Hii ndo tatu bora ya wagombea wa CCM

Hii ndo tatu bora ya wagombea wa CCM

Status
Not open for further replies.
Hiyo Milioni moja yake si bora angenunua magazeti ajipepeee...............
Ha ha ha! Mkuu lakini hebu fanya reference ya hiyo signature yako. "Everyone want to go to heaven, but no one want to die.
 
Ni nani huyo Mkuu ....................!!?
Huyu ni mkulima mmoja mwenye elimu ya STD 7 ambaye kaomba fomu huku akisema kama JK kaweza hata yeye anaweza na pia hana kashfa yeyote ya rushwa wala ufisadi
 
Huyu ni mkulima mmoja mwenye elimu ya STD 7 ambaye kaomba fomu huku akisema kama JK kaweza hata yeye anaweza na pia hana kashfa yeyote ya rushwa wala ufisadi

Ngoja tusubiri utam wa mikutano ya cc na ned
 
Huyu ni mkulima mmoja mwenye elimu ya STD 7 ambaye kaomba fomu huku akisema kama JK kaweza hata yeye anaweza na pia hana kashfa yeyote ya rushwa wala ufisadi

Ngoja tusubiri utam wa mikutano ya cc na nec
 
Ha ha ha! Mkuu lakini hebu fanya reference ya hiyo signature yako. "Everyone want to go to heaven, but no one want to die.

Wengi tunadhani mbinguni tunaenda kwa ndege. Tunaogopa kufa kuliko moto
 
Statement yako inajipinga.........

Inajipinga kivipi wakati Slaa mnamuita Rais mtarajiwa wakati bado UKAWA hajapitisha mgombea wa Urais? Hamuoni kwamba kumuita hivyo inaleta sintofahamu kwenye UKAWA kwa vyama kama CUF na NCCR.
 
Hajapitishwa Slaa, ila nadhani kwa UKAWA, yeye ndo anapewa nafasi kubwa zaidi akifuatiwa na Lipumba. Kwa kweli huyu jamaa (Dr. Slaa) ndo anayewanyima usingizi watu wa ccm

Sawa mkuu, hapo kuna element za ubinafsi wa CHADEMA.Unavyosema Slaa anakubalika kuliko wengine unakosea.Kumbuka Lipumba kuna mikoa hasa iliyo ukanda wa pwani anakubalika kuliko Slaa,Pia Zanzibar.
 
"Wenyeviti CCM mikoa mmegeuka mifuko?", turudishieni chama chetu. Hii ndo karata dume pekee mliyobaki nayo kabla ya Oktoba na mkikosea tu, Ukawa wanawapumulia visogoni any time.
 
Amekwambia maoni yake mbona kichwa ngumu mkuu au kwa maana nyingine ccm tayariwashampitisha magufuri? Kwa man tiki yako?
 
Bundewe

Prof muhongo umemacha wap? Au amekutuma mwigulu
 
Last edited by a moderator:
Inajipinga kivipi wakati Slaa mnamuita Rais mtarajiwa wakati bado UKAWA hajapitisha mgombea wa Urais? Hamuoni kwamba kumuita hivyo inaleta sintofahamu kwenye UKAWA kwa vyama kama CUF na NCCR.

Inajipinga kwa kusema ameteuliwa, na wakati huo huo unataja uroho wa madaraka wa CDM... The two can not happen simulteneously...

Ni kama hao 29 waliochukua fomu huko CCM.... ni mmoja tu atakayeteuliwa...
Ili UKAWA impate mmoja lazima wajitokeze wengi na katika hao achaguliwe mmoja....

Sasa unashangaza unapoonyesha mshangao UKAWA wanajitokeza kadhaa na wakati huko CCM wapo 29 waliochukuwa fomu hadi sasa...
 
Yule wa Darasa la Saba, hana mpinzani. Ndio macritical thinker wa CCM!
 
Kweli lowasa anawapa wakati mgumu.
Hatumii nguvu sana ila kazi inaonekana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom