Hii ni aibu Marine Hassan!

kwanini aongee (asijokijua?) Huyu ni sawa na kibonde yule zuzu wa clouds.

Bandugu na ili "asijokijua" wewe unamcheka Marine, kiswahili tu ufahamu kuandika kweli shule za Kata at work!
Kuna masoma ya jioni kwa watu wazima pale Tandale Uzuri, takulipia ukasome kwanza kiswahili
 
Jamani mbona hatuthamini Lugha yetu ya kiswahili!. Kiingereza mi nakichukia!, Nikimuona mTZ anaongea nahisi kutapika.
 
Nakumbuka wakati wa kampeni za ubunge Lema, aliwambia wakazi wa Arusha!

Mkinichagua kuwa mbunge wenu tawajengea Machinga Complex mbili pamoja na Skyover barabara za juu, Flyover Road!
Ha! Ha! Ha! Ha!, ni janga la kitaifa
 
Nimeona kwel jamaa lugha inasumbua,ila kwan kuna ulazima wa wote kujua kiingereza,hao wanaojua wametusaidia nn hadi sasa!tupende lugha yetu!

NAKUBALIANA NA WEWE The Priest. Cha nyumbani kizuri bwana. tuimarishe lugha yetu ili wageni kama wanapenda kuja kwetu kutembea, walazimike kujifunza lugha yetu. Media za kwetu halafu watulazimishe kuongea lugha yao. WHY THIS?

kwani kama huyo msauzi asingekuwepo, kipindi kwa ajili ya maslahi ya watanzania?

Inawezekana maada iliyokuwa inazungumzwa haina manufaa kwa watanzania, kama ingekuwa na manufaa kwa watanzania ingekuwa kwa kiswahili ili wengi wamsikilize
 
Nakumbuka wakati wa kampeni za ubunge Lema, aliwambia wakazi wa Arusha!

Mkinichagua kuwa mbunge wenu tawajengea Machinga Complex mbili pamoja na Skyover barabara za juu, Flyover Road!
Ha! Ha! Ha! Ha!, ni janga la kitaifa

Janga gani? kuzungumza kizungu iwe janga? kweli wewe gamba
 
Acha uzembe wewe, sasa kwani kulikuwa na ulazima gani wa yeye kuongea kiingereza??. Muandishi wa habari ni kioo cha jamii nyama wewe!!! We mwandishi wa habari anakaa anaongea upuuzi ule wakati jamii inatakiwa ijifunze kutoka kwake. We kikaragosi, do you really know the role of a journalist to the public??
.

Nature ya kazi ya mtu, inamlazimu kujua lugha inayotumika katika kazi yake. Vinginevyo kama anapenda kutumia Kiswahili tu, basi anapashwa kupewa local jobs and not international. Ukiangalia wa-Tanzania wengi tunashindwa hata ku-compete kwenye international market sababu ya lugha, mfano mzuri ni ndugu zetu kwenye JF wanalalamika kuwa wana masters na elimu ya juu ila hawana kazi! nini sababu? "sababu ni nyingi ikiwa moja wapo ni kuuza sera wakati wa interview pamoja na uchache au ufinyu wa lugha ngeni ya kiingereza."
 
Bandugu na ili "asijokijua" wewe unamcheka Marine, kiswahili tu ufahamu kuandika kweli shule za Kata at work!
Kuna masoma ya jioni kwa watu wazima pale Tandale Uzuri, takulipia ukasome kwanza kiswahili

wewe neno ''takulipia'' nini maana yake? Nyani haoni kund.u lake.unatatizo la viambishi awali bweg.e wewe!
 
Hicho ndo kinachotushinda sisi watanzania,tunakosa kujiamini hasa tuanapojieleza kwa kiingereza,sasa tunazidiwa hata na wanyarwanda,wanaongea vzr kiingereza wakati ni juzi tu wameanza kujifunza kiingereza
 
Acha ushamba ww, hicho alichokiongea ni kiingereza cha wengi katika kiswahili. Kama aliyekuwa anaulizwa alikuwa anajibu tatizo lipo wapi, lugha yoyote dhima yake kuu ni kufanikisha mawasiliano/kuelewana, ulishasikia chochote kuhusu lugha za creole na pidgin

Sasa bana Obe hebu niambie mtu yupo kwenye media,tena aliebobea halafu anaongea lugha hovyo namna hiyo,kuna weledi wowote hapo kweli tunaweza mtunuku huyu bwana?Heri utumie lugha unayoweza vizuri kwa usahihi,sio unarukia lugha usizoweza unabakia kukera/ku-embarass watu...very,very shameful of him with his TBC!
 
Bandugu na ili "asijokijua" wewe unamcheka Marine, kiswahili tu ufahamu kuandika kweli shule za Kata at work!
Kuna masoma ya jioni kwa watu wazima pale Tandale Uzuri, takulipia ukasome kwanza kiswahili


hapo kwenye red,you made me sick!!!!! siyo ufahamu bali hufahamu!!! sasa ikiwa kiswahili tu kinatushinda, lugha ambayo tumejifunza tangu tukiwa tumboni mwa mama zetu, sembuse kidhungu?? tutoe tu ushauri,woooooooooooooooooooooooooote tunahitaji tuition ya kiswahili na "kienglish" period!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Napenda sana mtu anapochapia na yupo very comfortable na kiingereza chake.
Hongera marine.
OTIS.
 
Back
Top Bottom