Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,683
- 22,270
Lissu hawakumuombea tu ila walitaka kumuua na wakatayarisha hotuba ya wasifu wake! Hilo kwenu lilikuwa sahihi.
Lissu hawakumuombea tu ila walitaka kumuua na wakatayarisha hotuba ya wasifu wake! Hilo kwenu lilikuwa sahihi.
Kwan kauli, kumuombea mtu baya kunaweza fanya afe? Au kunaweza fupisha maisha yake? Naamin ukiwa mnyoofu na mwenye haki mbele za MUNGU. Hata nan akuombee baya haliwez kukupata!!!
Mtanyooka tu 😂😂😂! Ukiwa mtenda haki na hufupishi maisha ya wengine hata uombewe baya halikupati!!!Lema atakuwa mchawi!
Unaamini katika uchawi?Lema atakuwa mchawi!