Hii ndiyo Tanzania tunayoitaka

JOHN Nolan, yule raia wa Ireland aliyejaribu kuighilibu Serikali ya Tanzania imruhusu aanzishe mashamba ya kamba (prawns) ambayo yangeiharibu kabisa Delta ya Rufiji, alipata kuliambia gazeti moja la Uingereza kwamba kati ya nchi za "ajabu" alizopata kuishi ni Tanzania .

Nolan aliliambia gazeti hilo ya kwamba Tanzania ndiyo nchi pekee duniani ambayo Mzungu anaweza kuingia akiwa na dola tano tu mfukoni na akaondoka miaka mitano baadaye akiwa milionea!

Alitoa mfano wa yeye mwenyewe kwamba aliingia Tanzania akiwa hana kitu, lakini 'akatengeneza pesa' akiwa katika chumba chake cha hoteli kutokana na dili walizochonga na viongozi ambao walimwamini kwa kuwa tu ni Mzungu!

Lakini Nolan si mgeni pekee aliyepata kuikejeli Tanzania . Mwaka jana gazeti la Mtanzania lilipata kumnukuu mwekezaji mmoja kutoka China , anayefanya biashara ya kuuza kamba na kambakochi Mashariki ya Mbali, akiikejeli Tanzania kwamba rushwa yake ni "poa".

Kwa mujibu wa Mchina huyo, ni katika Tanzania tu ambapo unaweza kumwita hakimu nyumbani kwako na kumpa rushwa ya Sh. 100,000 tu, na kisha kumpa maelekezo ya namna ya kutoa hukumu ya kesi ya mamilioni ya pesa inayokuhusu!

Lakini kama utashangaa na kutoziamini kauli hizo za Nolan na za Mchina huyo, utasemaje kuhusu hii ya Rais mstaafu, Benjamin Mkapa kuanzisha kampuni yake ya biashara (ANBEM) yeye na mkewe, mwaka 1999, akiwa bado Ikulu?. Kwa kufanya hivyo, Mkapa akawa Rais wa kwanza katika historia ya Tanzania kufanya biashara akiwa Ikulu. Historia bwana, nani hapendi kuweka historia ya ujasiriamali?

Lakini hakuishia hapo. Mwaka mmoja kabla ya kuondoka madarakani; yaani Desemba 29, 2004, Mkapa huyo huyo akashirikiana na aliyekuwa Waziri wake wa Fedha na baadaye Nishati na Madini, Daniel Yona, kusajili kampuni nyingine binafsi iitwayo Tanpower Resources Company, na akaisimamia kununua asilimia 85 ya uliokuwa mradi wa umma wa makaa ya mawe wa Kiwira mkoani Mbeya.

Lakini pia hakuishia hapo. Akautumia wadhifa wake wa urais kuhakikisha kampuni yake hiyo mpya – wakurugenzi wakiwa ni pamoja na mkewe na mtoto wake, kuingia mkataba wa kuiuzia Tanesco megawati 200 za umeme katika gridi ya taifa.

Raia wema waliohoji iwapo hakuna mgongano wa maslahi kwa Rais kufanya biashara akiwa bado Ikulu; huku akinunua kampuni ya umma (Kiwira) na kuingia mkataba wa kibiashara na kampuni nyingine ya umma (Tanesco), walinyamazishwa haraka kwa kuambiwa Mkapa ni "mjasiriamali" , na kwamba anaonyesha "ujasiriamali" kwa vitendo akiwa Ikulu! Upo hapo?

Kama hiyo haitoshi kukuthibitishia vioja vya Tanzania , utaielezeaje hii ya Jeetu Patel kufanikiwa kughushi na kuchota Sh. bilioni 90 kutoka Benki Kuu kwa kutumia makampuni manane tofauti aliyoyasajili?

Ilikuja ya kwanza ikachota, ikaja ya pili ikachota, ikaja ya tatu ikachota, na vivyo hivyo mpaka kampuni ya nane! Na bado Watanzania tunatakiwa tuamini kwamba hakuna aliyejua kuwa hati zilizotumiwa na makampuni hayo ni za kughushi, hadi majuzi ripoti ya ukaguzi ya Ernest & Young ilipotua mezani kwa Rais Kikwete!

Lakini kama hilo halikushangazi au kukushtua, hebu tafakari na hili jingine: Watanzania masikini wanapandishiwa umeme kwa asilimia 21 kwa sababu Tanesco iko hoi kifedha. Kwa nini iko hoi? Kwa sababu vigogo serikalini wameiingiza katika mikataba mibovu ya Richmond , IPTL na Songas.

Kwa sababu ya mikataba hiyo mibovu, Tanesco inailipa IPTL Sh. bilioni 3.3 kila mwezi, Songas Sh. bilioni 5.8 na Richmond Sh.. bilioni 4.7. Kwa viwango hivvyo vya malipo, unahitaji kuwa na kampuni yenye utajiri wa Microsoft ya Bill Gates, kutotetereka kifedha. Na hivyo Tanesco ilitetereka. Ili isife, ikaamua kuongeza umeme kwa asilimia 21!

Hiyo maana yake ni nini? Hiyo maana yake ni kwamba Watanzania masikini na walalahoi wa nchi hii ndiyo "wanaobebeshwa" zigo hilo la Tanesco la kufidia gharama zilizosababishwa na vigogo serikalini za mikataba ya IPTL, Richmond na Songas. Cha kushangaza zaidi, vigogo hao waliotubebesha zigo hilo kwa kuingia mikataba hiyo mibovu, bado wanadunda mpaka leo serikalini!

Na bado wameona hiyo haitoshi. Sasa Serikali inajiandaa kuwasilisha bungeni muswada wa sheria kuziruhusu kampuni binafsi kufanya biashara ya kuuza umeme nchini. Yaani; Serikali inakuwa mstari wa mbele kulitafutia shirika lake (Tanesco) wapinzani wa kuliua kibiashara, tena inafanya hivyo ikiwa yenyewe tayari imeshalikamua hadi kuwa hoi bin taaban!

Na Tanesco ikifa na biashara hiyo ikashikwa na makampuni binafsi ya nje, (ambayo bila shaka baadhi ya vigogo nchini watakuwa na hisa), nani atayazuia yasipange bei ya pamoja ya kuuzia umeme (cartel) ili yanufaike zaidi kwa kuwakamua zaidi Watanzania? Na bado tunaambiwa kuna vita inayoendelea nchini ya kuwakomboa masikini.

Biashara ya chakula ipo mikononi mwa watu binafsi, nishati nayo sasa inawekwa mikononi mwa watu binafsi, maji nayo yataelekea huko huko …mwishowe sekta zote nyeti zinazohusu usalama wa taifa zitakuwa mikononi mwa watu binafsi hususan wageni. Tusisahau Nyerere alitabiri: "Mtabinafsisha hata Magereza."

Lakini yawezekanaje mambo yote haya yatokee nchini na umma wa Watanzania ukae kimya tu? Jibu ni kwamba ni kwa sababu Tanzania ni nchi 'poa', nchi ya amani. Watanzania ni watu wasiotaka makuu, na ndiyo maana kina Nolan wanaamini kwamba duniani hakuna nchi kama Tanzania . Hayo aliyoyaona Nolan akiwa Tanzania ni Made in Tanzania tu. Huwezi sehemu yoyote Duniani !

JK na CCM yake hawana wasi wasi wala uoga wa hili jambo.Maana hawana cha kupteza .
 
Kila chenye mwanzo lazima kiwe cha mwisho hata hao wanaoisifu Tanzania kwamba ni nchi poa kwa hujuma nawaona sasa wamefikia mwisho haitatokea tena hujuma kama hii na hata ikitokea haitakuwa kubwa kiasi hiki.

Lakini hawa watu inawezekana kabisa sio Raia hata Mkapa pia maana raia wa kweli hawezi kutufanyia mambo kama haya, Kuwa Rais haitufanyi sisi tuamini kuwa ni Raia. Sasa naanza kumuamini Mchungaji Mtikila maana kipindi furani aliwahi kusema kuwa Mkapa alikuja Tanzania kwa mjombaake akitokea Msumbiji kipindi hicho alikuwa na miaka Saba tu. hakurudi kwao kama zali tu hatimae akaja kuwa Rais na kutuhujumu vilivyo. Sijui kuhusu Daniel Yona na wengine.
 
Msitu mpya nyani wazamani ambao sasa ivi wanafanya kazi kwa ari mpya na nguvu mpya, kasi mpya...hehe kaaazi kweli kweli..
 
Dear wa jf,

we are creating and have seized an opportunity to discuss matters of national interest and have found a platform where we can submit our views without revielivng who were are except that we all have a common denomiantor: We're tanzanias..

I find it either ironic that quite a few of some postings are either filled with anger, resentment and a sense of towards anything and anybody who is in the government..i dont believe this is an organ for the opposition parties, but if you step back & read the above topics , the most view & the most juicy topics, you'll find everything & almost the most complains are towards the same dialogue that is fueling hatred towards everything done by the government...

I dont agree with all that done in tanzania, especially that i am not living in tanzaia right now, and i have visited there (didnt enjoy the last trip over 9 months ago either), but, but gentleman and ladies, is scandals all we have as a nation of 39 million people..is that the only thing we got going for ourselves or is it that the life disparity either economically and socially is driving people towards being vocal radicals of the country...i am as patriotic as any of my comrades at this forum,, but i wonder that our generation is falling into becoming a society of pessimism, resentful, hatred towards anyone productive or relating any productivity dont at home in tanzania..

Its becoming absurd home we act like we cant give any room for even a govt to unviel a national id project without a cat, supported by some tabloid,to question to intentions of a programs thats needed and has received funding..we talk scandals more that we talk about improving ict or healthcare, there is a major fiber optic project that will reduce internet & cellphone rates in tanzania...i just am a little astonished with so many things without real facts are becoming the center arguments not just on this forum but even in the wednesday tabloids of the city of dar..

I ask myself are we just negative people, pessimistic and is this a generational affect.. Lets please discuss...we all love her: Tanzania
 
Je, Kinachomponza Mbowe ni Anasa? ( 1 2 3 4 5 ... Last Page)
Breaking Newzer Today 12:37 AM
by kibunango 165 1,531
Barack Obama Special thread ( 1 2 3 4 5 ... Last Page)
GAME THEORY Today 12:31 AM
by Capitol Hill 2,138 27,428
Cabinet Meeting......a month later and Karume Missing??
Kubwajinga Today 12:30 AM
by Mzee Mwanakijiji 3 40
UFISADI: Ukishangaa la Richmond la IPTL je? ( 1 2)
Bubu ataka kusema Today 12:30 AM
by KadaMpinzani 12 159
Huyu ndiye Rostam Aziz wa New Habari Corruption! ( 1 2)
Asha Abdala Today 12:25 AM
by KadaMpinzani 18 237
Legacy ya Mzee ABOUD JUMBE Zanzibar ( 1 2 3 4)
GAME THEORY Today 12:21 AM
by GAME THEORY 31 671
Sijiuzulu, sijaiba - Mwanyika ( 1 2 3 4)
Bubu ataka kusema Today 12:09 AM
by KadaMpinzani 31 564
Ufisadi wa Nyumba za Serikali ( 1 2 3 4 5 ... Last Page)
Kubwajinga Yesterday 11:56 PM
by Fundi Mchundo 51 864
Vitambulisho vya Uraia, bomu jingine ( 1 2 3)
Bubu ataka kusema Yesterday 11:49 PM
by Mwakilishi 28 461
Richmond, EPA kuibukia Butiama
Bubu ataka kusema Yesterday 11:46 PM
by Bubu ataka kusema 7 121
Freeman Mbowe: "Tufanyie mabadiliko sheria ya Uchaguzi"
Mzee Mwanakijiji Yesterday 11:10 PM
by Ole 5 69
CCM yasikitishwa Rais Jakaya kuhusishwa na ufisadi ( 1 2 3)
Bubu ataka kusema Yesterday 10:51 PM
by Mkandara 29 502
What type of danger is he talking about?
Bubu ataka kusema Yesterday 09:50 PM
by BabaH 6 81
Viongozi wa Bongo wajifunze nini kuhusu ishu ya Gov. E Spitzer?
mwana_harakati Yesterday 09:49 PM
by SteveD 3 40
Kashfa ya EPA: Mwanyika azidi kujichanganya ( 1 2 3 4 5)
Mpita Njia Yesterday 09:11 PM
by mwafrika wa kike 43 1,123
Minister belittles link with JK's son ( 1 2 3 4 5 ... Last Page)
BabaH Yesterday 09:08 PM
by kakindomaster 274 6,944
Hivi tatizo la chama cha CUF ni nini? ( 1 2 3 4)
GAME THEORY Yesterday 08:13 PM
by Ndivyo Ilivyo 30 671
Countdown - Report ya kamati ya Madini ( 1 2 3 4 5)
mwafrika wa kike Yesterday 06:55 PM
by mwafrika wa kike 44 851
TENDA ZA SERIKALINI (Central Tender Board) ( 1 2 3 4)
GAME THEORY Yesterday 06:41 PM
by Fundi Mchundo 34 1,053
Profesa Shivji: Umma una haki kuwajua warejesha fedha BoT
Bubu ataka kusema Yesterday 06:31 PM
by mwafrika wa kike 3 72
Tanzanian Political Opposition is Not Ready Yet! ( 1 2 3 4)
Rev. Kishoka Yesterday 06:06 PM
by Ben 38 492
IMMMA;MwanaHalisi publication on Deep Green ( 1 2 3 4)
mzalendo Yesterday 03:21 PM
by kifo 35 1,336
Mwanyika aongea... ( 1 2 3)
Invisible Yesterday 02:11 PM
by Ant-Ufisadi 25 605
IKULU wana na kioja kingine ( 1 2)
GAME THEORY
__________________________________________________________-______

DEAR WA JF,

WE ARE CREATING AND HAVE SEIZED AN OPPORTUNITY TO DISCUSS MATTERS OF NATIONAL INTEREST AND HAVE FOUND A PLATFORM WHERE WE CAN SUBMIT OUR VIEWS WITHOUT REVIELIVNG WHO WERE ARE EXCEPT THAT WE ALL HAVE A COMMON DENOMIANTOR: WE'RE TANZANIAS..

I FIND IT EITHER IRONIC THAT QUITE A FEW OF SOME POSTINGS ARE EITHER FILLED WITH ANGER, RESENTMENT AND A SENSE OF TOWARDS ANYTHING AND ANYBODY WHO IS IN THE GOVERNMENT..I DONT BELIEVE THIS IS AN ORGAN FOR THE OPPOSITION PARTIES, BUT IF YOU STEP BACK & READ THE ABOVE TOPICS , THE MOST VIEW & THE MOST JUICY TOPICS, YOU'LL FIND EVERYTHING & ALMOST THE MOST COMPLAINS ARE TOWARDS THE SAME DIALOGUE THAT IS FUELING HATRED TOWARDS EVERYTHING DONE BY THE GOVERNMENT...

I DONT AGREE WITH ALL THAT DONE IN TANZANIA, ESPECIALLY THAT I AM NOT LIVING IN TANZAIA RIGHT NOW, AND I HAVE VISITED THERE (DIDNT ENJOY THE LAST TRIP OVER 9 MONTHS AGO EITHER), BUT, BUT GENTLEMAN AND LADIES, IS SCANDALS ALL WE HAVE AS A NATION OF 39 MILLION PEOPLE..IS THAT THE ONLY THING WE GOT GOING FOR OURSELVES OR IS IT THAT THE LIFE DISPARITY EITHER ECONOMICALLY AND SOCIALLY IS DRIVING PEOPLE TOWARDS BEING VOCAL RADICALS OF THE COUNTRY...I AM AS PATRIOTIC AS ANY OF MY COMRADES AT THIS FORUM,, BUT I WONDER THAT OUR GENERATION IS FALLING INTO BECOMING A SOCIETY OF PESSIMISM, RESENTFUL, HATRED TOWARDS ANYONE PRODUCTIVE OR RELATING ANY PRODUCTIVITY DONT AT HOME IN TANZANIA..

ITS BECOMING ABSURD HOME WE ACT LIKE WE CANT GIVE ANY ROOM FOR EVEN A GOVT TO UNVIEL A NATIONAL ID PROJECT WITHOUT A CAT, SUPPORTED BY SOME TABLOID,TO QUESTION TO INTENTIONS OF A PROGRAMS THATS NEEDED AND HAS RECEIVED FUNDING..WE TALK SCANDALS MORE THAT WE TALK ABOUT IMPROVING ICT OR HEALTHCARE, THERE IS A MAJOR FIBER OPTIC PROJECT THAT WILL REDUCE INTERNET & CELLPHONE RATES IN TANZANIA...I JUST AM A LITTLE ASTONISHED WITH SO MANY THINGS WITHOUT REAL FACTS ARE BECOMING THE CENTER ARGUMENTS NOT JUST ON THIS FORUM BUT EVEN IN THE WEDNESDAY TABLOIDS OF THE CITY OF DAR..

I ASK MYSELF ARE WE JUST NEGATIVE PEOPLE, PESSIMISTIC AND IS THIS A GENERATIONAL AFFECT.. LETS PLEASE DISCUSS...WE ALL LOVE HER: TANZANIA

MBOWE kutorudisha mabilioni ya watanzania is in the best interest ya nani ???????]
Ukinijibu, nitapanua mjadala !
 
Je, Kinachomponza Mbowe ni Anasa? ( 1 2 3 4 5 ... Last Page)
Breaking Newzer Today 12:37 AM
by kibunango 165 1,531
Barack Obama Special thread ( 1 2 3 4 5 ... Last Page)
GAME THEORY Today 12:31 AM
by Capitol Hill 2,138 27,428
Cabinet Meeting......a month later and Karume Missing??
Kubwajinga Today 12:30 AM
by Mzee Mwanakijiji 3 40
UFISADI: Ukishangaa la Richmond la IPTL je? ( 1 2)
Bubu ataka kusema Today 12:30 AM
by KadaMpinzani 12 159
Huyu ndiye Rostam Aziz wa New Habari Corruption! ( 1 2)
Asha Abdala Today 12:25 AM
by KadaMpinzani 18 237
Legacy ya Mzee ABOUD JUMBE Zanzibar ( 1 2 3 4)
GAME THEORY Today 12:21 AM
by GAME THEORY 31 671
Sijiuzulu, sijaiba - Mwanyika ( 1 2 3 4)
Bubu ataka kusema Today 12:09 AM
by KadaMpinzani 31 564
Ufisadi wa Nyumba za Serikali ( 1 2 3 4 5 ... Last Page)
Kubwajinga Yesterday 11:56 PM
by Fundi Mchundo 51 864
Vitambulisho vya Uraia, bomu jingine ( 1 2 3)
Bubu ataka kusema Yesterday 11:49 PM
by Mwakilishi 28 461
Richmond, EPA kuibukia Butiama
Bubu ataka kusema Yesterday 11:46 PM
by Bubu ataka kusema 7 121
Freeman Mbowe: "Tufanyie mabadiliko sheria ya Uchaguzi"
Mzee Mwanakijiji Yesterday 11:10 PM
by Ole 5 69
CCM yasikitishwa Rais Jakaya kuhusishwa na ufisadi ( 1 2 3)
Bubu ataka kusema Yesterday 10:51 PM
by Mkandara 29 502
What type of danger is he talking about?
Bubu ataka kusema Yesterday 09:50 PM
by BabaH 6 81
Viongozi wa Bongo wajifunze nini kuhusu ishu ya Gov. E Spitzer?
mwana_harakati Yesterday 09:49 PM
by SteveD 3 40
Kashfa ya EPA: Mwanyika azidi kujichanganya ( 1 2 3 4 5)
Mpita Njia Yesterday 09:11 PM
by mwafrika wa kike 43 1,123
Minister belittles link with JK's son ( 1 2 3 4 5 ... Last Page)
BabaH Yesterday 09:08 PM
by kakindomaster 274 6,944
Hivi tatizo la chama cha CUF ni nini? ( 1 2 3 4)
GAME THEORY Yesterday 08:13 PM
by Ndivyo Ilivyo 30 671
Countdown - Report ya kamati ya Madini ( 1 2 3 4 5)
mwafrika wa kike Yesterday 06:55 PM
by mwafrika wa kike 44 851
TENDA ZA SERIKALINI (Central Tender Board) ( 1 2 3 4)
GAME THEORY Yesterday 06:41 PM
by Fundi Mchundo 34 1,053
Profesa Shivji: Umma una haki kuwajua warejesha fedha BoT
Bubu ataka kusema Yesterday 06:31 PM
by mwafrika wa kike 3 72
Tanzanian Political Opposition is Not Ready Yet! ( 1 2 3 4)
Rev. Kishoka Yesterday 06:06 PM
by Ben 38 492
IMMMA;MwanaHalisi publication on Deep Green ( 1 2 3 4)
mzalendo Yesterday 03:21 PM
by kifo 35 1,336
Mwanyika aongea... ( 1 2 3)
Invisible Yesterday 02:11 PM
by Ant-Ufisadi 25 605
IKULU wana na kioja kingine ( 1 2)
GAME THEORY
__________________________________________________________-______

DEAR WA JF,

WE ARE CREATING AND HAVE SEIZED AN OPPORTUNITY TO DISCUSS MATTERS OF NATIONAL INTEREST AND HAVE FOUND A PLATFORM WHERE WE CAN SUBMIT OUR VIEWS WITHOUT REVIELIVNG WHO WERE ARE EXCEPT THAT WE ALL HAVE A COMMON DENOMIANTOR: WE'RE TANZANIAS..

I FIND IT EITHER IRONIC THAT QUITE A FEW OF SOME POSTINGS ARE EITHER FILLED WITH ANGER, RESENTMENT AND A SENSE OF TOWARDS ANYTHING AND ANYBODY WHO IS IN THE GOVERNMENT..I DONT BELIEVE THIS IS AN ORGAN FOR THE OPPOSITION PARTIES, BUT IF YOU STEP BACK & READ THE ABOVE TOPICS , THE MOST VIEW & THE MOST JUICY TOPICS, YOU'LL FIND EVERYTHING & ALMOST THE MOST COMPLAINS ARE TOWARDS THE SAME DIALOGUE THAT IS FUELING HATRED TOWARDS EVERYTHING DONE BY THE GOVERNMENT...

I DONT AGREE WITH ALL THAT DONE IN TANZANIA, ESPECIALLY THAT I AM NOT LIVING IN TANZAIA RIGHT NOW, AND I HAVE VISITED THERE (DIDNT ENJOY THE LAST TRIP OVER 9 MONTHS AGO EITHER), BUT, BUT GENTLEMAN AND LADIES, IS SCANDALS ALL WE HAVE AS A NATION OF 39 MILLION PEOPLE..IS THAT THE ONLY THING WE GOT GOING FOR OURSELVES OR IS IT THAT THE LIFE DISPARITY EITHER ECONOMICALLY AND SOCIALLY IS DRIVING PEOPLE TOWARDS BEING VOCAL RADICALS OF THE COUNTRY...I AM AS PATRIOTIC AS ANY OF MY COMRADES AT THIS FORUM,, BUT I WONDER THAT OUR GENERATION IS FALLING INTO BECOMING A SOCIETY OF PESSIMISM, RESENTFUL, HATRED TOWARDS ANYONE PRODUCTIVE OR RELATING ANY PRODUCTIVITY DONT AT HOME IN TANZANIA..

ITS BECOMING ABSURD HOME WE ACT LIKE WE CANT GIVE ANY ROOM FOR EVEN A GOVT TO UNVIEL A NATIONAL ID PROJECT WITHOUT A CAT, SUPPORTED BY SOME TABLOID,TO QUESTION TO INTENTIONS OF A PROGRAMS THATS NEEDED AND HAS RECEIVED FUNDING..WE TALK SCANDALS MORE THAT WE TALK ABOUT IMPROVING ICT OR HEALTHCARE, THERE IS A MAJOR FIBER OPTIC PROJECT THAT WILL REDUCE INTERNET & CELLPHONE RATES IN TANZANIA...I JUST AM A LITTLE ASTONISHED WITH SO MANY THINGS WITHOUT REAL FACTS ARE BECOMING THE CENTER ARGUMENTS NOT JUST ON THIS FORUM BUT EVEN IN THE WEDNESDAY TABLOIDS OF THE CITY OF DAR..

I ASK MYSELF ARE WE JUST NEGATIVE PEOPLE, PESSIMISTIC AND IS THIS A GENERATIONAL AFFECT.. LETS PLEASE DISCUSS...WE ALL LOVE HER: TANZANIA

Mkuu, kwa maoni yangu tunaipenda nchi yetu ndio maana tunajadili haya yote,

haimaanishi kuwa hapa ni jukwaa la vyama vya upinzani au chama tawala, hapa tupo watanzania

Ukiipenda nchi yako mkuu huwezi kuacha kuwauliza tuliowapa dhamana ya kutuongoza ni kwa vipi, kwa miaka 46 ya uhuru, hali iko kama hivi na inazidi kuwa mbaya?

Utakubaliana na mimi kuwa hata huko Marekani ulipo, hawawezi kuachia hali kama hii ya ufisadi iendelee, namaanisha hawawezi wakakaa kimya:
1. wakati sasa hivi tunalipa shilingi 152 millioni kwa mwezi kwa kampuni hewa ya umeme, na gharama hizo amebebeshwa mtanzania ambaye anategema umeme ili aweze kufanya shughulizake
2. sina hakika kama pia huko ulipo wangekaa kimya kujua kuna mkataba wa Buzwagi umesainiwa mgahawani, nje ya nchi na ambao hauna manufaa kwa nchi,

3. Hivi wangekaa kimya kujua kuwa shilingi bilioni 133 za EPA zilikombwa BOT, na waliozikomba wanaaambiwa 'rudisheni harak haraka' bila kukamatwa na kushtakiwa? Si tumesikia kwa siku 2 tu gavana wa NY kajiuzulu kisa katembea na visichana vinavojiuza, na kuwa katumia hela zake kama dola 80,000 kuhonga, lakini imebidi ajiuzulu kwa nguvu ya umma, ingekuwa ni wizi wa fedha kama hizi angekuwa wapi sasa hivi?
4. Ungependa tukae kimya bila kuihoji serikali yetu inapotembeza bakuli kuomba misaada, il hali uwezo wa kujitegemea tunao? hadi lini tutawategemea kina Bush watusaidie hela za kununua vyandarua?
 
Je, Kinachomponza Mbowe ni Anasa? ( 1 2 3 4 5 ... Last Page)
Breaking Newzer Today 12:37 AM
by kibunango 165 1,531
Barack Obama Special thread ( 1 2 3 4 5 ... Last Page)
GAME THEORY Today 12:31 AM
by Capitol Hill 2,138 27,428
Cabinet Meeting......a month later and Karume Missing??
Kubwajinga Today 12:30 AM
by Mzee Mwanakijiji 3 40
UFISADI: Ukishangaa la Richmond la IPTL je? ( 1 2)
Bubu ataka kusema Today 12:30 AM
by KadaMpinzani 12 159
Huyu ndiye Rostam Aziz wa New Habari Corruption! ( 1 2)
Asha Abdala Today 12:25 AM
by KadaMpinzani 18 237
Legacy ya Mzee ABOUD JUMBE Zanzibar ( 1 2 3 4)
GAME THEORY Today 12:21 AM
by GAME THEORY 31 671
Sijiuzulu, sijaiba - Mwanyika ( 1 2 3 4)
Bubu ataka kusema Today 12:09 AM
by KadaMpinzani 31 564
Ufisadi wa Nyumba za Serikali ( 1 2 3 4 5 ... Last Page)
Kubwajinga Yesterday 11:56 PM
by Fundi Mchundo 51 864
Vitambulisho vya Uraia, bomu jingine ( 1 2 3)
Bubu ataka kusema Yesterday 11:49 PM
by Mwakilishi 28 461
Richmond, EPA kuibukia Butiama
Bubu ataka kusema Yesterday 11:46 PM
by Bubu ataka kusema 7 121
Freeman Mbowe: "Tufanyie mabadiliko sheria ya Uchaguzi"
Mzee Mwanakijiji Yesterday 11:10 PM
by Ole 5 69
CCM yasikitishwa Rais Jakaya kuhusishwa na ufisadi ( 1 2 3)
Bubu ataka kusema Yesterday 10:51 PM
by Mkandara 29 502
What type of danger is he talking about?
Bubu ataka kusema Yesterday 09:50 PM
by BabaH 6 81
Viongozi wa Bongo wajifunze nini kuhusu ishu ya Gov. E Spitzer?
mwana_harakati Yesterday 09:49 PM
by SteveD 3 40
Kashfa ya EPA: Mwanyika azidi kujichanganya ( 1 2 3 4 5)
Mpita Njia Yesterday 09:11 PM
by mwafrika wa kike 43 1,123
Minister belittles link with JK's son ( 1 2 3 4 5 ... Last Page)
BabaH Yesterday 09:08 PM
by kakindomaster 274 6,944
Hivi tatizo la chama cha CUF ni nini? ( 1 2 3 4)
GAME THEORY Yesterday 08:13 PM
by Ndivyo Ilivyo 30 671
Countdown - Report ya kamati ya Madini ( 1 2 3 4 5)
mwafrika wa kike Yesterday 06:55 PM
by mwafrika wa kike 44 851
TENDA ZA SERIKALINI (Central Tender Board) ( 1 2 3 4)
GAME THEORY Yesterday 06:41 PM
by Fundi Mchundo 34 1,053
Profesa Shivji: Umma una haki kuwajua warejesha fedha BoT
Bubu ataka kusema Yesterday 06:31 PM
by mwafrika wa kike 3 72
Tanzanian Political Opposition is Not Ready Yet! ( 1 2 3 4)
Rev. Kishoka Yesterday 06:06 PM
by Ben 38 492
IMMMA;MwanaHalisi publication on Deep Green ( 1 2 3 4)
mzalendo Yesterday 03:21 PM
by kifo 35 1,336
Mwanyika aongea... ( 1 2 3)
Invisible Yesterday 02:11 PM
by Ant-Ufisadi 25 605
IKULU wana na kioja kingine ( 1 2)
GAME THEORY
__________________________________________________________-______

DEAR WA JF,

WE ARE CREATING AND HAVE SEIZED AN OPPORTUNITY TO DISCUSS MATTERS OF NATIONAL INTEREST AND HAVE FOUND A PLATFORM WHERE WE CAN SUBMIT OUR VIEWS WITHOUT REVIELIVNG WHO WERE ARE EXCEPT THAT WE ALL HAVE A COMMON DENOMIANTOR: WE'RE TANZANIAS..

I FIND IT EITHER IRONIC THAT QUITE A FEW OF SOME POSTINGS ARE EITHER FILLED WITH ANGER, RESENTMENT AND A SENSE OF TOWARDS ANYTHING AND ANYBODY WHO IS IN THE GOVERNMENT..I DONT BELIEVE THIS IS AN ORGAN FOR THE OPPOSITION PARTIES, BUT IF YOU STEP BACK & READ THE ABOVE TOPICS , THE MOST VIEW & THE MOST JUICY TOPICS, YOU'LL FIND EVERYTHING & ALMOST THE MOST COMPLAINS ARE TOWARDS THE SAME DIALOGUE THAT IS FUELING HATRED TOWARDS EVERYTHING DONE BY THE GOVERNMENT...

I DONT AGREE WITH ALL THAT DONE IN TANZANIA, ESPECIALLY THAT I AM NOT LIVING IN TANZAIA RIGHT NOW, AND I HAVE VISITED THERE (DIDNT ENJOY THE LAST TRIP OVER 9 MONTHS AGO EITHER), BUT, BUT GENTLEMAN AND LADIES, IS SCANDALS ALL WE HAVE AS A NATION OF 39 MILLION PEOPLE..IS THAT THE ONLY THING WE GOT GOING FOR OURSELVES OR IS IT THAT THE LIFE DISPARITY EITHER ECONOMICALLY AND SOCIALLY IS DRIVING PEOPLE TOWARDS BEING VOCAL RADICALS OF THE COUNTRY...I AM AS PATRIOTIC AS ANY OF MY COMRADES AT THIS FORUM,, BUT I WONDER THAT OUR GENERATION IS FALLING INTO BECOMING A SOCIETY OF PESSIMISM, RESENTFUL, HATRED TOWARDS ANYONE PRODUCTIVE OR RELATING ANY PRODUCTIVITY DONT AT HOME IN TANZANIA..

ITS BECOMING ABSURD HOME WE ACT LIKE WE CANT GIVE ANY ROOM FOR EVEN A GOVT TO UNVIEL A NATIONAL ID PROJECT WITHOUT A CAT, SUPPORTED BY SOME TABLOID,TO QUESTION TO INTENTIONS OF A PROGRAMS THATS NEEDED AND HAS RECEIVED FUNDING..WE TALK SCANDALS MORE THAT WE TALK ABOUT IMPROVING ICT OR HEALTHCARE, THERE IS A MAJOR FIBER OPTIC PROJECT THAT WILL REDUCE INTERNET & CELLPHONE RATES IN TANZANIA...I JUST AM A LITTLE ASTONISHED WITH SO MANY THINGS WITHOUT REAL FACTS ARE BECOMING THE CENTER ARGUMENTS NOT JUST ON THIS FORUM BUT EVEN IN THE WEDNESDAY TABLOIDS OF THE CITY OF DAR..

I ASK MYSELF ARE WE JUST NEGATIVE PEOPLE, PESSIMISTIC AND IS THIS A GENERATIONAL AFFECT.. LETS PLEASE DISCUSS...WE ALL LOVE HER: TANZANIA

Nadhani una aina fulani ya matatizo kichwani.
Ni nini kinachokufanya ufikirie kuwa ukiandika kwa 'lower case' watu hawatasoma michango yako!

Na ukiandika kiswahili tutakuelewa vizuri zaidi; hii lugha ya watu ni nzito kuinyoosha saa nyingine, licha ya kwamba wewe mwenzetu umekaa huko majuu siku zote hizo! Isije ikawa hata kiswahili siku hizi kimepotea!
 
Mkuu, kwa maoni yangu tunaipenda nchi yetu ndio maana tunajadili haya yote,

haimaanishi kuwa hapa ni jukwaa la vyama vya upinzani au chama tawala, hapa tupo watanzania

Ukiipenda nchi yako mkuu huwezi kuacha kuwauliza tuliowapa dhamana ya kutuongoza ni kwa vipi, kwa miaka 46 ya uhuru, hali iko kama hivi na inazidi kuwa mbaya?

Utakubaliana na mimi kuwa hata huko Marekani ulipo, hawawezi kuachia hali kama hii ya ufisadi iendelee, namaanisha hawawezi wakakaa kimya:
1. wakati sasa hivi tunalipa shilingi 152 millioni kwa mwezi kwa kampuni hewa ya umeme, na gharama hizo amebebeshwa mtanzania ambaye anategema umeme ili aweze kufanya shughulizake
2. sina hakika kama pia huko ulipo wangekaa kimya kujua kuna mkataba wa Buzwagi umesainiwa mgahawani, nje ya nchi na ambao hauna manufaa kwa nchi,

3. Hivi wangekaa kimya kujua kuwa shilingi bilioni 133 za EPA zilikombwa BOT, na waliozikomba wanaaambiwa 'rudisheni harak haraka' bila kukamatwa na kushtakiwa? Si tumesikia kwa siku 2 tu gavana wa NY kajiuzulu kisa katembea na visichana vinavojiuza, na kuwa katumia hela zake kama dola 80,000 kuhonga, lakini imebidi ajiuzulu kwa nguvu ya umma, ingekuwa ni wizi wa fedha kama hizi angekuwa wapi sasa hivi?
4. Ungependa tukae kimya bila kuihoji serikali yetu inapotembeza bakuli kuomba misaada, il hali uwezo wa kujitegemea tunao? hadi lini tutawategemea kina Bush watusaidie hela za kununua vyandarua?

Mkuu,
Tanzania kupewa Vyandarua ni Agenda ya Rais Bush ambaye hata kama asingetupa sisi watanzania hivyo vyandarua angeweza kuipa nchi nyingine yoyote tajiri au masikini ya Afrika ili ku-neutralize legacy yake (Bush legacy) kwa kusaidia Afrika kuliko iwe Irak tupu kihistoria--Thats a fact...Hizi Pesa za External Payment Array (EPA) zisinge hata siku moja ingia kwenye budget ya Wizara wa Afya au Budget ya Vyandarua jinsia yoyote, mama au mtoto...Sasa kesho hata Mr.Shah wa A_Z mwenye kiwanda kipya cha vyandarua, Arusha nae ataambiwa ana Kashfa ya Vyandarua, Fisadi wa Chandarua kwa vyandarua vyote kununuliwa pale...

Na kufanya hoja ya Tanzania kupewa ni (fueling pessimism) vyandarua ni again tabia mpya to simply cherry-pick grievance tu to fuel hoja za kuongeza hisia za kuwa ni sisi ambao matatizo yetu yanatokana na mafisadi (confirmed or not),au EPA au Richmondi...Tanzania is much more than that.

Mimi,I love this country na miaka 46 ya uhuru ni michache ya uhuru, we have a lot of work to do as a nation beside one issue ya kesi ya Fraud & Embezzlement Central Bank of Tanzania, or Richmond Contract, etc--Its sad kweli tulivyotumbukia..Actually I have applaud hatua za Bunge la Tanzania kupitia Tume ya Richmond kumpressure Former PM kijiuzulu kuhusu kushiriki na mkataba wa dharura wa umeme (Richmond DEV) na vilevile kufanya jitihada za issue ya Audit ya EPA,,ni ya 2005-2006,, sababu kweli pesa hazikulipa madeni ambayo yalitokana na ununuzi wa huduma na bidha kwa mikopo ya nje ya nchi miaka ya nyuma (70's & 80's)..Tena hiyo audit thats one fiscal year only 2005-06, kweli the NEW TANZANIA sisi ni wa "kwa nini, nothing more than kulalamika tu", na Tabloids ndio source kubwa ya mijadala, mbona MAGAZETI hayaitwi Kwa ufisadi wa profit za kwa mauzo makubwa ya matoleo yao ya Magazeti..Tutamtajirish Mr.Said Kubena (mhariri mkuu) na Mr.Mwita Gachuma (part owner), kaishia darasa la nne na alikuwa fisadi yeye mpaka Nyerere alimfunga zamani akiwa Rais, sasa hao ndio maFisadi wampya tunaowatengeza kwa kusikiliza na kukubali kila kitokacho kwao kwa hamu, hakuna mwandishi Tanzania ambae hachukui kitu kidogo (hela), its all personal interest & I refuse to be manipulated to that extent..cross check, habari zao nyingi haziwi vetted na wako tayari ku-deal na watu kama kuku na mtama..

Is this a real Movement, the NEW TANZANIANS???

This movement inakuwa supported na Owner wa Gazeti aliyeishia Darasa la Nne na Waziri mkuu wa zamani, Edward Lowassa ambaye kila mtu Govt anajua amefukuzwa kazi, kwa ufisadi, lakini yeye analipa magazeti kujifanya anasiri zaidi ya uovu wake wa Richmond na Buzwagi ambayo alienda kwenye hoteli London alipokuwa Karamagi kuhakikisha inasainiwa akiwepo mwenyewe--wakati wote tunajua bosi Kikwete alikataza--he was fired by Merit..Arrogance & Greed na Ethic reforms kufuata..

Hii movement ya "The New Tanzania: Fisadi Assailers" haiwezi kuongozwa na mtu kaishi la nne (Christopher Mwita Gachuma na Magazeti yake) au mwanasiasa mlafi wa Mali anayelipa waandishi wengi wa habari wenye njaa na pesa zake, angekuwepo hayati Mwl. Nyerere tungemuuliza atuaambia fisadi nani kweli,wote ni watoto wake Nyerere--wote anawajua!!

Alafu Note:Watanzania wengine waliondoka nchini zamani na hawajarudi na swala kuna vijana ambao nawapongeza kwa kuwa na GUTS za kurudi nyumbani (Tanzania) na kufanya shughuli zao lakini inaonenekana kuna watu wa nyumbani Tanzania na wengine Tanzanian-Diaspora nje ambao through reasons tend to resent any success that has been done by their peers or successful persons...Issue za Fraud ziko kila Govt duniani, na hata Tanzania sio mara ya kwanza, ila making comphrensive efforts to taint & smear others nyumbani without merit au kutumia sources za uzushi is unacceptable--zamani tuliita wivu..Ukweli kwa maoni yangu, swala la disparity ya kiuchumi (tofauti ya kiuchumi)nayo na kuona labda wengine wakirudi Tanzania hawana strong visions za maana (sio wote hapa) ila wapo wengi tu nje, na pengine matatizo ya uhamiaji (Green,Yellow or Red) au pengine kuogopa maelezo na aibu ya kuwa compared kimafanikio (tabia ya kibongo)na wenzao waliojaribu palepale nyumbani, basi wameamua kurukia kila neno la uchunguzi wa Fisadi yoyote, Tume, kashfa, kila mradi mzuri au laa, na kila kikicha ili kukwepa some of there own economic responsibility kwa kupaka mtu yeyote mtanzania na scandal au kumuita Fisadi...

For those, I say Pull up your sock, haujachelewa & let this issue be dealt with na wenye kazi yao..Kufungua Tume, Kamfukuza gov, Kamfukuza Prime minister, kavunja Baraza lake la Mawaziri na reforms kupunguza conflicts of interest ni hatua..For EPA kasema mpe six months, lets Give him (JK) Six month, sio kila gazeti kuwa na investigative information na opinion zenye maslahi wa wahariri...Sasa smear hata a National Identification system with speculation za ufisadi...its becoming more about these people than the Love for Tanzania....my opinion, its absurd sasa kwamba tusipewe vitambulisho for what..

ETI A MOVEMENT, JAMANI....

Just because watu wameondoka Tanzania masikini haimanishi kila mtu aliyebaki kawa mwizi Tanzania ,fisadi, wengine wengi hawahitaji vyandarua vya Rais Bush...Tusitafute sababu za kutofanya bidii kuiendeleza nchi yetu--bado tuko mbali na hii ni sehemu ya matatizo, ila kuifanya ni watu fulani, hiyo ni chuki na sio mapenzi ya nchi, some other agendas pia zinawekwa humo humo..Ufisadi, Ufisadi, Ufisadi hauleti mradi hata mmoja Tanzania...Diaspora, we need all of you, jump the hump, sio Brain Drain, Go home & do something, complaining tu--a litany of complaint itasaidia nini..Na my Brothers and Sisters at Home, our country is still rich sio lazima kuajiriwa, ujasiriamali sio ufisadi, so much FDI is coming to our country, build the Her (Tanzania) & reduce smear everybody trying to be somebody...Fighting corruption is tough, Rais Kikwete will need alot of people behind him,he can help the real fight, sio people going after his son (Ridhiwani) who I applaud him stayed Tanzania, never left Bongo kama wengi when it was a fashion to fanya Safari, kukimbia Tanzania...Let the President Govern, we will have a chance to judge him at the ballot box in 2010--keep him for another 5 yrs or fire him based on real work, but some of this un-vetted anti-Government rhetoric or reporting is translating from Love Country to hate, resentment and Jealousy even amongst us Tanzania..

MUNGU IBARIKI TANZANIA NA WATU WAKE, WALIO NDANI NA NJE (VOLUNTARY OR INVOLUNTARY)!!IBARIKI AFRIKA
 
Ngurudoto,
Tafadhali usije nifanya niendelee kuamini kuwa hii ni moja ya ngao kubwa za NDIVYO TULIVYO!..

Mkuu ktk nchi za Magharibi (nchi zilizoendelea), huko uliko, kweli wanaweza kubali na kukaa kimya ktk maswala nyeti kama haya ati kwa sababu uchumi wao ni mzuri ama kuyatazama mazuri yaliyofanywa na viongozi dhidi ya hao machache mabaya.

Mkuu, hata majumbani mwetu mtu hlaumiwa kwa kile kibaya alichokitenda hata kama siku zote alikuwa msafi. Makazini ukiharibu utaonywa ama kukemewa bila kujali kazinzuri ulizowahi kuzifanya kwa sababu hilo kosa linaweza haribu kabisa ufanisi na nafasi ya kampuni ktk shughuli zake za kibiashara.
Hii ni hofu tuliyokuwa nayo wengi na ichukuliwe na viongozi kuwa tunaona wanakoipelekea nchi yetu. Sasa tuambaie wewe ungefanya nini kinyume na hiki tunachokifanya hapa. Ningependa sana viongozi wetu wangekuja hapa na kutueleza mapendekezo yao jinsi ya kuikosoa serikali ama wao pale wanapofanya makosa ya wazi kwa makusudi kabisa bila kujali sheria wala maslahi ya nchi.
Leo hii dhahabu inagonga dollar 100 kwa ounce, Umeme bado ni tatizo nchini, maji hatuna, miundombinu mibovu mkuu hii ni karne ya 21 jasho linatutoka kutokana na mikataba mibovu ambayo iliwekwa kinyume. Tusipozungumzia leo hii ni lini ulitegemea tutaweza yasema yote hali kama unavyofahamu sisi ni wepesi sana wa Kusahau. Kisha bahati mbaya ni kwamba hatuhitaji vikubwa kuridhisha roho zetu...
Sidhani kama utaona malalamiko yanayohusiana na makosa madogo ya kiutendaji kazi ambayo hutokea kila siku..Tunazungumzia yale yaliyopita mpaka na yamefunikwa kwa kawa makusudi. Tatizo kubwa ni kwamba maslahi ya Tanzania ndio maisha yetu sote otherwise no one would have cared!.
 
Dear Ngurudoto

Acha watu wa JF waendelee kuhoji na kupigia kelele mabaya yanayotokea nchini. Mabaya na uzembe wa viongozi wetu mbalimbali yatakapopungua basi hata hizo Healthcare na ICT development zinaweza kuboreshwa haraka haraka. Viongozi wetu wanahitaji kujua kwamba cheo sio "kuukata" cheo ni kutumikia watu, na watu wenyewe ni sisi.

JF ikikaa kimya, au ikiwa POSITIVE ONLY, viongozi wetu watalemaa, na kujiona kwamba wanaweza kufanya chochote watakacho na hakuna mtu atasema kitu. Wataendelea na uzembe na ufisadi, na uhujumu uchumi kwa imani kwamba hakuna kitakachotokea kwao.

Mimi binafsi kuna mambo mengi sana ambayo sikuwa nayajua kuhusu Bongo na kashfa zake. Mengi nimekuja kuya learn kwenye hizi kelele za JF, ndio macho yanafunguka kwamba alaaa, kumbe TZ ndivyo tulivyo? Kumbe hivi ndivyo watu wanavyokula nchi yetu, etc etc.

The Juicy topics, ni zile ambazo zinaamsha some sort of emotion. Topic inakuwa juicy pale ambapo inakufanya upate mwamko fulani, iwe positive au negative. Watu tunapata hasira kwa sababu kuna watu wanaishi kama miungu kwa kutumia pesa za uma, wakati uma una strugle kulipa gharama mpya za umeme.
 
NGURUDOTO
It depends on how long you have been a member of JF. This forum is by and large Pro-prosperous Tanzania, Anti ufisadi regardless of who fisadi is whether from Serikali or not from serikali, whether from CCM or not from CCM. Kuna watu wanajaribu kutetea ufisadi na kujaribu kuwatetea mafisadi, lakini wanachemsha wenyewe. Hapa maslahi ya nchi yako mbele. Kama opposition ni threat kwa maslahi ya nchi, basi even them will be blasted as well.
Kwa hiyo hii sio part of opposition as you think, but it happens kuwa the government is opposed.
 
NGURUDOTO
It depends on how long you have been a member of JF. This forum is by and large Pro-prosperous Tanzania, Anti ufisadi regardless of who fisadi is whether from Serikali or not from serikali, whether from CCM or not from CCM. Kuna watu wanajaribu kutetea ufisadi na kujaribu kuwatetea mafisadi, lakini wanachemsha wenyewe. Hapa maslahi ya nchi yako mbele. Kama opposition ni threat kwa maslahi ya nchi, basi even them will be blasted as well.
Kwa hiyo hii sio part of opposition as you think, but it happens kuwa the government is opposed.

Siasa za Tanzania za Msimu kama mpira (leo mtu anapendwa, kesho anachukiwa,leo Rais safi, kesho hamalizi miaka mitano)

ushabiki kama wa Yanga na Simba vile..mapenzi ya nchi kwa kuwa kila kitu negative ndio pro-prosperiousy...Agenda Top Ten nimezipaste,zipi zitaongeza kipato cha mwananchi kama sio ushabiki ambao unataka kila mtu ajiuzulu..Hakuna mtu atakayebaki, ndio movement.

Ikifanikiwa hata mpaka atakayeingia nae tutataka ajiuluzu..Alafu maneno na hoja nyingi tu za magazeti haziko vetted kikamilifu, nyingi ni sources (Mwanahalisi, Udaku) ambao hawataki kutajwa kwa nini kama sio majungu...Hii ni kama JOURNALISTIC TERRORISM, kwa umma mzima kuwa fed stories ambazo hazijapikwa na hivi sasa watu Dar Es Salaam wafikia kuchagua kati ya vitu vitatu, vocha ya simu, ungali na Gazeti la Mwanahalisi, Kulikoni au Raia Mwema..sio ufisadi kuuza rumors tupu bila kuulizwa


Ufisadi umekuwa kama addiction ya cocaine kwa Watanzania..Pro-prosperousy iko wapi kwenye kudakia kila hoja au kutaka hata Waziri wa Afya kujiuzulu kisha Hospitali ya Muhimbili-Moi imempasua kichwa?
kila kitu na Sakata tu..

Sio kutetea mtu, bali nauliza sasa dhumuni ni ufisadi upungue?, watu wajiuzulu wote? Serikali ianguke kwa gharama yoyote au nini?Is this the NEW TANZANIA kulaumu , whats the Agenda sababu bila kiongozi mwenye serikali kushirikishwa hakuna kitakachotea kwetu kufanikishwa--kama ni fight ya corruption au kingine... POLITICS OF PERSONAL DESTRUCTION SIO UONGO..Kama Rais nae anapigwa majungu na mapato ya Tabloids yatasaidia mwananchi gani, au riot?? watapigwa tu, Tanzania ni uchaguzi tu na bila infrastructure ya Grassroot toka vijijini bila Helikopta, tuta-type keyboard mpaka tuchoke kabisaaa..

Truth:pesa za Umma zinatakiwa kutumiwa vizuri ndio lakini pesa za Private sector zipo pia--nyingi, Ideas za maendeleo zimepotea na ushabiki wa ufisadi..Hakuna gazeti linaloongelea mradi wa maana na hii Serikali imeingia Rais 80% miezi 26 iliyopita, wote mlikuwa watu wazima ndio maana nasema ushabiki, kipofu alikuwa nani..

Na Definition ya Fisadi ni nini haswa? Dr. Slaa naye basi atakuwa Fisadi wa ndoa sababu alikuwa Pastor akaacha Maisha ya Utawa akaoa, alafu akafumaniwa na mkewe Dodoma afadhali Eliot Spitzer, DR. Slaa nae ni fisadi wa ndoa..who is & who is a fisadi--tuache kushabikia mambo ya Mwembeyanga..

Is this a real movement or a substatiantive Agenda ya karne ya 21 for nchi maskini, kuacha kazi kutaka umma uwapige mewe suspects na viongozi wa Serikali..who & what is a Fisadi, au ni Tanzania nayo ina generational crisis kama ya Black americans inakosa viongozi tofauti na Civil Rights, sasa ni pimps, rappers na wanamichezo.. Vijana waliojaribu kuingia Public service kama Lawrence Masha wote mnawaita Fisadi, nani siyo sasa--mwenye mshahara, basi bosi wa huyo mtu Fisadi..

Is Dr. Slaa a real leader or trying to score political points au nae Fisadi..hamna anayejua, kulitamka fumba macho ukifumbua lipo..
 
Umalaya Tanzania tunaambiwa ni raha ya kuwa na cheo cha juu serikalini.
Kwa ujinga wetu hatuelewi kwamba Fedha za kuhonga Malaya waMafisadi zinachotwa katika Bajeti ya Serikali.

Fisadi na Malaya wengi maana yake Matumizi makubwa,matumizi makubwa yanachochea wizi mkubwa.

Umalaya ni Sumu kwa famila na kwa jamii nzima.

Watanzania ni vema tuamke toka kwenye usingizi wetu na kuhoji iweje viongozi wetu wamegeuza nchi yetu kichwa cha mwendawazimu?

Tanzania iliyovamiwa na mafisadi wa KiSISIEMU itakombolewa na Watanzania wenyewe bila nguvu ya ya mtu mwingine yeyote kutoka nchinyingine. Pia Tanzania itajengwa na Watanzania wenyewe siyo mashirika ya kigeni yanayozidi kujikita Tanzania.

Viongozi wengi wa SISIEMU ni lazima waachie ngazi kupisha Watanzania waliotayri kuijenga nchi yao. Yote haya yatafinyika ndani ya uhai wetu.


Utabiri wa nini hujafa?..chukua fomu, gombea uongozi acha longolongo-uhai unao, punguza wasiwasi...
 
Ngurudoto
Mi sijaelewa nia yako ila kwa hisia naona kama unatutaka sisi Watanzania tukae kimya na tuimbe nyimbo za Kuwatukuza viongozi wetu ambao tumewapa dhamana ya kuhakikisha kila Mtanzania anaishi maisha bora! Hutaki kitu kinachoitwa ufisadi kiongelewe ila tuongee mambo mazuri tu kuhusiana na vitu kama EASSY -Project, Mradi wa Mabasi yaendayo kasi jijini - DAR, Mradi wa kufikisha umeme Kigoma na Pemba, Ujenzi na ufunguzi wa Mgodi mkubwa kabisa Tanzania - Buzwagi etc??!!! ....ooh God please give me courage to change the things i can!!

Ufisadi umekuwa kama addiction ya cocaine kwa Watanzania..
kila kitu na Sakata tu..

Na bila kuwa anti-ufisadi hii cocaine itaenea kila kona and we'll reach a point of no return!! Hatuwezi kabisa kukaa kimya, ni wajibu wetu kuinusuru hii kutoka kwenye mikono ya manyang'au!
 
Ngurdoto, I can see where you're coming and going, but you have to understand that development requires fulfilling certain preconditions. In this case, for our lovely country, we have come to realise that ufisadi is the very obstacle to whatever developmental efforts and ideas we have been trying to put across here in the esteemed JF for the past 2 years. This means that without fighting this vice we will never achieve any meaningful development. Brilliant ideas have always been put across in this forum on how to liberate TZ from poverty and other miseries, but these ideas have never been listened to because people are busy with stealing whatever little the country has been blessed with. Unless you don't believe that ufisadi is a reality in our country rather than a myth, I would like to please request you to join us in fighting this war of selfishness in our leaders. The bigger and louder the voices against ufisadi the more the mafisadi will be scared and probably the less they will plunder and therefore save something for our grandchildren. Mzee madini yanaishi, tuache hizi ngonjera, hawa jamaa hawana utani, nchi inakwisha hivyo, eheee!
 
NGURUDOTO
Hakuna anayebisha kuwa upinzani wetu bado una matatizo makubwa, upinzani wetu bado ni mchanga, sasa hivi tunaona individuals kwenye upande wa opposition lakini bado hawana collective efforts kama opposition, bado hawako solid na kuwa serious challenge kwa CCM. Lakini hii haina maana concept ya opposition sio nzuri, tatizo ni kuwa implementation yake nayo inaonekana iko kibinafsi binafsi sana. Tatizo lingine ni kuwa sisi watanzania bado mwamko wetu na elimu yetu ya kung'amua kama tunaibiwa ni ndogo sana. Mpaka leo mjomba, bibi na shangazi zangu hawajui EPA ni nini, wengine hata hawajui IPTL, Richmond na upuuzi mwingi tunaofanyiwa. Bado katibu kata, mwenekiti wa CCM kijiji etc etc ni semi gods kwao, regardless of how dirty or clean they are....hapa lawama hizi tunatakiwa kubeba sote. Lakini kama wewe unashutumu upinzani peke yao kwa uozo uliopo Tanzania utakuwa hautendi haki.
 
Je, Kinachomponza Mbowe ni Anasa? ( 1 2 3 4 5 ... Last Page)
Breaking Newzer Today 12:37 AM
by kibunango 165 1,531
Barack Obama Special thread ( 1 2 3 4 5 ... Last Page)
GAME THEORY Today 12:31 AM
by Capitol Hill 2,138 27,428
Cabinet Meeting......a month later and Karume Missing??
Kubwajinga Today 12:30 AM
by Mzee Mwanakijiji 3 40
UFISADI: Ukishangaa la Richmond la IPTL je? ( 1 2)
Bubu ataka kusema Today 12:30 AM
by KadaMpinzani 12 159
Huyu ndiye Rostam Aziz wa New Habari Corruption! ( 1 2)
Asha Abdala Today 12:25 AM
by KadaMpinzani 18 237
Legacy ya Mzee ABOUD JUMBE Zanzibar ( 1 2 3 4)
GAME THEORY Today 12:21 AM
by GAME THEORY 31 671
Sijiuzulu, sijaiba - Mwanyika ( 1 2 3 4)
Bubu ataka kusema Today 12:09 AM
by KadaMpinzani 31 564
Ufisadi wa Nyumba za Serikali ( 1 2 3 4 5 ... Last Page)
Kubwajinga Yesterday 11:56 PM
by Fundi Mchundo 51 864
Vitambulisho vya Uraia, bomu jingine ( 1 2 3)
Bubu ataka kusema Yesterday 11:49 PM
by Mwakilishi 28 461
Richmond, EPA kuibukia Butiama
Bubu ataka kusema Yesterday 11:46 PM
by Bubu ataka kusema 7 121
Freeman Mbowe: "Tufanyie mabadiliko sheria ya Uchaguzi"
Mzee Mwanakijiji Yesterday 11:10 PM
by Ole 5 69
CCM yasikitishwa Rais Jakaya kuhusishwa na ufisadi ( 1 2 3)
Bubu ataka kusema Yesterday 10:51 PM
by Mkandara 29 502
What type of danger is he talking about?
Bubu ataka kusema Yesterday 09:50 PM
by BabaH 6 81
Viongozi wa Bongo wajifunze nini kuhusu ishu ya Gov. E Spitzer?
mwana_harakati Yesterday 09:49 PM
by SteveD 3 40
Kashfa ya EPA: Mwanyika azidi kujichanganya ( 1 2 3 4 5)
Mpita Njia Yesterday 09:11 PM
by mwafrika wa kike 43 1,123
Minister belittles link with JK's son ( 1 2 3 4 5 ... Last Page)
BabaH Yesterday 09:08 PM
by kakindomaster 274 6,944
Hivi tatizo la chama cha CUF ni nini? ( 1 2 3 4)
GAME THEORY Yesterday 08:13 PM
by Ndivyo Ilivyo 30 671
Countdown - Report ya kamati ya Madini ( 1 2 3 4 5)
mwafrika wa kike Yesterday 06:55 PM
by mwafrika wa kike 44 851
TENDA ZA SERIKALINI (Central Tender Board) ( 1 2 3 4)
GAME THEORY Yesterday 06:41 PM
by Fundi Mchundo 34 1,053
Profesa Shivji: Umma una haki kuwajua warejesha fedha BoT
Bubu ataka kusema Yesterday 06:31 PM
by mwafrika wa kike 3 72
Tanzanian Political Opposition is Not Ready Yet! ( 1 2 3 4)
Rev. Kishoka Yesterday 06:06 PM
by Ben 38 492
IMMMA;MwanaHalisi publication on Deep Green ( 1 2 3 4)
mzalendo Yesterday 03:21 PM
by kifo 35 1,336
Mwanyika aongea... ( 1 2 3)
Invisible Yesterday 02:11 PM
by Ant-Ufisadi 25 605
IKULU wana na kioja kingine ( 1 2)
GAME THEORY
__________________________________________________________-______

DEAR WA JF,

WE ARE CREATING AND HAVE SEIZED AN OPPORTUNITY TO DISCUSS MATTERS OF NATIONAL INTEREST AND HAVE FOUND A PLATFORM WHERE WE CAN SUBMIT OUR VIEWS WITHOUT REVIELIVNG WHO WERE ARE EXCEPT THAT WE ALL HAVE A COMMON DENOMIANTOR: WE'RE TANZANIAS..

I FIND IT EITHER IRONIC THAT QUITE A FEW OF SOME POSTINGS ARE EITHER FILLED WITH ANGER, RESENTMENT AND A SENSE OF TOWARDS ANYTHING AND ANYBODY WHO IS IN THE GOVERNMENT..I DONT BELIEVE THIS IS AN ORGAN FOR THE OPPOSITION PARTIES, BUT IF YOU STEP BACK & READ THE ABOVE TOPICS , THE MOST VIEW & THE MOST JUICY TOPICS, YOU'LL FIND EVERYTHING & ALMOST THE MOST COMPLAINS ARE TOWARDS THE SAME DIALOGUE THAT IS FUELING HATRED TOWARDS EVERYTHING DONE BY THE GOVERNMENT...

I DONT AGREE WITH ALL THAT DONE IN TANZANIA, ESPECIALLY THAT I AM NOT LIVING IN TANZAIA RIGHT NOW, AND I HAVE VISITED THERE (DIDNT ENJOY THE LAST TRIP OVER 9 MONTHS AGO EITHER), BUT, BUT GENTLEMAN AND LADIES, IS SCANDALS ALL WE HAVE AS A NATION OF 39 MILLION PEOPLE..IS THAT THE ONLY THING WE GOT GOING FOR OURSELVES OR IS IT THAT THE LIFE DISPARITY EITHER ECONOMICALLY AND SOCIALLY IS DRIVING PEOPLE TOWARDS BEING VOCAL RADICALS OF THE COUNTRY...I AM AS PATRIOTIC AS ANY OF MY COMRADES AT THIS FORUM,, BUT I WONDER THAT OUR GENERATION IS FALLING INTO BECOMING A SOCIETY OF PESSIMISM, RESENTFUL, HATRED TOWARDS ANYONE PRODUCTIVE OR RELATING ANY PRODUCTIVITY DONT AT HOME IN TANZANIA..

ITS BECOMING ABSURD HOME WE ACT LIKE WE CANT GIVE ANY ROOM FOR EVEN A GOVT TO UNVIEL A NATIONAL ID PROJECT WITHOUT A CAT, SUPPORTED BY SOME TABLOID,TO QUESTION TO INTENTIONS OF A PROGRAMS THATS NEEDED AND HAS RECEIVED FUNDING..WE TALK SCANDALS MORE THAT WE TALK ABOUT IMPROVING ICT OR HEALTHCARE, THERE IS A MAJOR FIBER OPTIC PROJECT THAT WILL REDUCE INTERNET & CELLPHONE RATES IN TANZANIA...I JUST AM A LITTLE ASTONISHED WITH SO MANY THINGS WITHOUT REAL FACTS ARE BECOMING THE CENTER ARGUMENTS NOT JUST ON THIS FORUM BUT EVEN IN THE WEDNESDAY TABLOIDS OF THE CITY OF DAR..

I ASK MYSELF ARE WE JUST NEGATIVE PEOPLE, PESSIMISTIC AND IS THIS A GENERATIONAL AFFECT.. LETS PLEASE DISCUSS...WE ALL LOVE HER: TANZANIA

huh!? Are you serious? Why do you want to run away from the realities in our beloved country? :confused:
Who do you think will benefit if we all pretend that evertything in our beloved country excellent anf there is no need for us to pessimistic? Do you want us to keep quiet until when it is too late to do anything?

We have all the rights to discuss the realities in our beloved country so that we can bring a positive change for the benefit of all Tanzanians. NO ONE, I repeat, NO ONE in this forum has stop you from sharing any positive news in regards to our beloved country, but the truth is there are very few positive news related to our country. Even the so called Govt and CCM Newspapers (remember that they are not tabloids) namely Uhuru, Mzalendo, Daily News, Sunday News, habari leo they are all writing about EPA, Richmonduli, Mikataba mibovu ya madini n.k..

Wake up! and stop running away from the realities of our beloved country.
 
huh!? Are you serious? Why do you want to run away from the realities in our beloved country? :confused:
Who do you think will benefit if we all pretend that evertything in our beloved country excellent anf there is no need for us to pessimistic? Do you want us to keep quiet until when it is too late to do anything?

We have all the rights to discuss the realities in our beloved country so that we can bring a positive change for the benefit of all Tanzanians. NO ONE, I repeat, NO ONE in this forum has stop you from sharing any positive news in regards to our beloved country, but the truth is there are very few positive news related to our country. Even the so called Govt and CCM Newspapers (remember that they are not tabloids) namely Uhuru, Mzalendo, Daily News, Sunday News, habari leo they are all writing about EPA, Richmonduli, Mikataba mibovu ya madini n.k..

Wake up! and stop running away from the realities of our beloved country.

My beloved Brother, Nobody has taken the right of anyone to say anything...Get my point..My Observation as it appears a lion share of your posting are maining relating to the matters you have suggested!! Ufisadi, Karume Missing cabinet Meeting, JK son a newly crowned Fisadi on the virtue of the President being Fisadi too, IMMMA associates affliation or alledge affilation of the Deep Green Company (Pty)-Ufisadi, The National ID Proj being a fisadi-related project, Richmond debacle Fisadi,not to mention EPA related-links from Mwanyika to step down, Mwanyika this, Mwanyika said that..

You even assumed because you're consumed with the Tabloids reporting to actually believe there very few POSITIVE news going on in Tanzania..thats absurd, thats the "cocaine addiction" Im taking about...You say something so much, than you start believing it all without reservation..be balance, be objective not subjective..

the underscoring theme does strike me as a particular pessismistic outlook of various situation and not to mention unfound speculations (National ID nothing hasnt happened yet,but--warnings,like just brace ourselves another juicy topic) that tend to talk about folks rather that issue..I have not observed you suggesting anything that points to rectify any of the griveances that you post..Im only seing a situation, Im not seeing solutions and thats troublesome...because somebody actually believes everyone in CCM will resign..Thats not realistic & its more like radical approach rather than a solution..

Im not asking no one to sing Ngonjera for nobody, because I dont do it for anybody, im not just going to sing the Tabloid Ngonjera & Im not consuming this cocaine either..The papers you mentioned are also in the market to make a profit....so, its upon us to even challenge any journalistic interest, either directly or indirectly---Magazeti yote hayawezi kuwa investigative reporting tu...I just dont believe everything said--thats one Ngonjera I refuse to sing & I still love my country as much as the next man..I refuse obscurity for a country that much more!!!!
 
We Twalipo,
Ulitaka hapa watu wafanye nini? Kila sehemu watu hutofautiana kwa mawazo,mitazamo, tafakuri, uwezo nk. Hata Mwenyezi Mungu na shetani walitofautiana.Sasa hapa wewe unapenda wote tunaoingia humu tuongelee kile wewe kinachokufurahisha,unachotaka unachokiwaza nk.
Kwa muda wa miaka zaidi ya 40 Watanzania walikuwa wakiisifia serikali na kutokui-challenge,lakini hukuwahi kuraise nay alarm ya kwanini tunaisifia sana serikali(zidumu fikra sahihi za mwenyekiti wa CCM) na viongozi wake.Ina maana walikuwa hawafanyi mabaya?.Lakini kwa upende mwingine Mwl.Nyerere na kiasi Mwinyi walijitahidi kutuongoza kama kwa kiasi chao kama ambavyo uwezo wa kibinadamu uliwawezesha. Tofauti na sasa, kizazi hiki cha sehemu kubwa ya viongozi tulionao wameamua kujitajirisha kwa kuwaibia wananchi either kwaheri au kwa shari, na imekuwa ndo fashion kwamba ukipewa madaraka iba haraka nakwa wingi iwezekanavyo. Si kila mtu aliyekoserikalini amejadiliwa hapa JF.Kuna baadhi ya mawaziri na manaibu wao hawajaguswa humu na wengine wanasifiwa kwa kutokuwa na kashfa au kufanya mengi mazuri na kuwa waadilifu kwa kiwango cha ubinadamu. Hawa tunaowalaumu wamekuwa sio waadilifu kwa kiwango cha ushetani.
Huyu Masha unayemtetea, inagawa hata mie sijasema ni fisadi au la!Lakini wanaJF wanatiwa shaka na njia alizotumia au zilizotumiwa kumfikisha hapo alipo. Yeye kama mwanasheria mzuri na kijana safi, ni kweli hakujua kasoro za Green au alifumba macho afike kule anakotaka. Kama ni ndio je atashindwa vipi kufumba kwenye mambo makubwa zaidi kutokana na nafasi aliyonayo sasa??

Wewe uko huko USA.Hivihuyo Gavana Spitzer kalazimika kujiuzuru kwa kutenda maovu kiasi gani? Mbona tunasikia katenda mazuri mengi tu! Sasa inakuwaje wewe unatuambia sisi huku tufumbie hawa wabadhilifu ambao kila kukicha wanatulipua na "mabomu".Kinachoangaliwa siku zote ni uvunjaji wa miiko na taratibu ambazo unakuwa umepewa dhamana ya kuisimamia
 
We Twalipo,
Ulitaka hapa watu wafanye nini? Kila sehemu watu hutofautiana kwa mawazo,mitazamo, tafakuri, uwezo nk. Hata Mwenyezi Mungu na shetani walitofautiana.Sasa hapa wewe unapenda wote tunaoingia humu tuongelee kile wewe kinachokufurahisha,unachotaka unachokiwaza nk.
Kwa muda wa miaka zaidi ya 40 Watanzania walikuwa wakiisifia serikali na kutokui-challenge,lakini hukuwahi kuraise nay alarm ya kwanini tunaisifia sana serikali(zidumu fikra sahihi za mwenyekiti wa CCM) na viongozi wake.Ina maana walikuwa hawafanyi mabaya?.Lakini kwa upende mwingine Mwl.Nyerere na kiasi Mwinyi walijitahidi kutuongoza kama kwa kiasi chao kama ambavyo uwezo wa kibinadamu uliwawezesha. Tofauti na sasa, kizazi hiki cha sehemu kubwa ya viongozi tulionao wameamua kujitajirisha kwa kuwaibia wananchi either kwaheri au kwa shari, na imekuwa ndo fashion kwamba ukipewa madaraka iba haraka nakwa wingi iwezekanavyo. Si kila mtu aliyekoserikalini amejadiliwa hapa JF.Kuna baadhi ya mawaziri na manaibu wao hawajaguswa humu na wengine wanasifiwa kwa kutokuwa na kashfa au kufanya mengi mazuri na kuwa waadilifu kwa kiwango cha ubinadamu. Hawa tunaowalaumu wamekuwa sio waadilifu kwa kiwango cha ushetani.
Huyu Masha unayemtetea, inagawa hata mie sijasema ni fisadi au la!Lakini wanaJF wanatiwa shaka na njia alizotumia au zilizotumiwa kumfikisha hapo alipo. Yeye kama mwanasheria mzuri na kijana safi, ni kweli hakujua kasoro za Green au alifumba macho afike kule anakotaka. Kama ni ndio je atashindwa vipi kufumba kwenye mambo makubwa zaidi kutokana na nafasi aliyonayo sasa??

Wewe uko huko USA.Hivihuyo Gavana Spitzer kalazimika kujiuzuru kwa kutenda maovu kiasi gani? Mbona tunasikia katenda mazuri mengi tu! Sasa inakuwaje wewe unatuambia sisi huku tufumbie hawa wabadhilifu ambao kila kukicha wanatulipua na "mabomu".Kinachoangaliwa siku zote ni uvunjaji wa miiko na taratibu ambazo unakuwa umepewa dhamana ya kuisimamia

Tofauti ya Spitzer kuna proof za kumshitaki pamoja na mazuri...These circumstancial na rumorial evidence haziwezi kusaidia mtanzania..You're comparing Orange and Apples hear...Lawrence Masha una ushahidi gani wa kumuuliza directly kuhusu hiyo Kampuni ya Deep Green..Ridhiwani ni guilty because of rumorial or Tabloidial guilty of Association??

linakuwa wimbi ambalo kila mtu mwenye hoja na asiye na hoja sasa ruksa kuchangia...
 
Back
Top Bottom