Hii ndoa inapumulia mashine, ushauri tafadhali

Hii ndoa inapumulia mashine, ushauri tafadhali

Huyu ni mojawapo ya wanaume wazembe na wapumbavu.Pesa akope mke kwa mipango na malengo yake halafu mume alipe eti kwa sababu ya kuepusha aibu,jinga kubwa.
Ushauri:Kwanza mwambie aache ujinga wa kulea wanawake wapumbavu.
Pilo amuache apambane na aliyoyaanzisha na ikiwa bahati nzuri akafungwa jela basi anakuwa kamuacha bila lawama.
Mwambie aende polisi akate mshiko na aongee na wanaomdai mkewe wakaze buti hili afungwe.
Tatu washauri ndugu zake wampeleke kwa kalumanzila hili kupima kama kapewa limbwata na mkewe atapishwe.
Mwisho ikiwa hajapewa limbwata mfundishe kusimama kiume na si kuruhusu akili ya kike kutawala ndoa yake.
 
Heri wapatanishi. .....
Watu tuna gani! ? Tumeambiwa tuchukuliane. ...
Bi dada ana tatizo ila lina ufumbuzi. ....mumewe amtafutie therapy. ....
Wanaoshauri kuachana wana roho ambayo haitoki kwa Mungu kwani Mungu anachukia kuachana. ...na wqnaoachana hakuna amani kwao, watoto wanakosa maadili kwani malezi ya mmoja hayatoshi. ...madhara ni mengi.
Mi nashauri haina haja kufanya shughuli kwa niaba ya shetani
 
Asimlipie tena madeni, kusudi wakamfunge akitoka akili itamkaa sawa
 
mwambie wema una kiwango chake na Subra pia inamipaka yake...
Wema wa kweli hauna kiwango. Mtu mwema hufurahia kutenda mema. In fact matatizo anayakabili bold bila kutetemeka akijua ni mtihani na msalaba wake aubebe
 
Kwa kweli alijitahidi,nawafahamu sana toka muda sema nje kabadirika sidhani kama alikuwa hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake huwa hawabadiliki ndani ya ndoa, ila huendeleza vitabia aliyoficha tangu kabla ya ndoa. Hii tabia ikikomaa huwa inakuja kujionesha ndani ya ndoa huku mume akidhani ndio anabadilika. Mke mzuri kwa asilimia kubwa ni yule ulienza nae sifuri bila shilingi wala nini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wema wa kweli hauna kiwango. Mtu mwema hufurahia kutenda mema. In fact matatizo anayakabili bold bila kutetemeka akijua ni mtihani na msalaba wake aubebe
Mitihaani kila mtu anaelewa ,na mungu katupa akili ,yapo mambo inapaswa kuepuka,Hawezekani unamsaidia kulipa huku anakwenda kukopa tena hivi unafkiri hata ukijitahedi kulipa kila sehemu huwoni mtu huyu anaweza kukufilisi?
Na siku ukifilisika anakuacha pia!
Mambo mengine Unatakiwa utumie Akili mungu alizokupa
 
Hiyo hela anaifanyia nini nyingi hivyo?!

Sent from my TV
 
Huyu ni mojawapo ya wanaume wazembe na wapumbavu.Pesa akope mke kwa mipango na malengo yake halafu mume alipe eti kwa sababu ya kuepusha aibu,jinga kubwa.
Ushauri:Kwanza mwambie aache ujinga wa kulea wanawake wapumbavu.
Pilo amuache apambane na aliyoyaanzisha na ikiwa bahati nzuri akafungwa jela basi anakuwa kamuacha bila lawama.
Mwambie aende polisi akate mshiko na aongee na wanaomdai mkewe wakaze buti hili afungwe.
Tatu washauri ndugu zake wampeleke kwa kalumanzila hili kupima kama kapewa limbwata na mkewe atapishwe.
Mwisho ikiwa hajapewa limbwata mfundishe kusimama kiume na si kuruhusu akili ya kike kutawala ndoa yake.
Si wezi kumlaumu jamaa kwa kulipa Demi la mkewe. Haya madeni yanasababisha wake za watu kutafunwa kama njugu ninadhani mume aliliepuka hilo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom