Kwa hiyo UKAWA washampitisha Slaa au ndio uroho wa Madaraka wa CHADEMA!
Hiyo Milioni moja yake si bora angenunua magazeti ajipepeee...............
mkuu em ntajie jina lake tafadhali na mm nmjue
Dah, yaani Afrika mtu mwizi ndo anaonekana mjanja na mwenye kupendwa na watu. Hivi sisi waafrika tuna matatizo gani? Kwa wenzetu Ulaya na Marekani huyu hakutakiwa hata kuwa mwenyekiti wa nyumba kumi kwa sasa. Eeeeh MUNGU tuepushe na huyu fisadi LowasaAcha kuweweseka ww...Lowassa ndio mpango wa CCM...labda uko mbali sana na CCM insiders...as well labda hufautilii wanapokwenda kutafuta udhamini uone NGUVU ZAO KUKUBALIKA NA WANANCHI, Lowassa hata uunganishe wagombea wengine wooooote CCM hawafikii nusu ya Nguvu na influence za Lowassa kwa wananchi...!!
Lowasa
Edward Lowasa
Bernard Membe
Makongoro Nyerere
John pombe Magufuli
Kutafuta mgombea bora ndani ya ccm ni sawa kutafuta mwanamke bikra kwenye wodi ya wazazi .
Kumbe Lowasa anahangaika bure hata kwenye tano bora hafiki itakuwa ni aibu.