Chuki ya nini wanajamvi?
Hamna binadamu ambaye DNA yake imeandikwa ni msukuma, mchaga, mpare, mmakonde n.k
Binadamu wote ni sawa. Makabila is just a social construct term ku'categorize watu wenye asili moja kijeografia, kitamaduni na kiasili.
Lakini deep down in our genomes, cells and our atomic composition hamna tofauti kati ya mzungu au mweusi,mchaga au msukuma. There is only one race duniani. And that race is human beings. Achenini kusemana kwa tofauti ya ukabila ni ushamba na mambo yaliyopitwa na wakati.