, na Mhaya mmoja. Darasa langu la watu 70 karibia watu 20 walikuwa wachagga. Nimeshakwambia wahaya ni smart darasani na hiyo ndio sifa yao kubwa. Pale UDSM idadi ya maprof wa kichagga na kihaya zinarandana..
Pia, wahaya wao wanapenda sana elimu na ndio maana icon zao ambazo ni successful wengi wako kwenye nyanja ya utumishi (maproffessor) ila Mchagga yeye hawazi elimu ya vyeti pekee ndio maana wachagga wengi hawataki kuajiriwa wanakimbilia kumiliki uchumi wao binafsi. Kuna rafiki yangu mmoja alifaulu vizuri tu form 6 na alipata chuo UD ila akwenda chuo akabaki mtaani na sasahivi yuko mbali sana kiuchumi.
Narudia tena wahaya are very smart in class