mwengeso
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 9,286
- 6,727
Nyoka hadhuru binadamu kama hujamchokoza. Nibrafiki kwa binadamu kwani baadhi ya msosi wake ni panya. Siku nyingind msaidie asepe zake, la ukikamatwa utashitakiwa jwa uharibifu wa maliasili.Siku itafika utakapomuona anaingia ndani mwako na una watoto wadogo halafu wewe umpishe kwenda kuwaita maliasili