DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,979
- 11,816
Ifuatayo ni List ya Wachezaji ambao awali waliingiza Fedha Nyingi sana Kupitia Mpira wa Miguu lakini Baadae walifilisika.
1.Ronaldinho.
Mwaka 2020 Alikamatwa na Polisi kwa kosa la kuwa na Passport Fake, Dhamana ya kutoka ilikuwa Dollar 150K lakini alishindwa kutoa, Inadaiwa Account yake ilikuwa imebakiwa na €5, Samuel Etoo ndio alilipa Dhamana hiyo, Ronaldinho akatoka. Baada ya tukio hilo Ulimwengu ulifahamu ukweli kwamba hali ya uchumi wa Ronaldinho sio kama zamani.
2.Emmanuel Eboue.
Alifilisika Baada ya Kuachana na Mke wake, Mkewe aliondoka na Mali Zote maana ndio alikuwa amesaini kwenye Hati za Umiliki.
3.Royston Drenthe
Mwaka Uliopita alipoteza zaidi ya 3.2 Million Pounds. Hali hii ilimfanya Afilisike.
4.Asamoh Gyan.
Baada ya Kuachana na Mke wake uchumi wake uliyumba, inasemekana alibakiwa na €600 tu. Mke wake alibeba mali nyingi sana baada ya Ndoa Kuvunjika.
5.David James.
Alifilisika Baada ya Kuachana na Mke wake.
6.Diego Maradona.
Mwaka 2009 alifilisika Baada ya Mamlaka ya Mapato Italia kumtaka alipe kodi ya € 42 Million aliyokuwa anadaiwa tangu akicheza Napoli.
7.Eric Djemba Djemba
Alifilisika Mwaka 2007, kabla ya hapo alikuwa na Account za Bank zaidi ya 30 lakini Madeni yalikuwa Mengi.
8.John Arne Riise.
Alichukua Mikopo sehemu mbalimbali kwa ajili ya kuendesha Biashara zake, biashara zilikwama akafilisiwa ili kulipa madeni.
9.Celestine Babayaro.
Alifilisika Mwaka 2011 Baada ya kuwa na Madeni Mengi.
10.Taribo West.
Pesa nyingi zilipotea baada ya kuanza kuhudhuria Club za Starehe, hivi sasa ni Mchungaji.
NYONGEZA
Samson aliangushwa na mwanamke
Adam aliponzwa na mwanamke
1.Ronaldinho.
Mwaka 2020 Alikamatwa na Polisi kwa kosa la kuwa na Passport Fake, Dhamana ya kutoka ilikuwa Dollar 150K lakini alishindwa kutoa, Inadaiwa Account yake ilikuwa imebakiwa na €5, Samuel Etoo ndio alilipa Dhamana hiyo, Ronaldinho akatoka. Baada ya tukio hilo Ulimwengu ulifahamu ukweli kwamba hali ya uchumi wa Ronaldinho sio kama zamani.
2.Emmanuel Eboue.
Alifilisika Baada ya Kuachana na Mke wake, Mkewe aliondoka na Mali Zote maana ndio alikuwa amesaini kwenye Hati za Umiliki.
3.Royston Drenthe
Mwaka Uliopita alipoteza zaidi ya 3.2 Million Pounds. Hali hii ilimfanya Afilisike.
4.Asamoh Gyan.
Baada ya Kuachana na Mke wake uchumi wake uliyumba, inasemekana alibakiwa na €600 tu. Mke wake alibeba mali nyingi sana baada ya Ndoa Kuvunjika.
5.David James.
Alifilisika Baada ya Kuachana na Mke wake.
6.Diego Maradona.
Mwaka 2009 alifilisika Baada ya Mamlaka ya Mapato Italia kumtaka alipe kodi ya € 42 Million aliyokuwa anadaiwa tangu akicheza Napoli.
7.Eric Djemba Djemba
Alifilisika Mwaka 2007, kabla ya hapo alikuwa na Account za Bank zaidi ya 30 lakini Madeni yalikuwa Mengi.
8.John Arne Riise.
Alichukua Mikopo sehemu mbalimbali kwa ajili ya kuendesha Biashara zake, biashara zilikwama akafilisiwa ili kulipa madeni.
9.Celestine Babayaro.
Alifilisika Mwaka 2011 Baada ya kuwa na Madeni Mengi.
10.Taribo West.
Pesa nyingi zilipotea baada ya kuanza kuhudhuria Club za Starehe, hivi sasa ni Mchungaji.
NYONGEZA
Samson aliangushwa na mwanamke
Adam aliponzwa na mwanamke