Hii ndiyo Serikali ya wanyonge?

Hii ndiyo Serikali ya wanyonge?

Ndiyo maana muuza madafu alitaka kumtoboa mh.machali na kisu tumboni kisa kitambulisho cha elf20 ,wakati toka asubuhi jamaa hajauza hata 2000
Inauma sana na kusikitisha hawa wateule wanavyo walazimisha wanyonge kuvinunua hivyo vitambulisho
 
Hapo chini anaonekana mkuu wa wilaya akimlazimisha mama muuza mchicha kununua kitambulisho kwa sh 20000 wakati huo mchicha wenyewe hata magungu ishirini hayafiki.
Huku ndiyo kuwatetea wanyonge View attachment 1093921
kwakweli hii ndio wanyonge wenyewe.
huwezi amini hapa wanatafyta hela za ucaguzi serikali za mitaa.
 
Nimeamini maneno yako kwa 100% lkn mazuzu wanaamini eti ni kuwasidia wanyonge!
kwakweli hii ndio wanyonge wenyewe.
huwezi amini hapa wanatafyta hela za ucaguzi serikali za mitaa.
 
Hapo chini anaonekana mkuu wa wilaya akimlazimisha mama muuza mchicha kununua kitambulisho kwa sh 20000 wakati huo mchicha wenyewe hata magungu ishirini hayafiki.
Huku ndiyo kuwatetea wanyonge View attachment 1093921
Hiyo 20,000 ni kwa mwaka piga hesabu kwa siku ni chini ya sh 100 watanzania tujenge utamaduni wa kulipa kodi tuache kulalamika, watu watoto wenu wanasoma bure hadi form 4 hizo pesa zinatoka wapi, vituo vya afya, zana kijeshi nk tujitahidi kuwaza nje ya box,
 
Tatizo siyo kulipa kodi,
Tatizo ni njia mnazotumia kukusanya hiyo kodi ndiyo watu tunalalamikia kwani mgesema kuwa hivyo vitambulisho ni njia ya kuongezea mapato nani angewapinga?
Inakuwaje mnasema ni kuwasidia wanyonge wakati mnawalazimisha tena wakati mwingine kwa mitutu ya bunduki?Huko ndiyo kumsaidia mnyonge?
Hiyo 20,000 ni kwa mwaka piga hesabu kwa siku ni chini ya sh 100 watanzania tujenge utamaduni wa kulipa kodi tuache kulalamika, watu watoto wenu wanasoma bure hadi form 4 hizo pesa zinatoka wapi, vituo vya afya, zana kijeshi nk tujitahidi kuwaza nje ya box,
 
Inapaswa kutumia hekima - "wakati fulani aliwahi kumtaka waziri mmoja kutumia hekima kabla hajafikia maamuzi ya kubomoa nyumba zilizojengwa kinyume cha sheria"

watumie hekima hiyo hiyo!
Yeye mwenyewe hajawahi kutumia hekima kwenye maamuzi yake zaidi ya kukurupuka.
 
Back
Top Bottom