Hii ndo tatu bora ya wagombea wa CCM

Hii ndo tatu bora ya wagombea wa CCM

Status
Not open for further replies.
Sijamuona hapo bado....

Mr statistics, Prof. Muhongo is the best.

Prof. Muhongo yuko vizuri sana, ila wakitumia na kigezo cha kujiuzulu kwa kashfa ya ESCROW, wanaweza kumweka kando. vinginevyo anaweza kuingia tatu bora badala ya Mwigulu.
 
  • Thanks
Reactions: aye
Atakuwa na kashfa za level yake anayoishi
 
Magufuri,ulowasa ulowasa wa malimao home mmechoka.
 
Nionavyo mimi, mleta uzi anajaribu kutabiri kile kitakachoamuliwa na NEC ya ccm lkn anasahau kwamba tatu bora aliyoitaja haipo kwenye mojawapo ya kambi kubwa tatu; mafisadi, makachero na wastaafu wa kulindana. Wote ni wapambe wa makundi mengine tu. Watakaopitishwa na NEC wapo nje ya hao.
 
Lowassa hazuiliki, ni sawa na kuzuia mafuriko kwa kiganja cha mkono.

Asipozuilika ndani ya chama, atazuilika nje ya chama. anaweza kuiweka NEC ya ccm mfukoni, lakini hawezi kuwaweka watanzania wote mfukoni. Kumpitisha lowasa ni kujaribu sumu kwa kuionja.....
 
Watanzania tukoje, mtu akitoa hata statistics za uwongo tunamuona ndio anafaa. Muhongo hafai
Unataka niprove kwako na kwa wana jukwaa kuwa wewe ni mtupu kichwani???
Haya nijibu basi Ni statistics zipi alizozitoa Muhongo zilikuwa za uwongo????
Ukishindwa kujibu endelea tu na kazi zako kuficha aibu yako.
 
Lowassa hazuiliki, ni sawa na kuzuia mafuriko kwa kiganja cha mkono.
Wacha kuota mchana we kibwengo, huyu mzalendo ndio chaguo la uhakika la maCCM!

attachment.php
 

Maoni yangu ni kwamba peformance ya kiwango cha chini iliyooneshwa na rais aliyepo sasa imesababisha hali hii.

Hebu tulinganishe "performance" ya Marais wote kabla ya Kikwete na Kikwete tuone nani aliye perform zaidi. Kwenye nyanja yoyote uitakayo.

Ukishindwa, ujuwe wewe ni muongo na fataani.
 
Makachero
-- J. Makamba
-- B. Membe
-- H. Kitine
-- A. Mahiga
-- M. Mwandosya
-- S. Wassira
-- C. Makongoro

Mafisadi, wafanya biashar, wanye mihela
-- E. Lowassa
-- F. Sumaye
-- Ngeleja
kawaida
-- Magufuli
-- Yule Mwanamama
-- jamaa wa Kigoma
-- C. Kamani
-- M. Nchemba

Raisi atatoka kati ya Makachero
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom