Hii ni Collateral damage au ilikuwa makusudi?

Hii ni Collateral damage au ilikuwa makusudi?

Agent-47

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2014
Posts
783
Reaction score
2,780
ukiachana na yule mama aliyepigwa shaba akikimbia, kuna story ya jamaa mwimgine inasambaa-imeniumiza.

Kuna bwana mmoja, kazi yake ni mlinzi. Inaonekana bwana huyu aliondoka kwenda shift zake ya kazi tarehe 28/10 jioni. Amerudi 31/10. Amekutana na kitu ambacho hauwezi hata kumuombea adui yako. Amekuta mke wake mjamzito, na kijana wake mwenye ulemavu wa miguu wote wamepigwa shaba. Hawana uhai tena.

Watu wa mwanza. Hebu tusaidieni kupata taarifa zaidi za huyu bwana.



Edit:
Nimeona kısa kingine kinafana na hiyo case hapo juu. 👇


IMG_7796.jpeg
 
ukiachana na yule mama aliyepigwa shaba akikimbia, kuna story ya jamaa mwimgine inasambaa-imeniumiza.

Kuna bwana mmoja, kazi yake ni mlinzi. Inaonekana bwana huyu aliondoka kwenda shift zake ya kazi tarehe 28/10 jioni. Amerudi 31/10. Amekutana na kitu ambacho hauwezi hata kumuombea adui yako. Amekuta mke wake mjamzito, na kijana wake mwenye ulemavu wa miguu wote wamepigwa shaba. Hawana uhai tena.

Watu wa mwanza. Hebu tusaidieni kupata taarifa zaidi za huyu bwana.
Aisee hiyo kitu isikie kwa mwingine, kupoeza familia is no joke. Huwa inambadilisha mwanaume completely

Sito shangaa after this raia wakawa wakatili zaidi
 
Kukosa weledi na utamaduni wa kutojali uhai wa binadamu ulioanza kwa kupoteza watu na sasa umefikia kiwango cha juu kabisa cha kutojali na ukatili ambapo wata wanaweza kutembea na silaha na kupiga watu risasi tu kama wanalenga ndege au wanyamapori.
 
Aisee hiyo kitu isikie kwa mwingine, kupoeza familia is no joke. Huwa inambadilisha mwanaume completely

Sito shangaa after this raia wakawa wakatili zaidi

Aisee, nakuelewa. Sasa huyu jamaa sijui yuko kwenye situation gani. Anawaza nini. Unaendeleaje na maisha baada ya kufanyiwa ukatili hivi?
 
Aisee, nakuelewa. Sasa huyu jamaa sijui yuko kwenye situation gani. Anawaza nini. Unaendeleaje na maisha baada ya kufanyiwa ukatili hivi?
Hii inakufanya kuingiwa na Roho nyingine ambayo hujui imekutokea wapi... mungu ampe nguvu kwa kweli.
 
Collateral damage wakati kuna taarifa za watu kufuatwa majumbani mwao na kumiminiwa risasi za moto.

Na nikwanini zisitumike rubber bullets?
 
ukiachana na yule mama aliyepigwa shaba akikimbia, kuna story ya jamaa mwimgine inasambaa-imeniumiza.

Kuna bwana mmoja, kazi yake ni mlinzi. Inaonekana bwana huyu aliondoka kwenda shift zake ya kazi tarehe 28/10 jioni. Amerudi 31/10. Amekutana na kitu ambacho hauwezi hata kumuombea adui yako. Amekuta mke wake mjamzito, na kijana wake mwenye ulemavu wa miguu wote wamepigwa shaba. Hawana uhai tena.

Watu wa mwanza. Hebu tusaidieni kupata taarifa zaidi za huyu bwana.
Kwa mtazamo mbona ni kama kuna watu ama kundi lilikua na kisasi kifuani, walikua wakisubiri nafasi ya dhahabu siku moja itokee waweze kulipa? Ukiachana either amri ilitolewa lakini ni kama wameenda zaidi, na imekua kama kulipa KISASI. Embu tufikiri kwa kina, inawezekana hili jambo likawa limebeba mengi ndani yake.
 
Uislam unasema hivii...ALIYEUA MTU BILA YEYE KUUA AU KUFANYA UCHAFUZI KTK NCHI BASI NI KAMA AMEUA WATU WOTE
Huyo mama enu ameua watu wasio na hatia hana uislam wowote
Mshenzi mmoja anadhalilisha uislam na kutukanisha tu hana cha dini wala shetani tu huyooo
 
Kwa mtazamo mbona ni kama kuna watu ama kundi lilikua na kisasi kifuani, walikua wakisubiri nafasi ya dhahabu siku moja itokee waweze kulipa? Ukiachana either amri ilitolewa lakini ni kama wameenda zaidi, na imekua kama kulipa KISASI. Embu tufikiri kwa kina, inawezekana hili jambo likawa limebeba mengi ndani yake.
Hiki ni kisasi cha wazanzibar cha 2001 wamelipa Nawaambia yaani kama walipania yaani
Nna hakika hakuna wa kutoka Uganda wala Sudan wale ni wazenji tu wameletwa na wametumaliza ,huyu maza lengo lake limetimia kutulipizia
 
Collateral damage wakati kuna taarifa za watu kufuatwa majumbani mwao na kumiminiwa risasi za moto.

Na nikwanini zisitumike rubber bullets?
Ni wazi kabisa kulikuwa na makusudi. Maana mama mjamzito na kijana mlemavu wamefika Vipi maandamano?
 
Hii inakufanya kuingiwa na Roho nyingine ambayo hujui imekutokea wapi... mungu ampe nguvu kwa kweli.
We can channel all those inner demons into something useful, tatizo hakuna kiongozi, ila trust me, warriors wapo tayari
 
We can channel all those inner demons into something useful, tatizo hakuna kiongozi, ila trust me, warriors wapo tayari
Surely.. nakubaliana na wewe.. natamani sana Hao wtawala wajifunze in a HARD WAY.. ila anyway Mungu wa mbinguni ameshuhudia haya..
 
Kwakweli binafsi hii hali imeniogopesha bora mataifa ya nje yaingilie tuwe chini ya uangalizi wa umoja wa mataifa vinginevyo tutaisha
 
ukiachana na yule mama aliyepigwa shaba akikimbia, kuna story ya jamaa mwimgine inasambaa-imeniumiza.

Kuna bwana mmoja, kazi yake ni mlinzi. Inaonekana bwana huyu aliondoka kwenda shift zake ya kazi tarehe 28/10 jioni. Amerudi 31/10. Amekutana na kitu ambacho hauwezi hata kumuombea adui yako. Amekuta mke wake mjamzito, na kijana wake mwenye ulemavu wa miguu wote wamepigwa shaba. Hawana uhai tena.

Watu wa mwanza. Hebu tusaidieni kupata taarifa zaidi za huyu bwana.
Hii ya mjamzito nimeisikia huko nyamanoro..
 
ukiachana na yule mama aliyepigwa shaba akikimbia, kuna story ya jamaa mwimgine inasambaa-imeniumiza.

Kuna bwana mmoja, kazi yake ni mlinzi. Inaonekana bwana huyu aliondoka kwenda shift zake ya kazi tarehe 28/10 jioni. Amerudi 31/10. Amekutana na kitu ambacho hauwezi hata kumuombea adui yako. Amekuta mke wake mjamzito, na kijana wake mwenye ulemavu wa miguu wote wamepigwa shaba. Hawana uhai tena.

Watu wa mwanza. Hebu tusaidieni kupata taarifa zaidi za huyu bwana.

Raia wengi walianza kuuliwa tarehe 29 usiku mpaka tarehe 2 ambapo kulikuwa hakuna maandamano yeyote.
 
Aisee, nakuelewa. Sasa huyu jamaa sijui yuko kwenye situation gani. Anawaza nini. Unaendeleaje na maisha baada ya kufanyiwa ukatili hivi?
Kisasi. Hatakiwi kulipa kisasi kwa mwingine. Inatakiwa Mama Abdul akija Ziara kanda ya ziwa, jamaa aondoke na gobore analolitumia kwenye ulinzi kulinda na kumshindilia nalo Mama Abdul la tako ili naye utumbo utoke nje.

Inasikitisha.
 
Hiki ni kisasi cha wazanzibar cha 2001 wamelipa Nawaambia yaani kama walipania yaani
Nna hakika hakuna wa kutoka Uganda wala Sudan wale ni wazenji tu wameletwa na wametumaliza ,huyu maza lengo lake limetimia kutulipizia
Ni sahihi. Haikuwa issue ya maandamano tu. Mungu atusaidie.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom