Hii ndo Shy!

Jaguar

JF-Expert Member
Mar 6, 2011
3,438
1,026
(1)shinyanga;Hii imemkuta baba yangu mkubwa enzi za ujana wake,mara ya kwanza alikuwa anachunga mbuzi huko kishapu shinyanga.Mara baada ya kuona mbuzi wameshiba,aliamua kupiga usingizi ili kuvuta muda.Alipoamka,hakumwona hata mbuzi mmoja,baada ya kuhangaika muda mrefu aliona alama za kwato za mbuzi zikielekea mtoni.Alizifuatilia hadi mtoni lakini cha ajabu hakuwakuta mbuzi halafu zile kwato hazikuonyesha kwamba wale mbuzi waligeuka kurudi walikotoka,swali;je wamezama mtoni?mpaka leo hii wale mbuzi hawakupatikana! (2)Siku nyingine alikuwa anachunga kondoo.Kama kawaida yake,waliposhiba na yeye akalala chini ya mti.Alipoamka,hakumwona hata kondoo mmoja.Alipojaribu kuwatafuta aliziona alama za kwato na vinyesi vibichi.Alifuatilia zile alama za kwato lakini cha ajabu ziliishia chini ya mti mkubwa.Baba mkubwa aliinua macho juu akidhani kondoo wako juu ya mti lakini waaapi,mpaka leo wale kondoo hawajaonekana!
 
Huyo kawauza akenda kupigia mapuya akaja kuwapa hadithi njoo utam kolea.
 
Back
Top Bottom