Hii ndoa hainipi amani

Hii ndoa hainipi amani

Soldier down...soldier down....all units be advised we have a shooter...
 
Sishauri ila mwingine angehamia chumba cha mgeni akamwadithie kilichomkuta.

Talk to your wife bro. Huu ndo ushauri.
 
Changamoto ilikuwepo tangu uchumba GF kukaa kimya bila kustuka mwenzake anapokuwa kimya ni tatizo ilitakiwa machale yamcheze lakini bado akaamua kuoa. Ndoa tayari iko njia panda kama mke hatabadilika ama atachepuka au ndoa itakufa na ushahidi wa hilo ni yeye kuja humu kutafuta ushauri.

Wakati wa uGF na uBF unapoona RED FLAGS stuka jamaa aliamua kuignore sasa anahangaika.

Yes jamaa ana upendo wa kweli!Penye upendo wa kweli kuna COMMITMENT haijalishi hali/changamoto ikoje,nimempa hongera coz ktk changamoto anayoipitia bado anayo matumaini huenda akapata matokeo mazuri na ndoa yake ikawa sawa,angeweza kuamua fasta tu kumwacha mkewe na kuoa tena.Baadhi ya wanandoa waliamua kuachana kwa sababu walifikiri ktk changamoto zao hakuna tena ufumbuzi kitu ambacho sio kweli.Pia hakuna mahusiano yasiyokuwa na changamoto issue ni mtazamo.Jamaa amechagua mtazamo chanya kabla hajagive up that why nimempa hongera!
 
Mzee huyu mwanamke kwenye masuala mengine ya nyumbani hana shida yupo biz na familia mwanamke mwingine ntakua chizi mimi mambo mengine ya kiuchumi ntashindwa kufanya
Baki njia kuu
 
Hayupo romantic kwako na romantic sitabia ambayo ya kuibadilisha mzee...piga taraka tatu huna mke hapo.
 
Ahsante kamanda.. Nakupenda pia kamanda wangu.
Pande zile nimekua adimu mambo yamekuwa mengi .
Nakupenda zaidi kamanda, usiache japo hata kusalimia kamanda nakumiss sana pande zile, natumai upo good lakini
 
Nakupenda zaidi kamanda, usiache japo hata kusalimia kamanda nakumiss sana pande zile, natumai upo good lakini
Nipo poa kamanda..leo nitatimba kipande icho..nimekumiss na kuwamiss Sana
 
Mwenzio anataka Masaa yote amtomasetomase hata kama anakaanga maandazi jikoni
Sasa kwanini asimtomase kwani kuna vizingiti?? Yeye si mke wake, hizo raha za kimahaba anaziapataje pasipo anzia kutomasa, pasipo tomaso raha anaipataje, yani pasipo tomaso anaziinuaje hisia za mke wake, hivi kwani mnajuaga mapenzi ni vita? , jamaa mleta mada anajua sana mapenzi mwanamke unatakiwa umtomase popote mnapokuwa karibu hata kumshikashika ni faraja sana na unatengeza uhuru kwake, sasa nyie mmezoea mapenzi ya kigumugumu
 
Ignore fanya Mambo yako

Kama Kuna vitu ulikuwa anakufanyia fanya mwenyewe mfano

Usile chakula chake

Fua nguo zako mwenyewe

Ukitoka usiage unaenda wapi .

Ukilala nae kitandani uwe bize na simu na jifunike shuka lako

Nyoosha zako mwenyewe

Ondoka asubuhi Rudi jioni na moja kwa moja chumbani kulala

Akiwa na shida ya hela usiulize weka kwenye meza sepa

Hawa viumbe bila kucheza na saikolojia Yao watakuendesha sana

Unapaswa kujua kuwa Ni viumbe dhaifu so lazima ucheze naa saikolojia

Trust me one day atarudi kwenye mstari kwa spidi ya ajabu na wivu juu
 
nipo page 1 bado ila mpk naandika hapa nilichokiona kwa haraka haraka shida si mkeo,shida ni wewe kwann nasema ni wewe? kuna member hapo juu kakuuliza unamuandaa mkeo na kumridhisha? ukamjibu hili jibu hapa chini ambalo ndio limenifanya nione shida unayo wewe 👇
Namuandaa ila hapo kwenye kumfikisha Nitaongea Nae Labda Simfikishi Dah Kufikishana Tena haya mambo Yanachanganya

hapo kwenye nyekundu umepaona? yani hapo panaonyesha jinsi ambavyo wewe ktk mapenzi unaangalia tu hamu zako wala sio za mwenzako,yani unaonyesha mkianza mambo wewe n yule mzee wa dk 5 nyingi ushamaliza,halafu baada ya hapo unageuka upande wa pili unauchapa.

hujali/hujihusishi/huna time na mkeo kama karidhika au lah,hiii imemfanya mkeo kuchukia hicho kitendo na zaidi unaonyesha umepata mwanamke mpole/mkimya asiejua kuongea kbs kuhusu haki yake ya tendo la ndoa,kinachotokea n kwamba unamuacha mkeo na nyege zake,kumuandaa sawa unamuandaa ila humridhishi.

Nyege
zinapozidi ki ukweli mtu unakua na hasira,mfano hata mimi asee nikiwaga na minyege yangu halafu mpnzi wangu yupo na najua hana shida yyte ila tu hataki kunipa haki yangu,naskiaga hasira kama zote.

kinachomfanya mkeo akutoe mkono unapomshika n kwasababu yuko sensitive sana ukimshika unampandisha mizuka halafu kuishusha huwezi hapo ndo unapomchefua kunakoendea atakutaftia mwenzako.BADILIKA.
 
Nakubali, umelitazama swala kiroho pia linaweza kuwa ni shida
Wengi ndoa wanaitazama kimwili zaidi wakati ni tendo la kiroho. Anyway mchango wangu ni huo mkuu. Hakuna ndoa inayokwenda smooth kwa kujaribu kuuridhisha mwili, why? Dunia haijapata bado mwili ulioridhika, HAKUNA.
 
Ignore fanya Mambo yako

Kama Kuna vitu ulikuwa anakufanyia fanya mwenyewe mfano

Usile chakula chake

Fua nguo zako mwenyewe

Ukitoka usiage unaenda wapi .

Ukilala nae kitandani uwe bize na simu na jifunike shuka lako

Nyoosha zako mwenyewe

Ondoka asubuhi Rudi jioni na moja kwa moja chumbani kulala

Akiwa na shida ya hela usiulize weka kwenye meza sepa

Hawa viumbe bila kucheza na saikolojia Yao watakuendesha sana

Unapaswa kujua kuwa Ni viumbe dhaifu so lazima ucheze naa saikolojia

Trust me one day atarudi kwenye mstari kwa spidi ya ajabu na wivu juu
Niliwahi fanya hivyo mwanzo aliponiita kinga'ang'anizi baada ya siku mbili alirudi akiomba msamaha na kilio juu

Ila sijui kitu gani kinamtembea kichwani unakuta baada ya muda analeta ujinga
 
Asante ndugu Najipa muda sasa kujitafakari na kuplay part Yangu kama kiongozi wa familia, nimegundua vitu vingi kwa koment za wadau hapa wengine Sijaweza kureply ila ushauri wenu ni mzuri na ntaufanyia kazi

naamini ntakua na amani kwani hakutakuwa na ligi tena ndani ya nyumba
Yes pia usha gundua mkeo ni mtu ambaye hashitushi na jambo hyo ndo mke sasa nakwambia cha msingi tafuta namna ya kuishi nae yule ni mtu mzima kingine kama unakuwa unachukia tafuta namna ya kumwambia sio unamwambia kam unamfokea au unamtukana hvo ndo atazidi kukuona wa kzi gan mfano kama hvo ambavo hakupi unyumba ebu kesho rudi na gauni jipya then mwambie mke wangu jiandae twende sehem hakikisha unampeleka sehem ambayo alikuwa anaipend kipindi hajaonana kisha omba msamaha usimuulize eti kwa nn unipi unyumba we omba msamaha tu hvo hvo ukifanya hvo itamfanya ajue kuwa usha gundua kosa lako ata kama ulijui polea pote we ni mwanaume then update penzi lako nakuakikishia kaka furah itarudi auta hamini ata ukichelewa home atakutafuta coz atakuwa na aman na furaha na wewe pia uwe unapenda kumpa vijizawadi hvo umfanya mwanamke kila akiiona zawdi hyo basi ufeel mapenzi juu yako

Kaka me nakwambia kitu mwanamke anapenda me nilikuwa na mchumba sema alikuwa kichwa maji sana yule jamaa uko kusikiriza ya kijiweni kanipoteza na waliye mshauri kuwa ndo anafaa hyo akakuta ndo kiazi kabsa sasa hv simu hziishi kwangu namuona tu
 
nipo page 1 bado ila mpk naandika hapa nilichokiona kwa haraka haraka shida si mkeo,shida ni wewe kwann nasema ni wewe? kuna member hapo juu kakuuliza unamuandaa mkeo na kumridhisha? ukamjibu hili jibu hapa chini ambalo ndio limenifanya nione shida unayo wewe


hapo kwenye nyekundu umepaona? yani hapo panaonyesha jinsi ambavyo wewe ktk mapenzi unaangalia tu hamu zako wala sio za mwenzako,yani unaonyesha mkianza mambo wewe n yule mzee wa dk 5 nyingi ushamaliza,halafu baada ya hapo unageuka upande wa pili unauchapa.

hujali/hujihusishi/huna time na mkeo kama karidhika au lah,hiii imemfanya mkeo kuchukia hicho kitendo na zaidi unaonyesha umepata mwanamke mpole/mkimya asiejua kuongea kbs kuhusu haki yake ya tendo la ndoa,kinachotokea n kwamba unamuacha mkeo na nyege zake,kumuandaa sawa unamuandaa ila humridhishi.

Nyege
zinapozidi ki ukweli mtu unakua na hasira,mfano hata mimi asee nikiwaga na minyege yangu halafu mpnzi wangu yupo na najua hana shida yyte ila tu hataki kunipa haki yangu,naskiaga hasira kama zote.

kinachomfanya mkeo akutoe mkono unapomshika n kwasababu yuko sensitive sana ukimshika unampandisha mizuka halafu kuishusha huwezi hapo ndo unapomchefua kunakoendea atakutaftia mwenzako.BADILIKA.
Hii ni kweli kabisa..inafika mahali unaona kama huyu mtu msumbufu..kwa "statement" yake hyo inaonyesha kabisa jamaa ana "umimi"..ni mtu ambaye anajali zaidi upande wake bila kujua mwenzake vipi..ina maana hana uhakika kama mwenzake huwa anaridhika au lah.!

Kabla hujaanza kulalamika tafuta tatzo lipo wapi..na hapo inaonyesha dhahiri tatzo lipo kwako na imefikia mahali umekua kero.
Kuna wanawake huwa ni wavumilivu sana ila kuna muda ukifika huo uvumilivu unafika mwisho matokeo yake ndo kama hayo.Jaribu kubadilika.
 
nipo page 1 bado ila mpk naandika hapa nilichokiona kwa haraka haraka shida si mkeo,shida ni wewe kwann nasema ni wewe? kuna member hapo juu kakuuliza unamuandaa mkeo na kumridhisha? ukamjibu hili jibu hapa chini ambalo ndio limenifanya nione shida unayo wewe


hapo kwenye nyekundu umepaona? yani hapo panaonyesha jinsi ambavyo wewe ktk mapenzi unaangalia tu hamu zako wala sio za mwenzako,yani unaonyesha mkianza mambo wewe n yule mzee wa dk 5 nyingi ushamaliza,halafu baada ya hapo unageuka upande wa pili unauchapa.

hujali/hujihusishi/huna time na mkeo kama karidhika au lah,hiii imemfanya mkeo kuchukia hicho kitendo na zaidi unaonyesha umepata mwanamke mpole/mkimya asiejua kuongea kbs kuhusu haki yake ya tendo la ndoa,kinachotokea n kwamba unamuacha mkeo na nyege zake,kumuandaa sawa unamuandaa ila humridhishi.

Nyege
zinapozidi ki ukweli mtu unakua na hasira,mfano hata mimi asee nikiwaga na minyege yangu halafu mpnzi wangu yupo na najua hana shida yyte ila tu hataki kunipa haki yangu,naskiaga hasira kama zote.

kinachomfanya mkeo akutoe mkono unapomshika n kwasababu yuko sensitive sana ukimshika unampandisha mizuka halafu kuishusha huwezi hapo ndo unapomchefua kunakoendea atakutaftia mwenzako.BADILIKA.
Dah! Nachukua na hili mkuu shukrani
 
Yes pia usha gundua mkeo ni mtu ambaye hashitushi na jambo hyo ndo mke sasa nakwambia cha msingi tafuta namna ya kuishi nae yule ni mtu mzima kingine kama unakuwa unachukia tafuta namna ya kumwambia sio unamwambia kam unamfokea au unamtukana hvo ndo atazidi kukuona wa kzi gan mfano kama hvo ambavo hakupi unyumba ebu kesho rudi na gauni jipya then mwambie mke wangu jiandae twende sehem hakikisha unampeleka sehem ambayo alikuwa anaipend kipindi hajaonana kisha omba msamaha usimuulize eti kwa nn unipi unyumba we omba msamaha tu hvo hvo ukifanya hvo itamfanya ajue kuwa usha gundua kosa lako ata kama ulijui polea pote we ni mwanaume then update penzi lako nakuakikishia kaka furah itarudi auta hamini ata ukichelewa home atakutafuta coz atakuwa na aman na furaha na wewe pia uwe unapenda kumpa vijizawadi hvo umfanya mwanamke kila akiiona zawdi hyo basi ufeel mapenzi juu yako

Kaka me nakwambia kitu mwanamke anapenda me nilikuwa na mchumba sema alikuwa kichwa maji sana yule jamaa uko kusikiriza ya kijiweni kanipoteza na waliye mshauri kuwa ndo anafaa hyo akakuta ndo kiazi kabsa sasa hv simu hziishi kwangu namuona tu
Huyu mwanamke kazi anayo sio kwa nondo hizi mnazonivika
 
Huyu mwanamke kazi anayo sio kwa nondo hizi mnazonivika
Hahahahah me nakwambia sisi upenda kubembelezwa eti kudekezwa ndo tunapenda usiwe mbabe kwenye mapenzi bro mwanamke kazi yake kukuheshimu tu kupenda na kubembeleza kazi yako
 
Back
Top Bottom