Kama kwenu huna au mlikimbia uchawi, chuki, magonjwa na umaskini na hata mila na desturi, utamaduni za kwenu huna. Wewe ni mtumwa, na lazima uowaonee wivu wachagga.
wachagga kwao kupo na kuna maendeleo, wanakwenda kila mwaka kuungana na ndugu, marafiki, jamaa zao kusherehekea sikukuu na pia kudumisha mila na desturi na tamaduni wao.