- Thread starter
- #21
Njoo mkuu tusaidiane kumfunua mdomo tumuangalieIdentity ya black mamba Ni mdomo mweusi ndani, ajaribu kumwangalia.
Sent from my Infinix X650B using Tapatalk
Njoo mkuu tusaidiane kumfunua mdomo tumuangalieIdentity ya black mamba Ni mdomo mweusi ndani, ajaribu kumwangalia.
Sent from my Infinix X650B using Tapatalk
Wee acha kutaja koboko kwenye nyizi zakijinga unafikiri koboko wangemuua kirahis hvyo
Wewe ni mfuasi wa chama gani? Kama Chadema basi ujue huo ni ujangiri na una kesi ya kujibu.Habari wakuu,
Wale wenye uelewa na wadudu hawa naomba mnisaidie kujua kama aina hii ya nyoka ni ipi na je, wana sumu kali?
Tumekuwa tukipambana nao karibu kila wiki mtaani kwetu hapa Morogoro Mjini na vingine ni virefu vyeusi vyembamba.
Mkuu mtazame macho vizuri kama yana muonekano wa duara kama sarafu basi nyoka huyo ana sumu tazama koboko, cobra wako kundi hili.
Kama ana muonekano wa macho kama karanga huyo hana sumu na jamii hii ni kama chatu vile.
Ila amenona kajaa mafuta..
Sisi kwetu hatuchagui aina ya nyoka,tunaangali kanona.kana anejazia basi anafaa kwa matumizi.Sio nyoka wote Ni Mkunga... Wengine hawaliwi...
Mazimbu mkuuMorogoro mjini ipi hiyo ndugu, tujuzane maana nami niko mjini
Sent
Kuna watu usiwe unawajibu mkuuSiku itafika utakapomuona anaingia ndani mwako na una watoto wadogo halafu wewe umpishe kwenda kuwaita maliasili
Sio black mamba huyoBlack Mamba mkuu, ana sumu balaa.
Google utaona hiyo kichwa na mpangilio wa magamba
Mkuu koboko na black mamba sio nyoka tofauti hizi?
Ha ha ha mkuu koboko hakai kizembe namna Ile tena inawezekana huyo pichani ameuawa na watoto tu au wanawake... Siyo level ya koboko kabisa