Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
- Thread starter
- #161
Inauma sana na kusikitisha hawa wateule wanavyo walazimisha wanyonge kuvinunua hivyo vitambulishoNdiyo maana muuza madafu alitaka kumtoboa mh.machali na kisu tumboni kisa kitambulisho cha elf20 ,wakati toka asubuhi jamaa hajauza hata 2000