JM K
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 616
- 543
Dede Mushi akoLema ni Mchaga mwenzangu ila kuna mambo huwa simkubali huyu mtu..
Mambo ya kumtabiria mwenzako kifo sijapenda.
Ila na wewe mtoa mada, jifunze kutofautisha msimamo wa Lema na msimamo wa chama chake. Hapo na wewe umekosea.. usiipake Chadema matope kwa maneno ya mtu mmoja.